TANESCO inaweza ikatengeneza faida kubwa sana endapo wataanza kukopesha units za LUKU. Hii ni ngumu kwa mteja kukwepa marejesho

Tatu,kwa kufanya hivyo inabidi Tanesco walipe kodi ya mapato yatakayotokana na mikopo ya umeme kwa muda fulani kitu hivyo hicho unachowaza kwamba ni "faida kubwa" haitakuwepo pesa nyingi italipa kodi (VAT na nyinginezo) na gharama za uendeshaji.
Kwani mapato ya sasa ya TANESCO yanalipiwa VAT (kodi za serikali au hapana)? Hiyo mitandao ya simu inayokopesha wanawezaje kupata faida kwa huduma hiyo? Kwani wao hawalipi kodi za serikali (VAT)?
 
Pili, Tanesco ili akopeshe umeme lazima awekeze hela ya kununua umeme toka kwa mzalishaji kwa minajiri ya mkopo tuu.
Nne,timing ya kumlipa mzalishaji itakuwa disrupted na mikopo ya umeme.
Unaona sasa ambavyo unajichanganya wewe mwenyewe. Point yako ya pili na ya nne zinakinzana pakubwa sana. Time ya kumlipa mzalishaji itakuwa interupted vipi wakati tayari umeshauri TANESCO lazima aweke hele ya kununua umeme kutoka kwa mzalishaji.
 
Fuatilia uendeshaji wa hili shirika ndio utajua kwanini selikali ime-monopolize huduma ya umeme. Kwanini hakuna soko huria la umeme. Yani kila mti azalishe na asambaze.
Serikali ime-monopolize huduma ya umeme kwa sababu ya miundombinu ya usambazaji kuwa migumu.

Kwani ni nini kimeleta ushindani kwa TTCL kama sio technology ya wireless? Unafikiri kukiwa na umeme wa wireless TANESCO hawataongeza ubunifu katika kutoa huduma zao?
 
CHADEMA hamuishi vituko
 
Unaweza ukawa na wazo zuri labda utufafanulie kidogo,unataka TANESCO ndo wapate faida au mwananchi asiye na uwezo wa kununua umeme ndo AFAIDIKE NA MKOPO??

Kumbuka huduma ya sasa ni "pre paid" hivyo TANESCO wanapata fedha nyingi sana kwa kukaa na fedha zetu tulizonunulia unit ambazo bado hatujazitumia.
 
Unaweza ukawa na wazo zuri labda utufafanulie kidogo,unataka TANESCO ndo wapate faida au mwananchi asiye na uwezo wa kununua umeme ndo AFAIDIKE NA MKOPO??
It's a two way traffic. TANESCO na MWANANCHI wote wananufaika.
 
Sawa mzee wa kutumia tusi "upumbavu" kama staha. Siwezi kujadiliana na mtu anayetanguliza matusi mbele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…