Na hyo" tanesco tunayaangaza maisha yako"..muifite kabsa,..yaan nataman mkuu awamalize kabsa nyinyi,jengo lenu linavunjwa bado hamtii adab,ngoja tumpampu mkulu awatimue kama NIDA
MFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKO

1.JINA.....................................

2.SIMU....................................

3.MKOA...................................

4.WILAYA................................

5.MTAA/KIJIJI/KATA.........

6.JINSI YA KUFIKA................

7.KITU/ALAMA/MTU MAARUFU.............................

8.NAMBA YA MITA................

9.TATIZO LAKO/UNACHOHITAJI....................

10.NAMBA YA TAARIFA ULIYOPEWA.................


"TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO"
 
Ushaona sifa eeh kutuma hlo li sms..haya bas achana namim,..nyi jeur kumbe..ngoja tumtafte mfuga mbwa sasa,maana wanasema usiongee na mbwa,ongea na mfuga mbwa..siku njema.
 
Token 7104 5909 8937 0434 5507
Units 8.5
 
Fanyeni kuangaza basi Kigamboni toka usiku Giza totoro mpaka sasa
 
Tanesco naomba mnisaie katika hili. Mita yangu kila siku ikifika saa moja jioni hadi saa tatu usiku inazimika na kuwaka. Sielewi tatizo nini hebu nisaidieni.

Niliwapigia simu Tanesco majibu hayakuniridhisha eti kwamba socket breaker mbovu wakat mota yenyewe ndo inazimika. Msaada tafadhali
 
Tabata mtaa wa tenge baadhi ya nyumba siku ya pili bila umeme. Hivi mko serious kweli? Dahh
 
Bro umeme wa buk3,hahahah,..naona walishauriana wakasema huyu kijana huu umeme yuko serious ama vip,ngoja tumkomoe,hahahaha,joke
Bro umeme wa buk3,hahahah,..naona walishauriana wakasema huyu kijana huu umeme yuko serious ama vip,ngoja tumkomoe,hahahaha,joke
Bro Napoleone sio ndogo nimekuelewa, ila mara gafla usiku unakata tigo pesa salio dogo kaka unaamua tu kuweka japo ifike asubuhi unafanya maarifa mengine
 
Tanesco, kuna shida gani kigamboni? Tunakaa zaidi ya saa 14 bila umeme, imekuwa kawaida sasa. Basi tuelezeeni nini tatizo, na utatuzi wake umefikia wapi
 
Tanesco, kuna shida gani kigamboni? Tunakaa zaidi ya saa 14 bila umeme, imekuwa kawaida sasa. Basi tuelezeeni nini tatizo, na utatuzi wake umefikia wapi
Kiga,boni sehemu gani haswa na namba yako ya simu tafadhali
 
Tanesco sikieni kiliochetu watu wa moshi maeneo ya mamboleo! Hii siku ya nne hakuna umeme baadhi ya maeneo na tumeshatoa taarifa ila hakuna jitihada zozote!

Transformer hii inashida kubwa km inawezekana ibadilishwe tupate umeme wa uhakika bila mangung'uniko,,

Samaki zangu wameoza, nyanya, nyama imeharibika maziwa yameharibika, mnatutia umasikini.

Asubuh hata kunyoosha Nguo ni kero kubwa

TANESCO MKOA WA KILIMANJARO, Mkurugenzi mkuu tunahitaji UMEME.

JALINI WATEJA WENU! MMENITIA HASARA KUBWA
 
MFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKO

1.JINA.....................................

2.SIMU....................................

3.MKOA...................................

4.WILAYA................................

5.MTAA/KIJIJI/KATA.........

6.JINSI YA KUFIKA................

7.KITU/ALAMA/MTU MAARUFU.............................

8.NAMBA YA MITA................

9.TATIZO LAKO/UNACHOHITAJI....................

10.NAMBA YA TAARIFA ULIYOPEWA.................


"TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO"
 
Tanesco tabata hamko serious. Maneno mengi vitendo zero. Kuna nyaya zimeangukia kwny ukuta nimelalamika miaka 5 sasa mnasubiri hadi afe ndio mshtuke. Ovyo sana nyie
Ulipewa namba ya taarifa ngapi? Namba yako ya simu na eneo lako tafadhali,
 
Bila shaka TANESCO wanafahamu matatizo ya umeme Kigamboni. Wanayo mitambo ya Hali ya juu kutambua matatizo Wanayo wowote na mahala popote.

No wiki ya pili sasa hakuna maelezo yoyote ya sababu ya umeme kukosekana. Ni ajabu tumefika mahala watu wanaogopa kutoa taarifaa Karne hii ambapo ujuzi skills, knowledge n.k. vimeenea karibu kwa watu wote.
Kwa wanaofahamu customer service jema, ni kwamba unatakiwa umfahamishe mteja pindi anapokosa huduma kwa sababu za kiufundi, si kwa yeye kushindwa kulipia huduma.

Kinachoendelea kinatushangaza mno, na kinapita (beyond) mambo zote mbaya za kuhudumia wateja. Kwa sasa hata EWURA ambapo ni wasimamizi wa TANESCO wamekaa kimya Kama hawaoni matatizo haha.

Kama wangethubutu kusema ukweli, mfano Luna mgao, wakatoa na ratiba, au hakutakuwa na umeme labda kwa kipindi cha mwezi mmoja, watu wajiandae, kwa kuweka mamna mbadala ya kupata umeme. N.K. hakika hii hali inashangaza.
 


Kigamboni siyo sehemu ya mbali ya kuitafuta.... Wilaya nzima haina umeme. Toeni taarifa kwanza kuliko kujidanganya kukaa kimya
 
Ulipewa namba ya taarifa ngapi? Namba yako ya simu na eneo lako tafadhali,
Hivi Tanesco mnatuona wajinga? Hyo form unanipa utaweza nilipa gharama ya Mali zilizoharibika?

Msilete utani tunahitaji umeme! Najua na natambua humu wapo watumishi wa mheshimiwa rais Magufuli, wampe taarifa tunahitaji umeme wa uhakika!

Km vipi mkurugenzi na watu wake mkoa wa Kilimanjaro watunguliwe tu hakuna namna! Siku nne hakuna umeme! ? Halafu wanakuja wanagusa wanagusa unawaka dk 10 unakata! Huu ni upuuzi,


Mheshimwa rais tunaomba Fanya kazi na hawa watu washajisahahu! Hakuna kubembelezana tunahitaji umeme
 
Ahsanteni kwa linki hii...mm malalamiko yangu ni kuona nina zaidi ya mwaka nimehamia nyumba ya serikali ambayo tangu nihamie sijawahi zidi units 65 kwa mwezi lakini mmekataa kunibadilishia kutoka tarrif 1 kunipeleka tarrif 4...ili nkanunue units kwa tsh100/,,.
Niko mkoa wa Pwani Kibaha na nilienda ofisi zenu za Kibaha nikadanganywa eti mfumo utanibadilisha automatically lakini wapi....

Naomba sasa mnibadilishie maana aliyekuwa anaishi hii nyumba matumizi yake yalikuwa makubwa lakini mm tangia nihamie tarehe 10/11/2016...sijawahi zidi units 65. kwa mwezi acha zile 75 mnazosema kiutaratibu...

Naomba mnibadilishie...namba ya mita yangu ni 01311281537
 
Tanesco mna nini katikakatika ya umeme maeneo ubungo na mpk kimara toka juzi kila baada ya muda mnakata mnarudisha,toeni taarifa basi tujue kuna nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…