TANESCO kuzima Umeme siku 2 kwa saa 12 (Agosti 26 -28 2023), Mikoa 15 gizani

TANESCO kuzima Umeme siku 2 kwa saa 12 (Agosti 26 -28 2023), Mikoa 15 gizani

Punguza utoto wako hapa nani kakwambia umeme wa Tanzania unategemea Maji? 75% ya umeme unategemea Gesi so kama hao unaowaita wahujumu umeme wangetaka kuleta mgao unaposema hapa wangeenda pasua mabomba ya gesi utatokea mgao wa miezi hata 6!! Ila eti wasifanye hivyo ila mgao wa siku mbili tu Tena wa kuunga Gridi ya Taifa ndio iwe hujuma?

JPM aliwaharibu ubongo nyie sio Bure
Wewe umejawa upimbi mwingi, "siku mbili tu"? Kwamba ni sawa nchi kuwa gizani kwa siku mbili na wewe kwa ufahamu wako unaona "siku mbili tu" ni kawaida.

Nchi ya wajinga sana hii.
 
Wewe umejawa upimbi mwingi, "siku mbili tu"? Kwamba ni sawa nchi kuwa gizani kwa siku mbili na wewe kwa ufahamu wako unaona "siku mbili tu" ni kawaida.

Nchi ya wajinga sana hii.
Tena sio siku 2 tu ....week ya 3 sahivi huku maeneo ya kimara umeme unakatika hata masaa 4 sio usiku sio mchana....yaan uyo ni pimbi pro max
 
Wewe umejawa upimbi mwingi, "siku mbili tu"? Kwamba ni sawa nchi kuwa gizani kwa siku mbili na wewe kwa ufahamu wako unaona "siku mbili tu" ni kawaida.

Nchi ya wajinga sana hii.
Elewa hoja? Wao wanadai umeme wa siku mbili unakatwa Ili kuuza majenereta? Sasa inaingia akilini kweli? Yaani uzime umeme viwandani kwa siku mbili Ili tu uuze majenereta kwa siku mbili pekee?
 
Elewa hoja? Wao wanadai umeme wa siku mbili unakatwa Ili kuuza majenereta? Sasa inaingia akilini kweli? Yaani uzime umeme viwandani kwa siku mbili Ili tu uuze majenereta kwa siku mbili pekee?
Kwamba kwa hii nchi hili haliwezekani? Unadhani watu wenye kuingiza kipato kupitia nishati ya umeme wanaishije kwa siku mbili?(kwanza sio siku mbili tu coz last week tumekaa siku nzima bila nishati)Mtu anaona heri kupoteza kiasi fulani akanunue generator as umeme ni wa magumashi.

Kwa nchi hii lolote laweza kuwa kweli.
 
Sio mihemko mnadhalilisha jukwaa kwa kuleta propaganda za yule shetani!! Yaani jenereta la million 1 ndio uzime umeme wa kiwanda kinachozalisha mabilioni? Hauko serious dogo, huo utoto pelekeni Facebook huko.
Siwezi kukulaumu akili zako ndio zimeishia hapo....nasisitiza usinipangie chakupost .....Rip magu tulikupenda sana....
 
Tumeambiwa Kila mtu ale urefu wa kamba yake.Tatizo linatengenezwa upigajiunafanyika.
Kwa hiyo kuna wale wa kamba ya genereta, halafu wa kamba ya mafuta ya petroli, dizeli na taa, kamba ya solar panels na vifaa vyake, kamba ya wizi kukiwa na giza, kamba ya uvivu kwa kisingizio cha kutokuwepo umeme, halafu kamba ya mzima mitambo mwenyewe sijui inahusu nini, spea au tenda!!
 
Shirika hilo la Umeme limesema njia ya umeme itakayozimwa ni kutoka Kidatu kwenda Kihansi kwa siku mbili kuanzia Agosti 26 hadi 28 2023

Umeme utakuwa wa mgawo kwa Saa 12 kuanzia Saa 1 Jioni hadi 12 Asubuhi huku Mikoa ya Njombe, Ruvuma na Mbeya ikitarajiwa kuathirika

Mikoa mingine ni Dodoma, Singida, Manyara, Arusha, Shinyanga, Kilimanjaro, Simiyu, Tabora, Mwanza, Geita na Iringa

Vipi Mdau, umejiandaaje kukabiliana na Mgawo huo?
Halafu ndio nchi inajigamba kuleta treni ya umeme,kila siku mgao
 
Tunajua hizo ni ajenda za wenye fedha kuzima umeme ili wauze mafuta, majenereta kwa wingi...msije sema sikuwaambia ...zoezi hilo litakua ni endelevu kwa miezi isiojulikana.....RIP Magufuli enzi zako tulisahau giza
Huna tofauti na nguruwe jike
 
Updates:

Nipo kwenye moja ya hiyo mikoa tajwa na hawajazima,walikata saa 11:54 jioni na kurudisha 12:20 jioni hii.
 
Back
Top Bottom