TANESCO kuzima Umeme siku 2 kwa saa 12 (Agosti 26 -28 2023), Mikoa 15 gizani

TANESCO kuzima Umeme siku 2 kwa saa 12 (Agosti 26 -28 2023), Mikoa 15 gizani

Siku zote njia ya muongo ni fupi na husimsemee mwenzio ubaya,wakati hakua hivyo. Maana kipindi anakabidhiwa akasema ataanza na maintenance ya vituo vya kuzalishia umeme na maintenance za mitambo sababu zamani walikuwa hawafanyi.

Wakamwachia kipindi kama cha mwaka,afanye hizo maintenance, ila still bado umeme unakata viuno.
 
Bwana yule, Nape + Mwigulu hehe vichekesho, Nape yeye kishakubali kuwa ni mfanyakazi wa Vodacom, na afisa masoko wa Vodacom, zero output kwa watanzania.

Makamba mzee wa maneno mengi vitendo zero, alianza kusema miaka mitano hakukuwa na maintenance, baadae hakuna mvua , mvua zikashuka sijui Leo atasema nini, ni suala la muda .

Kwa ufupi ccm ni janga, yaani hakuna waziri au wizard inayofanya vizuri, na wako na furaha kwa maendeleo ujinga haya tuliyonayo, pumzi zilisha kwisha ccm.
 
Huku mimi tayari,kuko giza.Nadhani asubuhi watarejesha,kama ratiba inavyosema.Masaa tu,ndiyo yamecheleweshwa.
 
Ni kweli huko UARABUNI umeme haukatiki hata kwa dakika moja maana kuna joto la kufa mtu 😅😅
Bila shaka watakuwa na utaalamu mkubwa sana !!
Kwahiyo waarabu wote walizaliwa kwenye umeme na muda wote wapo kwenye umeme kama vifaranga vya mayai!
Bora wapewe Bunge letu ili waliendeshe kwa weredi na kusimamia miradi yote kwa pamoja.
 
Back
Top Bottom