TANESCO inaweza ikatengeneza faida kubwa sana endapo wataanza kukopesha units za LUKU. Hii ni ngumu kwa mteja kukwepa marejesho

TANESCO inaweza ikatengeneza faida kubwa sana endapo wataanza kukopesha units za LUKU. Hii ni ngumu kwa mteja kukwepa marejesho

Vp sasa baada ya kukopa akihama kutoka Vodacom kisha akakopa na Tigo pamoja na Airtel, mtawezaje kumdhibiti
Kama atakua anahamahama mitandao kwaajili ya kukopa atakua na option 4 - 5 tu, lakini pia kwa hapo baadae hutoweza kusajili Sim card mpya kwenye mtandao mwingine kama una deni katika huduma za kifedha katika mtandao mwingine (Hili limeshafanyika kwenye huduma ya Mobile Number Portability), Pia ukiamua Usajili Sim card nyingine katika huo huo mtandao uliokopa, hutoweza kukopa kwenye Sim card yako mpya, Pia ikumbukwe mkopo unaopewa unaakisi matumizi yako katika hizo huduma za kifedha na mkopo unaopewa wanauhakika kwa asilimia zaidi ya 80 utakuwa na uwezo wa Kuulipa kulingana na historia yako ya Matumizi, bahati mbaya wa TZ wengi huwa wakikopeshwa katika hizi huduma za Kifedha hata kama wanauwezo wa Kulipa wengi huwa hawalipi na wanaona ni kama Sifa vile.
 
Tanesco itaanza kupoteza rasilimali watu/teknolojia kuanza ku deal na wadaiwa Sugu wa umeme wa elfu mbili mbili, Hii itakua ni sawa na Kuua Mende Kwa Nyundo.
Mkuu, wewe unaweza ukaishi sehemu ya giza kwa mwezi mmoja eti kwa kuwa TANESCO wanakudai 3,000?
 
Kama atakua anahamahama mitandao kwaajili ya kukopa atakua na option 4 - 5 tu, lakini pia kwa hapo baadae hutoweza kusajili Sim card mpya kwenye mtandao mwingine kama una deni katika huduma za kifedha katika mtandao mwingine (Hili limeshafanyika kwenye huduma ya Mobile Number Portability), Pia ukiamua Usajili Sim card nyingine katika huo huo mtandao uliokopa, hutoweza kukopa kwenye Sim card yako mpya, Pia ikumbukwe mkopo unaopewa unaakisi matumizi yako katika hizo huduma za kifedha na mkopo unaopewa wanauhakika kwa asilimia zaidi ya 80 utakuwa na uwezo wa Kuulipa kulingana na historia yako ya Matumizi, bahati mbaya wa TZ wengi huwa wakikopeshwa katika hizi huduma za Kifedha hata kama wanauwezo wa Kulipa wengi huwa hawalipi na wanaona ni kama Sifa vile.
Hakuna hoja yoyote ya maana humu
 
Hii itaongeza mzigo kwa TANESCO , mitandao ya Simu tayari ina huduma za kukukopesha fedha kulingana na Mwenendo wako wa Miamala ya Kifedha Kwa mfano Vodacom wana huduma ya Songesha unaweza kutumia huduma hiyo kukopa fedha ya kununua luku na Kiasi cha fedha hii utapatiwa kulingana na Mwenendo wako wa matumizi ya huduma za kifedha, baada ya hapo mtandao husika wa Simu uta 'deal' na wewe moja kwa moja.
Nakuona manager wa TANESCO unavyopinga hoja kwa manufaa yako teh teh teh teh
 
Kama atakua anahamahama mitandao kwaajili ya kukopa atakua na option 4 - 5 tu, lakini pia kwa hapo baadae hutoweza kusajili Sim card mpya kwenye mtandao mwingine kama una deni katika huduma za kifedha katika mtandao mwingine (Hili limeshafanyika kwenye huduma ya Mobile Number Portability), Pia ukiamua Usajili Sim card nyingine katika huo huo mtandao uliokopa, hutoweza kukopa kwenye Sim card yako mpya, Pia ikumbukwe mkopo unaopewa unaakisi matumizi yako katika hizo huduma za kifedha na mkopo unaopewa wanauhakika kwa asilimia zaidi ya 80 utakuwa na uwezo wa Kuulipa kulingana na historia yako ya Matumizi, bahati mbaya wa TZ wengi huwa wakikopeshwa katika hizi huduma za Kifedha hata kama wanauwezo wa Kulipa wengi huwa hawalipi na wanaona ni kama Sifa vile.
Baba umeandika msaafu mzima bila nukta hata moja.
 
Back
Top Bottom