Mnaboa sana yan...kwa kweli

TANESCO KAHAMA KWELI NI JIPUUU
MFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKO

1.JINA.....................................

2.SIMU....................................

3.MKOA...................................

4.WILAYA................................

5.MTAA/KIJIJI/KATA.........

6.JINSI YA KUFIKA................

7.KITU/ALAMA/MTU MAARUFU.............................

8.NAMBA YA MITA................

9.TATIZO LAKO/UNACHOHITAJI....................

10.NAMBA YA TAARIFA ULIYOPEWA.................


"TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO"
 
Naomba kudaisiwa jaman tumeweka luku tangu tulipo unganisha tumenunua luku Mara moja tu! Ni mwaka Jana mwez wa kumi!

Nyumba iatumia taa tu
MFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKO

1.JINA.....................................

2.SIMU....................................

3.MKOA...................................

4.WILAYA................................

5.MTAA/KIJIJI/KATA.........

6.JINSI YA KUFIKA................

7.KITU/ALAMA/MTU MAARUFU.............................

8.NAMBA YA MITA................

9.TATIZO LAKO/UNACHOHITAJI....................

10.NAMBA YA TAARIFA ULIYOPEWA.................


"TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO"
 
Afike ofisi ajaze fomu
 
Mkuu unavyosema TANESCO inatupenda wateja wenu nashindwa kuwaelewa,, inbox tuliongea swala linalotaka kufanania ufisadi au wizi lakini hamtaki kushughulikia sijui mna maana gani angalieni Sana hii kitu nimesha lalamika Sana lakini hamfatilii kwa nini? Kuweni serious na kazi jaman
 
Kuna maeneo hapa moshi umeme umekatika tangu saa moja na dakika tano, najaribu kupiga namba yao ya emergency 068771310 iko busy fo 45 minutes, sijui huyo ofisa aliyepo anaongea na nani muda wote, namba nyingine inaita tu haipokelewi 0765397925.

Hivi kama kuna moto au hatari yoyote ile, over 45 minutes kuna kitu kitaokolewa kweli
 
Kihonda Veta hatuna umeme kuanzia mchana leo kuna nini?
 
Tunaomba namba yako ya simu na aneo lako mkuu tukuhudumie
 
Habari ya asubuhi nimenunua umeme kupitia MPesa kwa akaunti Namba 4311 5266 496
Umeme wa Tshs 20,000/= lakini nimepewa unit 22.5 badala ya unit 56
Naomba msaada kueleweshwa na mita hii haina deni lolote
 
Freyzem,
Huu ni ukurasa wa kukuhudumia mpendwa mteja wetu na wala sio kulumbana hivyo tumia fursa hii kushare taarifa kamili upatiwe huduma bora zaid
 
nilinunua umeme tarehe 10 Dec hadi leo hii sijapata umeme hadi mda huu 0718040202 naomba msaada
 
Habari ya asubuhi nimenunua umeme kupitia MPesa kwa akaunti Namba 4311 5266 496
Umeme wa Tshs 20,000/= lakini nimepewa unit 22.5 badala ya unit 56
Naomba msaada kueleweshwa na mita hii haina deni lolote
Naona mmekaa kimya wakati watu tumetumia pesa.
 
Habari

Mimi ni Mkazi wa Moshi Kilimanjaro Eneo la Bonite Kijiji cha Chekereni Kitongoji cha Miembeni.

Kwa kweli tuna tatizo kubwa la umeme ni muda mrefu limekuwa likilalamikiwa kwa Uongozi wa Tanesco mkoa wa Kilimanjarao bila mafanikio. Tatizo liko hivi:

Umeme ni mdogo sana hasa saa za jioni na usiku unawaka kama kibatari huku ukichezacheza sana.

Wakati wa mvua kama jana unakatika mara kwa mara na kupungua sana; toka mvua inyeshe jana unakatika na kuja ukiwa na kiwango kidogo sana.

Tanessco walishalalamikia swala hili hadi kwenye vyombo vya habari lakini bado hawajalitatua; walileta nguzo wakasema wataweka nyaya mpya wauongeze lakini nguzo zimekaa hadi zinaoza sasa bila hata kuwekewa waya wowote.

Tusaidieni jamani tunateseka. Asante.
 
HIVI KWA NINI TANESCO HAMTAKI KUTUPA UMEME WA UHAKIKA GOBA KINZUDI MTAA WA MTAMBANI NA MTAA WA BANTU?KWA NINI MNATUUNGUZIA VITU VYETU JAMANI?TUMEWAKOSEA NINI?AU NDO TUNAISOMA NAMBA?UMEME VOLTAGE MPAKA 95! NA MITA MLIZOTUWEKEA ZINAKATA UMEME UKISHUKA. MUNGU ATAWALAANI NYIE
 
Afike ofisi ajaze fomu
Shukrani Sana
Nitafika Ofisini Hapo
Ila Naruhusiwa Kufika Ofisi Yoyote Tanzania Ama Mkoa Niliofungiwa Meter Tu
Samahani Kwa Usumbufu Japo Itapendeza Sana Pia Nikipata Ufafanuzi
Nategemea Kuleta Mrejesho Hapa Jukwaani Baada Ya Kutoka Tanesco
 
Tunaomba namba yako ya simu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…