TANESCO TEMEKE TUMEWAKOSEA NINI AU NI MGAO?? KWANINI HAMSEMI?? UMEME UMEKATIKA SAA 1 HADI SASA HAKUNA TAARIFA YENU, MNATUWEKAJI SISI WANANCHI? SHIDA NINI?? MIMI SIJAPASI NGUO ZA KESHO.. UNARUDI AU HAURUDI?
Ndugu mpendwa mteja
Kuna kazi kidogo tunamalizia na umeme utarejea
 
MFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKO

1.JINA.....................................

2.SIMU....................................

3.MKOA...................................

4.WILAYA................................

5.MTAA/KIJIJI/KATA.........

6.JINSI YA KUFIKA................

7.KITU/ALAMA/MTU MAARUFU.............................

8.NAMBA YA MITA................

9.TATIZO LAKO/UNACHOHITAJI....................

10.NAMBA YA TAARIFA ULIYOPEWA.................


"TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO"
 
MFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKO

1.JINA.....................................

2.SIMU....................................

3.MKOA...................................

4.WILAYA................................

5.MTAA/KIJIJI/KATA.........

6.JINSI YA KUFIKA................

7.KITU/ALAMA/MTU MAARUFU.............................

8.NAMBA YA MITA................

9.TATIZO LAKO/UNACHOHITAJI....................

10.NAMBA YA TAARIFA ULIYOPEWA.................


"TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO"
 
Kuna tatizo la umeme kukatika kutokana na shock kwenye guzo ya umeme ambayo iko ndani ya uzio wa nyumba. Toka jana ulikuwa unatishia kukatika ila leo asubuhi umekatika eneo hili sehemu nyingine upo.

Ni maeneo ya brajec grill-survey. Tunaomba emergency number za wahusika wa maeneo haya kuwa direct eneo la tatizo
 
MFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKO

1.JINA.....................................

2.SIMU....................................

3.MKOA...................................

4.WILAYA................................

5.MTAA/KIJIJI/KATA.........

6.JINSI YA KUFIKA................

7.KITU/ALAMA/MTU MAARUFU.............................

8.NAMBA YA MITA................

9.TATIZO LAKO/UNACHOHITAJI....................

10.NAMBA YA TAARIFA ULIYOPEWA.................


"TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO"
 
Tanesco kuna tatizo gani?maeneo ya Mwenge umeme Toka asuibui haupo tatizo ni nini?
 
Wengi wetu hapa JF tumekuwa tunatumia majina bandia, kitendo cha kujaza hii fomu hapo juu, kutakuwa kuna maana ya sisi kujificha kweli.? Au tunaruhusiwa pia kuja PM. Natanguliza shukurani kwa jitihada zako.
 
Umeme wa kukatika ghafla sawa.Lakini ule ambao mmeupanga tafuteni namna ya kuwajulisha wahusika wa eneo fulani mapema.Sasa hivi teknology iko juu.Otherwise mnajitahidi sana mazingira yenu ya kazi ni magumu
 
TANESCO ivi ili tatizo langu hamlioni ama vipi, naona hata kunidanganya hamnidanganyi.

"Tangia tarehe 10 Dec nimenunua umeme hela imekatwa sijatumiwa umeme tigo wanasema tuwasiliane na nyinyi hampokei
mita no 07037342412
simu no 0718040202
Kiasi 3000 tu
naomba ikiwezekana nitumiwe hapa hapa"
 
Wakuu .nmepewa taarifa toka juz kua bro huku umeme wa shida sana,maeneo ya mwenge kwenda mbez beach had goba ,.wenye biashara znazohtaj umeme wanalia,mi ni m1 wapo, niko mbal kikaz ila vijana wangu wananipa hzi taarifa kua hal ya umeme inakwamisha sana, sasa tanesco mnafanya kaz kwa kubahatisha ama nin.

hiv karne hii bado mnatesa watu kwel, yaan radi lisipige, mvua isinyeshe, mnakata, kwan mnatumia mitambo ya mwaka gan? mbona mnatia sana aibu jaman.
 
Bro umeme wa buk3,hahahah,..naona walishauriana wakasema huyu kijana huu umeme yuko serious ama vip,ngoja tumkomoe,hahahaha,joke
 
hivi tanesco akili zenu zina akili kweli? hivi mnajuwa kuwa system ya Maji hapa jijini inategemea umeme? wiki nzima umeme Wa kusuasua Maji hakuna tumebaki kuishi kama mashetani.
 
hivi tanesco akili zenu zina akili kweli? hivi mnajuwa kuwa system ya Maji hapa jijini inategemea umeme? wiki nzima umeme Wa kusuasua Maji hakuna tumebaki kuishi kama mashetani.
MFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKO

1.JINA.....................................

2.SIMU....................................

3.MKOA...................................

4.WILAYA................................

5.MTAA/KIJIJI/KATA.........

6.JINSI YA KUFIKA................

7.KITU/ALAMA/MTU MAARUFU.............................

8.NAMBA YA MITA................

9.TATIZO LAKO/UNACHOHITAJI....................

10.NAMBA YA TAARIFA ULIYOPEWA.................


"TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO"
 
MFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKO

1.JINA.....................................

2.SIMU....................................

3.MKOA...................................

4.WILAYA................................

5.MTAA/KIJIJI/KATA.........

6.JINSI YA KUFIKA................

7.KITU/ALAMA/MTU MAARUFU.............................

8.NAMBA YA MITA................

9.TATIZO LAKO/UNACHOHITAJI....................

10.NAMBA YA TAARIFA ULIYOPEWA.................


"TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO"
 
Wapuuzi kabisa madale kisauke mpaka leo hakuna umeme
 
Msijifanye wajanja kwahyo mnataka tuanikane humu,..si nmeshakwambien,kua ni mbezi beach.goba,..njia ya mwenge hyo had tegeta mbele huko.madale etc,..unataka majina yanin,nawew unaetype bas anika jina lako hapa..#/@^#&$& kabsa
 
Na hyo" tanesco tunayaangaza maisha yako"..muifite kabsa,..yaan nataman mkuu awamalize kabsa nyinyi,jengo lenu linavunjwa bado hamtii adab,ngoja tumpampu mkulu awatimue kama NIDA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…