3662962811230978 9011Tanesco hampokei simu yenu tokea usiku 0768985100 mnaweka matangazo then mnakatika hewani. Shida yangu ni token ili niweze kununua umeme maana mmeamua kutukomesha na kuturudisha kwenye tarrif 1, namba ya mita ni 24212097125
3662962811230978 9011Tanesco hampokei simu yenu tokea usiku 0768985100 mnaweka matangazo then mnakatika hewani. Shida yangu ni token ili niweze kununua umeme maana mmeamua kutukomesha na kuturudisha kwenye tarrif 1, namba ya mita ni 24212097125
Ndugu mpendwa mteja tunaomba namba yako ya simu,kiasi ulicholipa na wilaya uliyopoNinaomba kujua maximum time ambayo natakiwa kuwekewa Umeme nikishalipia make TANESCO Kyaka nimelipia tangu mwezi wa nane mpaka sasa Umeme bado. Sehemu yenyewe haihitaji nguzo lakini imekuwa ni kuzungushana kila kukicha. Kilichobaki naomba nijue ili nijue nitafanya nini.
Mimi sio tanesco ila kwa kukusaidia hizo 50 units sio free token kama inavyodaiwa.Siku umeme ukiisha ukienda kununua tanesco unazilipa kwanza halafu ndio unaendelea na utaratibu wa kununua umeme upya.TANESCO naomba kujua, nimefungiwa umeme wiki moja iliyopita mita ikiwa na units 10. Nikaambiwa zilitakiwa ziwe 50 sasa hizo 10 zikiisha natakiwa nilipie zile 40 ambazo baadae ninazidai. Ninaomba kujua utaratibu wa kuzipata hizo unit zangu 40 wenyewe wanaita free token!
Basi walinidanganya hawa wajuvi!Mimi sio tanesco ila kwa kukusaidia hizo 50 units sio free token kama inavyodaiwa.Siku umeme ukiisha ukienda kununua tanesco unazilipa kwanza halafu ndio unaendelea na utaratibu wa kununua umeme upya.
Bongo hakuna kitu cha bure mkuu.Ukipewa huku unakatwa huku,yaani kula na kulipa.Basi walinidanganya hawa wajuvi!
Tunaomba namba yakonya mita,namba ya simu na wilaya husika tufanyie kazi swala lako.unapaswa kununua kwanza umeme ili ukatwe ndio tukupatie umeme unit 40.nunua kuanzia 18000TANESCO naomba kujua, nimefungiwa umeme wiki moja iliyopita mita ikiwa na units 10. Nikaambiwa zilitakiwa ziwe 50 sasa hizo 10 zikiisha natakiwa nilipie zile 40 ambazo baadae ninazidai. Ninaomba kujua utaratibu wa kuzipata hizo unit zangu 40 wenyewe wanaita free token!
@TANESCO mimi pia nina tatizo la kutopewa unit zangu 40.. Nilifungiwa umeme mwezi wa 6 nimefatilia hadi nimechoka.. walionifungua umeme ni TANESCO Nyakato mwanza.. Namba ya mita 54182960069Tunaomba namba yakonya mita,namba ya simu na wilaya husika tufanyie kazi swala lako.unapaswa kununua kwanza umeme ili ukatwe ndio tukupatie umeme unit 40.nunua kuanzia 18000
Nimetuma taarifa zangu PM tayari!Tunaomba namba yakonya mita,namba ya simu na wilaya husika tufanyie kazi swala lako.unapaswa kununua kwanza umeme ili ukatwe ndio tukupatie umeme unit 40.nunua kuanzia 18000
Kama ambavyo tumekueleza kwenye simu mpendwa mteja swala hili tunalifahamu tumelipokea
Namba ya simu 0767101328 .. Buswelu mwanza@TANESCO mimi pia nina tatizo la kutopewa unit zangu 40.. Nilifungiwa umeme mwezi wa 6 nimefatilia hadi nimechoka.. walionifungua umeme ni TANESCO Nyakato mwanza.. Namba ya mita 54182960069
Jina Edward C. Hizza, Namba yangu ni 0786208517/0714217107. Nyumba yangu ipo Toangoma Malela (Karibu na Kelvin Yondani)Umelipa kwa jina gani na namba yako ya simu