Hivi kama mteja wa TANESCO kapata nguzo kwa utaratibu wa TANESCO na kalipia , inakuwaje watakaotumia hiyo nguzo wawe katika mfumo wa umeme wa REA?
 
Ukifungiwa mita mpya unachukua mda gani mpaka usajiliwe? Nina mwezi leo naambiwa hakuna internet na sijasajiliwa, mda wote kwani kusagili ni kazi kubwa?
 
Ukifungiwa mita mpya unachukua mda gani mpaka usajiliwe? Nina mwezi leo naambiwa hakuna internet na sijasajiliwa, mda wote kwani kusagili ni kazi kubwa?
Pole sana mpendwa mteja
Tunaomba taarifa zifuatazo
Jina zima
Namba ya simu
Eneo
Wilaya
Mkoa
Umefungiwa lini
Namba ya mita mpya na ya zamani
 
Jina Joseph Abdallah Lebai, eneo - Kerege CCM, Wilaya ya Bagamoyo, mkoa wa Pwani, tarehe 15 /11/2017 , . Mita ya zamani 24211016928 , mita mpya 24219770880 .asante
 
Binafsi natoa malalamiko yangu kwa tanesco huku nikiwawakilisha watu wengine wengi wenye tatizo kama langu. Kwa muda sasa tumekuwa tukilipia madeni yetu kwa njia ambayo ilituwezesha kuendelea kupata huduma ya umeme.

Yaani kwa mfano kama ulikuwa ukidaiwa na Tanesco, pindi ukinunua Umeme wa Shs. 50,000/= basi utapata Umeme wa Tshs. 25,000 tu ikimaanisha 25,000/= nyingine imeenda kulipa deni. Njia hii ilikuwa na unafuu mkubwa kwa sisi ambao tulikuwa tunadaiwa lakini hiki ambacho mmekifanya sasa cha kutuletea kiasi maalum na kututaka kulipa kila mwezi ni uwonevu hususani katika kipindi hiki cha kujenga uchumi wa viwanda wakati hali ya uchumi kwa wananchi ni tete.

Mfano tu, Binafsi kila mwezi mmenipangia kulipa elfu 85,000/= naitolea wapi hii pesa? Yaani kwa mwezi ili niwe na uhakika wa Umeme kuwaka i have to pay si chini ya 100,000/=.

Tafadhalini muwe na huruma, hatuwezi kwenda kwa staili hii. Tafadhalini, mtushauri nini tufanye ili mpunguze hii charge, vinginevyo mnataka tusitumie tena umeme kwenye nchi yetu.
 
Ndugu mteja,
Deni lako kama ni kubwa sana, tukisema ulipe nusu kila unapofanya manunuzi litachukua muda mwingi sana kuisha. Hivyo basi ikipangwa kiasi maalum inatokana na deni lako ukubwa wake.

Dhumuni la shirika ni kuhakikisha wateja wote wenye madeni wanalipa madeni yao kwa wakati, hivyo ni muhimu sana kumaliza deni lako..

Tukumbuke kauli hii "dawa ya deni kulipa" hivyo basi tunaomba wateja wetu walipe madeni yao ili na shirika liweze kutimiza matakwa ya serikali katika kuboresha ichumi wa viwanda.

Tunatarajia ndugu mteja utalipia kadri ya makubaliano
 
Jana niliandika malalamiko yangu kuhusu mita yangu mpya kutosajiliwa zaidi ya mwezi, sijapata jibu na nipo gizani
 
Mkuu TANESCO ninatatizo kubwa,,kuna brother angu alinunua umeme KWA njia ya Simu,,akauweka ulikuwa WA 4000,,ukaingia but TAA hazikuwaka.

tukawaambia TANESCO wakasema watakuja,,but hawakuja,,tukanunua tena WA 2000,,hiyo ni cash sasa,,ukaingia lkn TAA haziwaki yaani miter inaonesha umeme upo unit zp but not used,,,tukanunua tena WA 6000 but unit zipo chakushangaza Hanna chochote kinachofanyika.

TANESCO kimya naambiwa na watu WA TANESCO kuwa miter inajikopesha,,ninunue tuu,,inashangaza TANESCO wameshindwa kusolve tatizo,,miter yangu ni hii 54201495204
 
MFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKO

1.JINA.....................................

2.SIMU....................................

3.MKOA...................................

4.WILAYA................................

5.MTAA/KIJIJI/KATA.........

6.JINSI YA KUFIKA................

7.KITU/ALAMA/MTU MAARUFU.............................

8.NAMBA YA MITA................

9.TATIZO LAKO/UNACHOHITAJI....................

10.NAMBA YA TAARIFA ULIYOPEWA.................


"TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO"
 
Jana niliandika malalamiko yangu kuhusu mita yangu mpya kutosajiliwa zaidi ya mwezi, sijapata jibu na nipo gizani
MFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKO

1.JINA.....................................

2.SIMU....................................

3.MKOA...................................

4.WILAYA................................

5.MTAA/KIJIJI/KATA.........

6.JINSI YA KUFIKA................

7.KITU/ALAMA/MTU MAARUFU.............................

8.NAMBA YA MITA................

9.TATIZO LAKO/UNACHOHITAJI....................

10.NAMBA YA TAARIFA ULIYOPEWA.................


"TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO"
 
Isaya masawa,,0713433221,,DSM,ubungo,,golani kijiweni,,tranfoma,,,mama maria,,54201495204,,mita inapokea unit but hazitumiki
 
Tuna nyumba tumeipangisha kwa wapangaji 7 ambapo kila mpangaji ana chumba na sebule.
Nasikia mna vifaa vidogo vyenye gharama nafuu mnavifunga kwa kila kaya/chumba vitakavyosoma matumizi ya kila mtu .
Ni kweli, na je utaratibu ukoje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…