Siwezi kwa sababu akili zako zimejaa consipiracy theories zisizo na ukweli wowote. Ninyi ni wale mnasoma vitabu vya dini na kuelewa ndivyo sivyo au mnawapa ''manabii'' akili zenu wazishike. Una tofauti gani na Gwajima aliyekuwa anasema ugonjwa wa korona unakwenda kuinuaMagufuli na Tanzania iwe nchi tajiri kuliko zote kwa sababu wamekataa chanjo? Kuwa eti nchi nyingine watageuka ndondocha wote.