TANESCO imeisamehe Zanzibar deni la umeme la bilioni 60

Ufisadi huu sasa!
 
Iwapo ccm itapitisha jina la Yule bibi kuwa mgombea watarajie ni Mgombea wa na Kile kisiwa.
 
Pesa za luku zinakwenda wapi..au huko hakuna luku Kuna (TUKWAU) Yani tumia Kwanza usamehewe!
 
Kuna nafasi nyingi zimetoka TRA naambiwa wametengewa zao.
 
Kumbuka kwamba wenzenu mumewaibia nchi nzimaaa nyie umeme tu unawauma kiasi hicho!

Kwa upande mwengine Wazanzibari wanakubaliana na wewe huu muungano ni wafigisu tupu bora tu uvunjwe!
Ukivunjwa kuna watu watakuwa wakimbizi
 
Chato!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…