Hakuna tofauti katika kupima matumizi bali tofauti ipo kwenye technologia iliyotumika.Wakuu: Nina swali kuhusu mita za LUKU. Zipo mita za kuweka ukutani na za kwenye nguzo. Nini tofauti yake? Na je mita za LUKU za ukutani zimesitishwa au zinafungwa bado majumbani kwa sasa?
Huduma zenu za matandao ni hovyo nipo Tanesco nimepoteza muda kusubiria matandao nipewe risiti nikalipe bank lakini mtandao hakuna. Mbona kwenye mitandao ya simu kuna mtandao ninyi mna shida gani na mkongo wa taifa, mmevurugwa nini?
Upo ofisi ipi ndugu mteja. Umienda kufanya malipo.
Tunaomba kujua upo ofisi wilaya na mkoa tuweze kukusaidia
buza kanisani mnakata umeme kila siku mnarudisha usiku bila kutupa tangazo kuna nini.hivi mnafikiri biashara sisi tunazifanyeje?Eneo gani haswa na namba yako ya simu tafadhali
TANESCO MAKAO Makuu hamlioni lalamiko langu kwa Tanesco Kigamboni au tatizo liko kwenu kwa kushindwa kupeleka vifaa kazi; kupeleka magari pamoja ukarabatii wa magari yaliopo ili kuboresha huduma maana Tanesco Kigamboni wanna visababu vyao eti magari Ni machache na mabovu.Mtanifungia umeme lini jamani mbona imekua ni kero sana!!!I? Nina miezi 3 tangu nilipie na muda kusubiri umekwisha kila siku hakuna sababu za msingi. Wengine wamefungiwa kwa haraka na tulikuwa pamoja kwenye malipo mpaka ufuatiliaji nimuone nani; na mimi nitoe kidogo nipate huduma. Maana haya ni mazingira ya RUSHWA. TANESCO Makao Makuu nimeomba namba zenu hamtaki kunipa shida Ni nini jamani. Tanesco Kigamboni wanatesa wao huwajali wenye uwezo kipesa na mamlaka. Sisi walala hoi kila siku huambiwa nguzo, mara mita na waya hamna. Wakiona wamezidiwa hukimbilia magari mabovu ya kusambaza nguzo. Nifanye nini jamani.
NIPO UKERWE MWANZAUmeme umekatika kwenye nyumba yetu yenye meter nunber 37154698759..naa huu Hapa chini ndio muonekano wa meter