TANESCO: Mtambo wa kuzalisha Megawati 20 za umeme umewasili Nchini ukitokea Marekani

TANESCO: Mtambo wa kuzalisha Megawati 20 za umeme umewasili Nchini ukitokea Marekani

Ijumaa Desemba 2, 2022, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) lilitoa taarifa ya jitihada za muda mfupi zilizokamilika pamoja na zinazoendelea kufanyika katika kukabiliana na upungutu wa umeme.

Leo Jumanne Desemba 6,2022, TANESCO imetoa ripoti kuwa tayari mtambo wenye uwezo wa kuzalisha Megawati 20 za umeme umewasili Nchini ukitokea Marekani siku ya Jumamosi Desemba 3, 2022.

Mtambo huo utafungwa katika kituo cha kuzalisha umeme kwa kutumia gesi asilia cha Ubungo namba Ill.

Majaribio ya mitambo miwili katika kituo cha upanuzi cha Kinyerezi namba I yanaendelea vizuri, na kwa sasa mitambo hiyo inaingiza jumla ya Megawati 65 za umeme katika Gridi ya Taifa.

Wamesema kuwa wanategemea hadi kufikia mwishoni mwa mwezi Desemba 2022, mitambo hiyo itakuwa ikizalisha jumla ya Megawati 90.

“Bado tunaendelea na kazi za matengenezo ya mitambo miwili ya Ubungo namba Ill ambapo baada ya kukamilika mwishonl mwa Desemba 2022, itazalisha jumla ya Megawati 40 za umeme.

Kuhusu jitihada za kati Tanesco wamesema “Tunategemea mitambo mingine miwili kuanza kufanyakazi katika kituo cha upanuzi cha Kinyerezi namba I kuanzia mwezi Februari 2023 ili kuingiza Megawati 90 za umeme katika Gridi ya Taifa.
View attachment 2437844
Nchi hii bado inaendeshwa kama familia ya Kiswahili mara kanunue kiberiti, kanunue chumvi ya kupima, mara rudi kalete pishi moja ya mafuta…
 
kakojoe kwenye mito ili tupate maji ya kusukuma mitambo.
Unaona kabisa ukame hata maji ya matumizi nyumbani mgogoro bado unawaza umeme wa maji!
Twendeni Polepole tutafika tu bila hata ya kukojoa !!
 
Tumenunua, Tumekodisha au tumefanyaje kwa Kiasi gani cha Pesa..., Na uzalizashaji wa hio mitambo utagharimu taifa kiasi gani...., Hii Kampuni inatumika kuwanufaisha watu wachache wakati wengi wanaumia
 
Hizi jitihada za muda mfupi zimetugharimu sana kama Taifa, hasa kupitia hili shirika la Umeme, nitashangaa kama mwisho wa siku haitakuja kuwa kashfa, ni suala la muda tu.
Kama halitakuja kuwa kashifa niite [emoji240]
 
Ijumaa Desemba 2, 2022, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) lilitoa taarifa ya jitihada za muda mfupi zilizokamilika pamoja na zinazoendelea kufanyika katika kukabiliana na upungutu wa umeme.

Leo Jumanne Desemba 6,2022, TANESCO imetoa ripoti kuwa tayari mtambo wenye uwezo wa kuzalisha Megawati 20 za umeme umewasili Nchini ukitokea Marekani siku ya Jumamosi Desemba 3, 2022.

Mtambo huo utafungwa katika kituo cha kuzalisha umeme kwa kutumia gesi asilia cha Ubungo namba Ill.

Majaribio ya mitambo miwili katika kituo cha upanuzi cha Kinyerezi namba I yanaendelea vizuri, na kwa sasa mitambo hiyo inaingiza jumla ya Megawati 65 za umeme katika Gridi ya Taifa.

Wamesema kuwa wanategemea hadi kufikia mwishoni mwa mwezi Desemba 2022, mitambo hiyo itakuwa ikizalisha jumla ya Megawati 90.

“Bado tunaendelea na kazi za matengenezo ya mitambo miwili ya Ubungo namba Ill ambapo baada ya kukamilika mwishonl mwa Desemba 2022, itazalisha jumla ya Megawati 40 za umeme.

Kuhusu jitihada za kati Tanesco wamesema “Tunategemea mitambo mingine miwili kuanza kufanyakazi katika kituo cha upanuzi cha Kinyerezi namba I kuanzia mwezi Februari 2023 ili kuingiza Megawati 90 za umeme katika Gridi ya Taifa.
View attachment 2437844
Good
 
Ijumaa Desemba 2, 2022, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) lilitoa taarifa ya jitihada za muda mfupi zilizokamilika pamoja na zinazoendelea kufanyika katika kukabiliana na upungutu wa umeme.

Leo Jumanne Desemba 6,2022, TANESCO imetoa ripoti kuwa tayari mtambo wenye uwezo wa kuzalisha Megawati 20 za umeme umewasili Nchini ukitokea Marekani siku ya Jumamosi Desemba 3, 2022.

Mtambo huo utafungwa katika kituo cha kuzalisha umeme kwa kutumia gesi asilia cha Ubungo namba Ill.

Majaribio ya mitambo miwili katika kituo cha upanuzi cha Kinyerezi namba I yanaendelea vizuri, na kwa sasa mitambo hiyo inaingiza jumla ya Megawati 65 za umeme katika Gridi ya Taifa.

Wamesema kuwa wanategemea hadi kufikia mwishoni mwa mwezi Desemba 2022, mitambo hiyo itakuwa ikizalisha jumla ya Megawati 90.

“Bado tunaendelea na kazi za matengenezo ya mitambo miwili ya Ubungo namba Ill ambapo baada ya kukamilika mwishonl mwa Desemba 2022, itazalisha jumla ya Megawati 40 za umeme.

Kuhusu jitihada za kati Tanesco wamesema “Tunategemea mitambo mingine miwili kuanza kufanyakazi katika kituo cha upanuzi cha Kinyerezi namba I kuanzia mwezi Februari 2023 ili kuingiza Megawati 90 za umeme katika Gridi ya Taifa.
View attachment 2437844
- Kwa nini hawasemi kama huo mtambo wa MW 20 kutoka USA wameununua au wamekodisha? Wanasema tu umewasili. Hawasemi wameunua kwa shillingi ngapi au wameukodisha kwa gharama gani na capacity charges zitakuwa billion ngapi kwa siku za kamtambo hako kadogo ka MW 20 tu?

- Ule mtambo wenye uwezo wa kuzalisha MW 80 uliokuwapo pale Nyakato Mwanza kwa nini hauwashwi kipindi hiki cha dharura? Au ulishayeyukia wapi? Kwa nini yale majenereta ya Kigoma waliyazima wakati kuna upungufu wa umeme?

- Hizi mvua zinazonyesha kwa wingi bado tu hazijajaza hayo mabwawa ya Kidatu, Mtera, Pangani na nyumba ya Mungu? Mbona yale ya Dawasa yamejaa na hakuna tena uhaba wa maji katika jiji la Dar es Salaam? Mbona mto Rufiji umejaa na mnategemea kuanza kujaza hilo bwawa la JNHPP wiki ijayo?

- Hiyo haraka haraka ya kwenda kukodisha hako ka mtambo kadogo kutoka USA imetoka wapi? Kabla ya kumaliza kukafunga hapo Kinyerezi mabwawa yote yatakuwa yameshajaa maji kwa mvua zinazoendelea na hali itakuwa imerejea kama mwanzo.
 
Hizi jitihada za muda mfupi zimetugharimu sana kama Taifa, hasa kupitia hili shirika la Umeme, nitashangaa kama mwisho wa siku haitakuja kuwa kashfa, ni suala la muda tu.

Km ulikuwepo kwenye kichwa changu mkuu…Richmond party two inanukia
 
TANESCO ni Taasisi maalum Kwa ajili ya kukamilisha mipango ya wizi wa rasilimali za muda
 
Ijumaa Desemba 2, 2022, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) lilitoa taarifa ya jitihada za muda mfupi zilizokamilika pamoja na zinazoendelea kufanyika katika kukabiliana na upungutu wa umeme.

Leo Jumanne Desemba 6,2022, TANESCO imetoa ripoti kuwa tayari mtambo wenye uwezo wa kuzalisha Megawati 20 za umeme umewasili Nchini ukitokea Marekani siku ya Jumamosi Desemba 3, 2022.

Mtambo huo utafungwa katika kituo cha kuzalisha umeme kwa kutumia gesi asilia cha Ubungo namba Ill.

Majaribio ya mitambo miwili katika kituo cha upanuzi cha Kinyerezi namba I yanaendelea vizuri, na kwa sasa mitambo hiyo inaingiza jumla ya Megawati 65 za umeme katika Gridi ya Taifa.

Wamesema kuwa wanategemea hadi kufikia mwishoni mwa mwezi Desemba 2022, mitambo hiyo itakuwa ikizalisha jumla ya Megawati 90.

“Bado tunaendelea na kazi za matengenezo ya mitambo miwili ya Ubungo namba Ill ambapo baada ya kukamilika mwishonl mwa Desemba 2022, itazalisha jumla ya Megawati 40 za umeme.

Kuhusu jitihada za kati Tanesco wamesema “Tunategemea mitambo mingine miwili kuanza kufanyakazi katika kituo cha upanuzi cha Kinyerezi namba I kuanzia mwezi Februari 2023 ili kuingiza Megawati 90 za umeme katika Gridi ya Taifa.
View attachment 2437844
kwanini msitumie huu wa bei rahisi... mbona mnapenda kutumia vitu vya bei kubwa??
1670410969295.png
 
Back
Top Bottom