Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Biteko kakaa pale km gelesha tu hakuna anachoweza kuwaambia TANESCO wakamsikia TANESCO wanafanya wanavyojisikia wao na hakuna narudia tena hakuna mtu yeyote wa kuwaambia kitu, wanaishia kupewa matamko ya mdomo tu Ila wao ndio waamuzi wanaambiwa Mwezi wa pili wawashe kinu wao wanawasha watapojisikia wanaambiwa Mwezi wa sita fyokofyoko wao watafanya wanavyojisikia hao ndio TANESCOTulishuhudia Makamba akiondolewa Wizara ya Nishati akiletwa Biteko, tukadhani nia ilikuwa njema kuboresha upatikanaji wa umeme
Wenye mradi wao wakikusikia wataongeza nguvu ya kukata umeme unataka biashara idode?Siku umeme utatulia kama kipindi cha jpm majenereta yatashuka bei maana yatakua mengi mtaani ayana kazi
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Yes,above the law.Bahati mbaya sana kwa Watanzania.Ndio bwana,hii👇ndiyo TANESCO.Biteko kakaa pale km gelesha tu hakuna anachoweza kuwaambia TANESCO wakamsikia TANESCO wanafanya wanavyojisikia wao na hakuna narudia tena hakuna mtu yeyote wa kuwaambia kitu, wanaishia kupewa matamko ya mdomo tu Ila wao ndio waamuzi wanaambiwa Mwezi wa pili wawashe kinu wao wanawasha watapojisikia wanaambiwa Mwezi wa sita fyokofyoko wao watafanya wanavyojisikia hao ndio TANESCO
Eti Mungu anawaona! Watanzania bwana. Mungu amekupa akili uzitumie. Hakuna nchi inayoendelea bila wananchi wake kuwawajibisha viongozi wao wanapofanya uzembe. Bila kukiwasha ni bure, utabaki kusema Mungu anawaona Mungu anawaona huku ukizidi kuteseka.Swala la umeme nchini mwetu linafikirisha sana,ni mzigo mkubwa sana,ambao watanzania tulio wengi tunashindwa kuubeba.Jambo la kushangaza ni kwamba hakuna anayepaza sauti yake kuongelea swala la umeme,si Wabunge,viongozi wa vyama vya siasa au viongozi wa dini,kila mtu amefumba kinywa,kuna nini nyuma ya pazia?Ni kama TANESCO hawatawaliwi na Sheria yeyote ya nchi na hawapo chini ya mamlaka yeyote,wanawasha wanapo taka na wanazima wanapo taka. Wengi tunajiuliza hali hii mpaka lini.Ndio tumeshawahi kuwa na matatizo ya umeme lakini si kwa kiwango hiki, tena mvua zinanyesha kwa wingi kwa hiyo ni wazi mabwawa yamejaa maji.Hapa nyumbani kwangu kwa mfano sikuwa na umeme tangu jana usiku,umerudi only 5 minutes ago saa 9:25,na sasa hivi saa 9:31 umekatika,and this is the norm. This situation is unbearable,new and extremely saddening.Tatizo ni nini haijawahi kuwekwa wazi hasa, ni kama tatizo hili haliwaathiri na wala haliwahusu Watanzania.Hivi watawala wamesahau kwamba upatikanaji wa vitu vya msingi kama maji na chakula vinategemea umeme,bila kusahau huduma za afya na biashara mbali mbali nk.nk.?Ni kama watawala wamejitoa ufahamu hivii....!
Tulishuhudia Makamba akiondolewa Wizara ya Nishati akiletwa Biteko, tukadhani nia ilikuwa njema kuboresha upatikanaji wa umeme.Kumbe nia ilikuwa kuongeza tatizo!Sasa umeme umekuwa ni a luxury commodity kwa Watanzania.
Inashangaza kwamba hapajawahi kuwa na tamko lolote "la kueleweka" si kutoka TANESCO au Serikalini kwamba kiini cha ukosefu wa umeme nchini hasa ni nini.To them kutotoa maelezo ya kina ya kueleweka is fine and well for them. Sijawahi kuona katika nchi yetu hali kama hii,ni kama hatuna Rais vile....It is indeed a shame.Hivi kwa hali hii CCM na Serikali yake inategemea wananchi 2025 waende kupiga kura kweli?Lazima nikiri itakuwa muujiza possible only in Tanzania with CCM. Labda magical spell ya mwenge itafanya kazi?Sijui bwana ngoja tusubiri.
Lakini naomba watawala wakumbuke kwamba Mungu amewaweka ili waongoze watu wake kwa niaba Yake. Wanapofika mahali hawajali ya Mungu wanajali yao, wanaingiza nchi katika laana na hasira ya Mungu. Ni jambo la kutisha sana kukabiliana na hasira ya Mungu head-on.Samia na genge lake wageuke,watubie uovu wao na waongoze Watanzania kwa haki,ili waepuke hasira ya Mungu.Kwa jinsi mambo yalivyo sasa ni vigumu sana nchi yetu kuepuka hasira ya Mungu at some point.
Binafsi nimefika mahali sasa nikiona tangazo la TANESCO popote nasikia kichefu chefu.Eti "TANESCO tunaangaza maisha yako,"acheni unafiki,watu wapo gizani halafu mnasema mnaangaza maisha yao,unafiki mtupu,sitisheni tangazo hilo mara moja,linazidisha tu hazira ya Watanzania.Watanzania tunataka umeme,maelezo yeyote mtakayo-toa yana-expose tu your rottenness as a system,we are fed up.Infact Mimi binafsi nimekwenda mbali na kuwaza au watawala wa dunia NWO through the WEF wameshatoa orders kwa serikali za dunia zianze kutesa wananchi wao,because this is simply unprecedented.
Anza wewe basi halafu sisi tutafuata nyuma.Mkono mtupu haulambwi mkuu.Eti Mungu anawaona! Watanzania bwana. Mungu amekupa akili uzitumie. Hakuna nchi inayoendelea bila wananchi wake kuwawajibisha viongozi wao wanapofanya uzembe. Bila kukiwasha ni bure, utabaki kusema Mungu anawaona Mungu anawaona huku ukizidi kuteseka.
Hakuna wa kuwafungulia mashtakaYes,above the law.Bahati mbaya sana kwa Watanzania.Ndio bwana,hii👇ndiyo TANESCO.
Nilishanza. Maandamano ya Dar nilikuwepo, na Mwanza nitaenda.Anza wewe basi halafu sisi tutafuata nyuma.Mkono mtupu haulambwi.Anyway,hakuna Jambo linalomshinda Mungu,he can do anything.Sasa kwa kuwa sisi Watanzania jinsi tulivyo hatuwezi,tumeamua kumuachia muweza wa yote.
Good luck.Ila naomba nikukumbushe kuwa viongozi waovu Mungu wakati mwingine anawaleta kwa kuwa watu tumekuwa waovu sana,so God is punishing us.The best way thereforeNilishanza. Maandamano ya Dar nilikuwepo, na Mwanza nitaenda.
Kumanina zao waje wanikamate na mimi
Huu ni uongo wa mchana kweupe. Mbona kuna nchi zimeendelea sana na zina mambo maovu na hata wanaokwenda kwenye nyumba za ibada ni wachache mno? BTW kama hao viongozi waovu wameletwa na Mungu kwa nini unawaambia tena eti ''Mungu anawaona?''. Si uwaache watunyooshe sasa?Good luck.Ila naomba nikukumbushe kuwa viongozi waovu Mungu wakati mwingine anawaleta kwa kuwa watu tumekuwa waovu sana,so God is punishing us.The best way therefore
of tackling the problems we have in Tanzania is through changing our ways,not through demonstrations,so that God can give us leaders with wisdom from God.Taifa letu limemuasi Mungu kabisa.
Huwezi kunielewa.Huu ni uongo wa mchana kweupe. Mbona kuna nchi zimeendelea sana na zina mambo maovu na hata wanaokwenda kwenye nyumba za ibada ni wachache mno? BTW kama hao viongozi waovu wameletwa na Mungu kwa nini unawaambia tena eti ''Mungu anawaona?''. Si uwaache watunyooshe sasa?
Huo ni uonevu. Mimi kimsingi nipo pamoja nao.Labda niseme hivi,dawa yaTANESCO kutokuyukanwa ni wao kutimiza wajibu wao was kuwapa Watanzania umeme,hawatamsikia mtu akilalalamika,but as long as wanawafanyia Watanzania uovu wanaowafanyia,makombora yatakuja tu.
Siwezi kwa sababu akili zako zimejaa consipiracy theories zisizo na ukweli wowote. Ninyi ni wale mnasoma vitabu vya dini na kuelewa ndivyo sivyo au mnawapa ''manabii'' akili zenu wazishike. Una tofauti gani na Gwajima aliyekuwa anasema ugonjwa wa korona unakwenda kuinuaMagufuli na Tanzania iwe nchi tajiri kuliko zote kwa sababu wamekataa chanjo? Kuwa eti nchi nyingine watageuka ndondocha wote.Huwezi kunielewa.
Umeandika upupu mkuu,mimi siamini Nabii yeyote kati ya hawa unaowajua wewe,kwangu ni waganga wa kienyeji tu.Halafu nikupe nyeupe na kavu,kama umechanja pole,waliochanjwa wanapukutika polepole kwa myocarditis,Siwezi kwa sababu akili zako zimejaa consipiracy theories zisizo na ukweli wowote. Ninyi ni wale mnasoma vitabu vya dini na kuelewa ndivyo sivyo au mnawapa ''manabii'' akili zenu wazishike. Una tofauti gani na Gwajima aliyekuwa anasema ugonjwa wa korona unakwenda kuinuaMagufuli na Tanzania iwe nchi tajiri kuliko zote kwa sababu wamekataa chanjo? Kuwa eti nchi nyingine watageuka ndondocha wote.
Hivi ninyi watu mna akili gani?Watanzania wanajua TANESCO ndio waliopewa jukumu la kuwapa umeme,hawaja deliver,Sasa nani alaumiwe?Tuambie wewe basi ambae tutamlalamikia kwa tatizo la umeme tulilo naloWe mjinga TANESCO wana kosa gani? hujui watu wa kulaumu?
Wewe ni hawa watu waliolimbukia kwenye vitabu vya dini. Halafu bado ni mshamba kweli kweli, umejifungia kanisa fulani ukilishwa uongo. Unajua Ulaya na USA walichanja watu wangapi? Ujinga ni mzigo!Umeandika upupu mkuu,mimi siamini Nabii yeyote kati ya hawa unaowajua wewe,kwangu ni waganga wa kienyeji tu.Halafu nikupe nyeupe na kavu,kama umechanja pole,waliochanjwa wanapukutika polepole kwa myocarditis,
cancer nk.nk.
Hii nchi ni waoga kuliko hata mbwa kokoEti Mungu anawaona! Watanzania bwana. Mungu amekupa akili uzitumie. Hakuna nchi inayoendelea bila wananchi wake kuwawajibisha viongozi wao wanapofanya uzembe. Bila kukiwasha ni bure, utabaki kusema Mungu anawaona Mungu anawaona huku ukizidi kuteseka.