TANESCO inaweza ikatengeneza faida kubwa sana endapo wataanza kukopesha units za LUKU. Hii ni ngumu kwa mteja kukwepa marejesho

Musiba alipigia sana kelele hii skendo ila watanzania wakawa wanamuona kama vile chizi
Kumtongoza mwanamke siyo dhambi hata kama akiwa mke wa mtu.
Kosa hapo ni mwanamke kukubali. Hapo mwenyewe ushakutana na mitongozo mingi ila ni hiari yako kukubali au kukataa. Bila kutongoza hata huyo mume uliyenaye usingekuwa naye.
 
Zitto kuna kipindi alikuwa anachepuka na mke wa marehemu Deo Filikunjombe
Kosa siyo la Zitto, kosa ni la mke wa Filikunjombe. Anajua yeye ameolewa kwann akubali? Sisi wanaume ni km nyuki, ukiona mti wa maua mazuri lazima utue
 
Ni wazo zuri sana lakini kitakacho tokea endapo watu wakishindwa kulipa ni kurejelea karabai na mishumaa na hii ni kwa sababu sehemu kubwa ya watanzania hawataki au hawapendi kuwajibika kwa nafasi yao, kwa mfano mwenyewe umesema watu wanakopa voda na badala ya kulipa anahama mtandao, kitu ambacho kinaweza tokea pia kwa tanesco mtu anaweza akaopt solar instead, ila laiti tungekua na wawajibikaji na sio pesa ya mboga na vijicent tungefanikiwa lakini kwa nchi ambayo hata mkusanyaji wa kodi (serikali) si mwajibikaji ni ngumu coz cha kujiuliza mashirika ya serikali mangapi yanadaiwa na iyo tanesco. Ila kama tunataka kuliua kabisa shirika hii itakua option nzuri na kila mtu atakua kashiriki.
 
Kosa ni la Zitto kwa maana Esther ni demu wa level za mbali ambazo sio hadhi ya yule mkigoma
Mwanamke ni mwanamke tu ndiyo maana hata viserengeti boy vinakula.
Hakuna mwanamke mwenye hadhi ya juu ndiyo maana Zitto alikula. Mwanamke akikuelewa tu, unapiga zako mashine kwa roho safi
 
Never hawatoki kwenye mfumo huu
 
Write your reply...
HAWANA HAJA HII WAWEKE LUKU KTK VIWANDA NA MAOFISI YOTE. INATOSHA WATASHANGAA PESA ITAKAYOPATIKNA.
 
Ukiendekeza sana wanawake unafilisika fedha zako.
πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hayo ni mawazo ya kimasikini. Kama hauna fedha hauna tu wala usisingizie wanawake. Wanawake ndiyo wanatufanya tutafute pesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…