TANESCO mtihani wa umeme mliowaingiza watanzania ni mkubwa sana, ila Mungu anawaona

TANESCO mtihani wa umeme mliowaingiza watanzania ni mkubwa sana, ila Mungu anawaona

Wa kuibadilisha TZ ni wewe, usimsubiri Lisu.
Sisi ni waoga sana, elimu hatuna na pia hatupendi kusomesha wanetu.

Utandawazi umetuvaa mapema kabla hatujajipanga vizuri, mambo ni mengi muda mchache.
 
Tulishuhudia Makamba akiondolewa Wizara ya Nishati akiletwa Biteko, tukadhani nia ilikuwa njema kuboresha upatikanaji wa umeme
Biteko kakaa pale km gelesha tu hakuna anachoweza kuwaambia TANESCO wakamsikia TANESCO wanafanya wanavyojisikia wao na hakuna narudia tena hakuna mtu yeyote wa kuwaambia kitu, wanaishia kupewa matamko ya mdomo tu Ila wao ndio waamuzi wanaambiwa Mwezi wa pili wawashe kinu wao wanawasha watapojisikia wanaambiwa Mwezi wa sita fyokofyoko wao watafanya wanavyojisikia hao ndio TANESCO
 
Biteko kakaa pale km gelesha tu hakuna anachoweza kuwaambia TANESCO wakamsikia TANESCO wanafanya wanavyojisikia wao na hakuna narudia tena hakuna mtu yeyote wa kuwaambia kitu, wanaishia kupewa matamko ya mdomo tu Ila wao ndio waamuzi wanaambiwa Mwezi wa pili wawashe kinu wao wanawasha watapojisikia wanaambiwa Mwezi wa sita fyokofyoko wao watafanya wanavyojisikia hao ndio TANESCO
Yes,above the law.Bahati mbaya sana kwa Watanzania.Ndio bwana,hii👇ndiyo TANESCO.
 

Attachments

  • VID-20240203-WA0000.mp4
    4.2 MB
Swala la umeme nchini mwetu linafikirisha sana,ni mzigo mkubwa sana,ambao watanzania tulio wengi tunashindwa kuubeba.Jambo la kushangaza ni kwamba hakuna anayepaza sauti yake kuongelea swala la umeme,si Wabunge,viongozi wa vyama vya siasa au viongozi wa dini,kila mtu amefumba kinywa,kuna nini nyuma ya pazia?Ni kama TANESCO hawatawaliwi na Sheria yeyote ya nchi na hawapo chini ya mamlaka yeyote,wanawasha wanapo taka na wanazima wanapo taka. Wengi tunajiuliza hali hii mpaka lini.Ndio tumeshawahi kuwa na matatizo ya umeme lakini si kwa kiwango hiki, tena mvua zinanyesha kwa wingi kwa hiyo ni wazi mabwawa yamejaa maji.Hapa nyumbani kwangu kwa mfano sikuwa na umeme tangu jana usiku,umerudi only 5 minutes ago saa 9:25,na sasa hivi saa 9:31 umekatika,and this is the norm. This situation is unbearable,new and extremely saddening.Tatizo ni nini haijawahi kuwekwa wazi hasa, ni kama tatizo hili haliwaathiri na wala haliwahusu Watanzania.Hivi watawala wamesahau kwamba upatikanaji wa vitu vya msingi kama maji na chakula vinategemea umeme,bila kusahau huduma za afya na biashara mbali mbali nk.nk.?Ni kama watawala wamejitoa ufahamu hivii....!

Tulishuhudia Makamba akiondolewa Wizara ya Nishati akiletwa Biteko, tukadhani nia ilikuwa njema kuboresha upatikanaji wa umeme.Kumbe nia ilikuwa kuongeza tatizo!Sasa umeme umekuwa ni a luxury commodity kwa Watanzania.

Inashangaza kwamba hapajawahi kuwa na tamko lolote "la kueleweka" si kutoka TANESCO au Serikalini kwamba kiini cha ukosefu wa umeme nchini hasa ni nini.To them kutotoa maelezo ya kina ya kueleweka is fine and well for them. Sijawahi kuona katika nchi yetu hali kama hii,ni kama hatuna Rais vile....It is indeed a shame.Hivi kwa hali hii CCM na Serikali yake inategemea wananchi 2025 waende kupiga kura kweli?Lazima nikiri itakuwa muujiza possible only in Tanzania with CCM. Labda magical spell ya mwenge itafanya kazi?Sijui bwana ngoja tusubiri.

Lakini naomba watawala wakumbuke kwamba Mungu amewaweka ili waongoze watu wake kwa niaba Yake. Wanapofika mahali hawajali ya Mungu wanajali yao, wanaingiza nchi katika laana na hasira ya Mungu. Ni jambo la kutisha sana kukabiliana na hasira ya Mungu head-on.Samia na genge lake wageuke,watubie uovu wao na waongoze Watanzania kwa haki,ili waepuke hasira ya Mungu.Kwa jinsi mambo yalivyo sasa ni vigumu sana nchi yetu kuepuka hasira ya Mungu at some point.

Binafsi nimefika mahali sasa nikiona tangazo la TANESCO popote nasikia kichefu chefu.Eti "TANESCO tunaangaza maisha yako,"acheni unafiki,watu wapo gizani halafu mnasema mnaangaza maisha yao,unafiki mtupu,sitisheni tangazo hilo mara moja,linazidisha tu hazira ya Watanzania.Watanzania tunataka umeme,maelezo yeyote mtakayo-toa yana-expose tu your rottenness as a system,we are fed up.Infact Mimi binafsi nimekwenda mbali na kuwaza au watawala wa dunia NWO through the WEF wameshatoa orders kwa serikali za dunia zianze kutesa wananchi wao,because this is simply unprecedented.
Eti Mungu anawaona! Watanzania bwana. Mungu amekupa akili uzitumie. Hakuna nchi inayoendelea bila wananchi wake kuwawajibisha viongozi wao wanapofanya uzembe. Bila kukiwasha ni bure, utabaki kusema Mungu anawaona Mungu anawaona huku ukizidi kuteseka.
 
Eti Mungu anawaona! Watanzania bwana. Mungu amekupa akili uzitumie. Hakuna nchi inayoendelea bila wananchi wake kuwawajibisha viongozi wao wanapofanya uzembe. Bila kukiwasha ni bure, utabaki kusema Mungu anawaona Mungu anawaona huku ukizidi kuteseka.
Anza wewe basi halafu sisi tutafuata nyuma.Mkono mtupu haulambwi mkuu.

Anyway,hakuna jambo linalomshinda Mungu,he can do literally anything.Sasa kwa vile sisi Watanzania jinsi tulivyo aidha kwa
asili yetu au kwa kuwa tumefanywa kuwa mazombi kwa kutumia mwenge or whatever hatuwezi,tumeamua kumuachia muweza wa yote.
 
Yes,above the law.Bahati mbaya sana kwa Watanzania.Ndio bwana,hii👇ndiyo TANESCO.
Hakuna wa kuwafungulia mashtaka
Hakuna wa kuwapelekesha
Hakuna wa kuwashtua kwamba watu wanaumia
Wanafanya wanavyojisikia wao kufanya
Hakuna narudia tena hakuna mtu yeyote wa kuwaambia kitu TANESCO
Mtu huyo hayupo
Hao mabwana wameshashindikana
Kilichobakia ni kuishi nao kwa uvumilivu wakikata wewe vumilia tu kupigwa na mbu mpaka kukuche wao hawajali kuhusu hilo
Hawajali umelipia Pesa yako au namna gani
Utaambiwa viwanda vimeongezeka ndio maana umeme umekua wa mgao
Hawaishiwi visingizio vya kutungatunga uongo uongo
Utaambiwa maji yamejaa kwenye Bwawa la kuzalishwa umeme yanazuia mitambo isifanye kazi kwa hio ndio maana kuna mgao

Ngoja niishie hapo
 
Anza wewe basi halafu sisi tutafuata nyuma.Mkono mtupu haulambwi.Anyway,hakuna Jambo linalomshinda Mungu,he can do anything.Sasa kwa kuwa sisi Watanzania jinsi tulivyo hatuwezi,tumeamua kumuachia muweza wa yote.
Nilishanza. Maandamano ya Dar nilikuwepo, na Mwanza nitaenda.
 
Nilishanza. Maandamano ya Dar nilikuwepo, na Mwanza nitaenda.
Good luck.Ila naomba nikukumbushe kuwa viongozi waovu Mungu wakati mwingine anawaleta kwa kuwa watu tumekuwa waovu sana,so God is punishing us.The best way therefore
of tackling the problems we have in Tanzania is through changing our ways,not through demonstrations.In that way,God will give us leaders with heavenly wisdom.Taifa letu limemuasi Mungu kabisa,si wananchi wala viongozi,hakuna anayemtafuta Mungu.Ni lazima tutubu na kumgeukia Mungu wa kweli, si miungu hii ya kutembeza barabarani.
 
Good luck.Ila naomba nikukumbushe kuwa viongozi waovu Mungu wakati mwingine anawaleta kwa kuwa watu tumekuwa waovu sana,so God is punishing us.The best way therefore
of tackling the problems we have in Tanzania is through changing our ways,not through demonstrations,so that God can give us leaders with wisdom from God.Taifa letu limemuasi Mungu kabisa.
Huu ni uongo wa mchana kweupe. Mbona kuna nchi zimeendelea sana na zina mambo maovu na hata wanaokwenda kwenye nyumba za ibada ni wachache mno? BTW kama hao viongozi waovu wameletwa na Mungu kwa nini unawaambia tena eti ''Mungu anawaona?''. Si uwaache watunyooshe sasa?
 
Huu ni uongo wa mchana kweupe. Mbona kuna nchi zimeendelea sana na zina mambo maovu na hata wanaokwenda kwenye nyumba za ibada ni wachache mno? BTW kama hao viongozi waovu wameletwa na Mungu kwa nini unawaambia tena eti ''Mungu anawaona?''. Si uwaache watunyooshe sasa?
Huwezi kunielewa.
 
Huwezi kunielewa.
Siwezi kwa sababu akili zako zimejaa consipiracy theories zisizo na ukweli wowote. Ninyi ni wale mnasoma vitabu vya dini na kuelewa ndivyo sivyo au mnawapa ''manabii'' akili zenu wazishike. Una tofauti gani na Gwajima aliyekuwa anasema ugonjwa wa korona unakwenda kuinuaMagufuli na Tanzania iwe nchi tajiri kuliko zote kwa sababu wamekataa chanjo? Kuwa eti nchi nyingine watageuka ndondocha wote.
 
Siwezi kwa sababu akili zako zimejaa consipiracy theories zisizo na ukweli wowote. Ninyi ni wale mnasoma vitabu vya dini na kuelewa ndivyo sivyo au mnawapa ''manabii'' akili zenu wazishike. Una tofauti gani na Gwajima aliyekuwa anasema ugonjwa wa korona unakwenda kuinuaMagufuli na Tanzania iwe nchi tajiri kuliko zote kwa sababu wamekataa chanjo? Kuwa eti nchi nyingine watageuka ndondocha wote.
Umeandika upupu mkuu,mimi siamini Nabii yeyote kati ya hawa unaowajua wewe,kwangu ni waganga wa kienyeji tu.Halafu nikupe nyeupe na kavu,kama umechanja pole,waliochanjwa wanapukutika polepole kwa myocarditis,
cancer nk.nk.
 
We mjinga TANESCO wana kosa gani? hujui watu wa kulaumu?
Hivi ninyi watu mna akili gani?Watanzania wanajua TANESCO ndio waliopewa jukumu la kuwapa umeme,hawaja deliver,Sasa nani alaumiwe?Tuambie wewe basi ambae tutamlalamikia kwa tatizo la umeme tulilo nalo
 
Umeandika upupu mkuu,mimi siamini Nabii yeyote kati ya hawa unaowajua wewe,kwangu ni waganga wa kienyeji tu.Halafu nikupe nyeupe na kavu,kama umechanja pole,waliochanjwa wanapukutika polepole kwa myocarditis,
cancer nk.nk.
Wewe ni hawa watu waliolimbukia kwenye vitabu vya dini. Halafu bado ni mshamba kweli kweli, umejifungia kanisa fulani ukilishwa uongo. Unajua Ulaya na USA walichanja watu wangapi? Ujinga ni mzigo!
 
Eti Mungu anawaona! Watanzania bwana. Mungu amekupa akili uzitumie. Hakuna nchi inayoendelea bila wananchi wake kuwawajibisha viongozi wao wanapofanya uzembe. Bila kukiwasha ni bure, utabaki kusema Mungu anawaona Mungu anawaona huku ukizidi kuteseka.
Hii nchi ni waoga kuliko hata mbwa koko
 
Nimekuwa najiuliza kwa nini serikali imekuwa na kikugumizi cha kuwaambia wananchi chanzo halisi cha tatizo la umeme?Katika hali ya kushangaza, TANESCO nayo ipo kimya,sisi wananchi are left guessing.Bomu limeshushwa,hili hapa chini👇.

Ni hujuma mbaya, mbaya kwa Watanzania ambayo Tanzania haijawahi kuishuhudia tangu uhuru.Kinachoshangaza ni kwa nini wahusika hawachukuliwi hatua,kwa kuwa ni wazi serikali inawajua!Ni nini hasa kinaendelea nyuma ya pazia??????

Hii inatupa picha kwamba serikali inafurahi au ni co-conspirator katika matatizo ya umeme yanayoendelea nchini.Lakini kwa nini serikali ifurahi ikiwa sisi ni wananchi wake????Au maagizo ya NWO kupitia WEF yamesha anza kutekelezwa, maana WEF ilishatoa maelekezo kwamba tunapoelekea kwenye One World Government during the Great Reset,serikali za Dunia zisiwajali kabisa wananchi wao,na mateso during the Great Reset ni lazima na ni sehemu ya the march towards the One World Government.It is so terrifying.
 

Attachments

  • VID-20240211-WA0001.mp4
    10.7 MB
Arusha Tujuane hapa,umeme ni changamoto muda huu sombetini hakuna umeme,Jana wamekata sa saba mchana ukarudi Leo sa Tano kasoro,mda huu Tena umekatika aisee ni kama mateso Kila siku
 
Back
Top Bottom