Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikio la kufa halisikii dawa. Tanesco ambayo inachangiwa nguzo na wateja bado ukinunua LUKU ukatwe EWURA na REA. Kiburi na ulevi wa madaraka tu. Mimi na walaumu Watanzania wenzetu ambao ni ndugu, Babu bibi Mama baba shangazi wajomba binamu kaka dada nk wanaowafanya hawa wafanyamaamuzi wawe na hiki kiburi.
Luxenge !Nnahasira Nawalaumu Sana waliounda katiba ya kujilinda wenyewe ikiwamo nyerere
Tafuta ratio ya walioomba na waliopata.. SIJASEMA KWAMBA HAKUNA ALIYEFUNGIWA KWA HIYO 27KWatu wengi wamevuta kwa hiyo 27k mimi nikiwa mmoja wao
Serikali haiweki chochote au haigharamii chochote kwenye smartphone toka inadizainiwa mpaka inamfikia mtumiaji.. Kwenye umeme kuna gharama serikali inaingiaMwigulu Nchemba alileta hoja bungeni ya kuondoa VAT kwenye smartphone na ikaondolewa kweli ili zishuke bei na watu wengi sana wanunue alafu awakate tozo.
Hivi kati ya smartphone na umeme ipi cha muhimu?