Ndugu mpendwa Mteja wetuAtleast Sukuma gang had the vision of what was supposed to be done!
Huu upuuzi ungesikika JPM akiwepo huyo boss mzembe asingekuwepo hapo ofisini Tanesco Mwanza. Zahanati inakosa umeme na kuna kiongozi wa Tanesco yuko ofisini mpaka sasa! Mama hii nchi haiwezi
Kishiri manguzo yamesimama tu hayana nyaya unataka jina na namba ya simu kwani ni tatizo la mtu mmojaNdugu mpendwa Mteja wetu
Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.
Jina
Eneo
Wilaya
Namba ya simu
Tatizo
Toka lini
Namba ya taarifa
Ahsante sana
TANESCO Huduma kwa Wateja
Tafadhali lalamika kwa taarifa kamilo ilinupatiwe hudumaKishiri manguzo yamesimama tu hayana nyaya unataka jina na namba ya simu kwani ni tatizo la mtu mmoja
Nendeni kishiri wilaya ya nyamagana mwanza maeneo ya majengo mapya, bukaga, maisha raha, kishiri center nkTafadhali lalamika kwa taarifa kamilo ilinupatiwe huduma
Tukishafika tunaanza wapi mkuu wetu? Je ungeweza kwenda bank ukalalamika bila taarifa? Mteja anawajibika kutoa taarifa kamili na za ukweli ili apatiwe huduma bira vinginevyo anajinyima haki ya kimsingi kuhudumiwaNendeni kishiri wilaya ya nyamagana mwanza maeneo ya majengo mapya, bukaga, maisha raha, kishiri center nk
Huu ndio ujinga uaosemea kwenu kuwa hamtoi huduma bora.Ndugu mpendwa Mteja wetu
Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.
Jina
Eneo
Wilaya
Namba ya simu
Tatizo
Toka lini
Namba ya taarifa
Ahsante sana
TANESCO Huduma kwa Wateja
Wanataka wakujue waje wakupige shoti za mdomo uache kiherehere...🤣Huu ndio ujinga uaosemea kwenu kuwa hamtoi huduma bora.
Ina maana hamjue eneo la tatizo na limeanza lini mpaka mletewe mezani na hata hivyo hamtatui tatizo.
Give me break!!
Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
Acha upotoshaji tafadhaliWanataka wakujue waje wakupige shoti za mdomo uache kiherehere...[emoji1787]
Sawa mkuu mie nakaa kimya..😅Acha upotoshaji tafadhali
Sasa km hata surveyor hajaja utapataje namba ya taarifa, mfano miye nataka umeme toka mwezi wa nne mpk leo sijafanyiwa survey.Ndugu mpendwa Mteja wetu
Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.
Jina
Eneo
Wilaya
Namba ya simu
Tatizo
Toka lini
Namba ya taarifa
Ahsante sana
TANESCO Huduma kwa Wateja
Kuna namba pale juu kulia kwenye form yako ndio hiyo inahitajikaSasa km hata surveyor hajaja utapataje namba ya taarifa, mfano miye nataka umeme toka mwezi wa nne mpk leo sijafanyiwa survey.
Nawaandikia inbox sasa hvKuna namba pale juu kulia kwenye form yako ndio hiyo inahitajika
Karibu sanaNawaandikia inbox sasa hv
Mimi huwa nawapa rushwa,yaani yule Surveyor ndo wakumpa helaNa huu ndio ukweli unatesa watu hadi kero, unaenda Tanesco uwezo wa kulipia gharama zozote unao ,Changamoto wanaanza kukupa mpaka unasema serikali iko likizo ama wameamua kutunyosha tu
1)Surveyor wachache
2)Wahitaji ni wengi Mfano ukienda pale nyakato Mwanza utakutana na fomu kama 3000 watu wanahitaji umeme
3)Gharama za kununua Material hawana
4) Nguzo zimeisha
5)Nyaya zimeisha
6)Meter Hakuna
7)Magari hayatoshi
8) Watumishi ni wachache
Na huko DSTV sio kwamba alikuwa anaperform basi,Azam inawakimbiza ile mbaya,kinachowasaidia DSTV wapo sokoni siku nyingiHahaaaa!!hii nchi mtahangaika sana, kwa kuendekeza utendaji wa mtu binafsi badala ya ubora wa mifumo!!ametoka huko alikokuwa (sekta binafsi)na kuonekana ni bora, lakini anakuja huku serikalini ambako wao wako ki huduma zaidi na si kibiashara, utegemee ndio tiba ya matatizo yote?serikali haitoi pesa za kununua vifaa , mita, nguzo, nyaya, sasa nchi nzima ni kilio cha mlundikano wa watu kuhitaji huduma ya umeme, wanaambiwa vifaa hakuna!nguvu zote kwa sasa ni REA tu!!
Na bodi yenyewe hiyo iliyojaa wafanya biashara tupu, sioni kama kuna jipya!!
Msha ingia kwenye mfumo sasa mnataka kutupiga tuu haya zama zenu hizi mnataka tuingize kwa milion moja wakati tanesco wanafanya biasharaTatizo siasa kwenye mambo ya kitaalamu...
Mtu anaunganishiwaje umeme kwa 27,000?
Hakuna cha bure duniani, gharama halisi sio 27,000... nani analipia hiyo tofauti? Kama serikali imeamua kweli kuunganisha watu umeme kwa bei nafuu;
1. Mwananchi afanye application
2. Apewe control number yenye gharama halisi
3. Akampe Mwigulu alipe.
Shida ya Tanesco ndio hii umeshambia kuna watu wako karibia 2000 wanasubili kuunganishiwa umeme walishalipia, Mkaleta mita 20, Hakuna nyaya Hakuna mita, watu wanalalamika,sheria mnasema siku 30 za kazi umeme unakuwa umeounganishwa lakini mpaka siku 90 mtu hana umeme, Mlivyo wa ajabu mnataka taarifa ili mfinye watuTukishafika tunaanza wapi mkuu wetu? Je ungeweza kwenda bank ukalalamika bila taarifa? Mteja anawajibika kutoa taarifa kamili na za ukweli ili apatiwe huduma bira vinginevyo anajinyima haki ya kimsingi kuhudumiwa
HUU UTAKUWA NI UZEMBE KWA TANESCO HAKUNA KUREMBA HAPA,KWA SASA UMEME UNASAIDIA TRA KUKUSANYA KODI YAKE P/T,HUDUMA LAZIMA IWE YA HARAKA KWA WATEJE WAKE WITHIN 72 HOURS MTU AWE AMESHAFUNGIWA UMEMENa huu ndio ukweli unatesa watu hadi kero, unaenda Tanesco uwezo wa kulipia gharama zozote unao ,Changamoto wanaanza kukupa mpaka unasema serikali iko likizo ama wameamua kutunyosha tu
1)Surveyor wachache
2)Wahitaji ni wengi Mfano ukienda pale nyakato Mwanza utakutana na fomu kama 3000 watu wanahitaji umeme
3)Gharama za kununua Material hawana
4) Nguzo zimeisha
5)Nyaya zimeisha
6)Meter Hakuna
7)Magari hayatoshi
8) Watumishi ni wachache