Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au tuwape DP wedi watusaidie....!Tanesco wanafeli Sana nadhani wangejitokeza competitors wengine ingekuwa poa
Katavi full bataYaani kila mgao Shinyanga na Geita hazikosi
Ndio miradi yao hiyo lazima itengenezwe demandSolar panel ndio yenyewe na jua hili bila tabu kabisa
Umeme utakatwa usiku wa tarehe 26 kuamkia 27(1) na 27 kuuamkia 28(2), sasa hiyo ya tatu ni ipi! JF imekuwa ya hovyo kumejaa wajuaji.Shirika hilo la Umeme limesema njia ya umeme itakayozimwa ni kutoka Kidatu kwenda Kihansi kwa siku mbili kuanzia Agosti 26 hadi 28 2023
Umeme utakuwa wa mgawo kwa Saa 12 kuanzia Saa 1 Jioni hadi 12 Asubuhi huku Mikoa ya Njombe, Ruvuma na Mbeya ikitarajiwa kuathirika
Mikoa mingine ni Dodoma, Singida, Manyara, Arusha, Shinyanga, Kilimanjaro, Simiyu, Tabora, Mwanza, Geita na Iringa
Vipi Mdau, umejiandaaje kukabiliana na Mgawo huo?
Mama piga kazi wananchi wanakukubalii
Kaza ulimi dada, Mwalabu!(ra, ra rabu mwarabu).Mpeni Mwalabu
Ni kweli huko UARABUNI umeme haukatiki hata kwa dakika moja maana kuna joto la kufa mtu 😅😅WAPEWE DP WORLD TUMEAMBIWA WANA UWEZO MKUBWA
Kwakweli !Mtanikumbuka Hayati Magufuli
Yeyote tu anayeweza hata dipi wedi sawa tu sisi tunataka maendeleo hatutazami sura za watu !!Au tuwape DP wedi watusaidie....!
UARABUNI umeme huwa haukatiki kabisa !!TANESCO itafute mbia kutoka nchi iliyo mbele au NCHI yenye tecs kubwa katika maswala ya Umeme hakuna jinsi..