Tunachokusihi mpwendwa mteja wetu pamoja na wateja wengine ni kupenda kupokea taarifa na kutoa taarifa sehemu husika.njoo ofisini utajaza fomu wataalamu wetu watafika kwako na kufanya savey kisha tutakupatia gharama halisi kumbuka kuhamisha mita kinyemela ni kosa kwa mujibu wa sheria

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunachokusihi mpwendwa mteja wetu pamoja na wateja wengine ni kupenda kupokea taarifa na kutoa taarifa sehemu husika.njoo ofisini utajaza fomu wataalamu wetu watafika kwako na kufanya savey kisha tutakupatia gharama halisi kumbuka kuhamisha mita kinyemela ni kosa kwa mujibu wa sheria

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunachokusihi mpwendwa mteja wetu pamoja na wateja wengine ni kupenda kupokea taarifa na kutoa taarifa sehemu husika.njoo ofisini utajaza fomu wataalamu wetu watafika kwako na kufanya savey kisha tutakupatia gharama halisi kumbuka kuhamisha mita kinyemela ni kosa kwa mujibu wa sheria

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunachokusihi mpwendwa mteja wetu pamoja na wateja wengine ni kupenda kupokea taarifa na kutoa taarifa sehemu husika.njoo ofisini utajaza fomu wataalamu wetu watafika kwako na kufanya savey kisha tutakupatia gharama halisi kumbuka kuhamisha mita kinyemela ni kosa kwa mujibu wa sheria

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunachokusihi mpwendwa mteja wetu pamoja na wateja wengine ni kupenda kupokea taarifa na kutoa taarifa sehemu husika.njoo ofisini utajaza fomu wataalamu wetu watafika kwako na kufanya savey kisha tutakupatia gharama halisi kumbuka kuhamisha mita kinyemela ni kosa kwa mujibu wa sheria

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili linawahusu ninyi na mwenye nyumba kwa kuwa sisi tunaangalia mita ipo vizuri na mnanunua umeme. Tukusihi sana hakikisha unanunua umeme mwenyewe na kuweka kwenye mita TANESCO inabei moja kwa wateja wote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba kujua utaratibu wa kubadili jina kwenye mita ukoje?
Mfano mita iliandikwa jina la Esther kutokana na sababu za umiliki nataka iwe Jesca.
Utaratibu ukoje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba kujua utaratibu wa kubadili jina kwenye mita ukoje?
Mfano mita iliandikwa jina la Esther kutokana na sababu za umiliki nataka iwe Jesca.
Utaratibu ukoje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Unapaswa kujaza fomu ofisi ya eneo lako huku ukiambatanisha nakala halisi ya kuonyesha umiliki kutoka kwahuyo kuja kwako na uwe umeidhinishwa na mwanasheria.nasisi tutajiridhisha mpaka kufika kwa ofisi husika ndio tukubadilishie jina kama utakidhi vigezo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mm nina nyumba ya ngu chanika..sasa nimejaza form kwaajili ya service line(watu wa chanika tuna tumia tanesco ya kisarawe)...niliirudisha tarehe 7 mwez wa 1 nikaambiwa nitapigiwa simu kwaajili ya survey baada a siku 14..lakini cha kushangaza mpaka hv ninavyo zungumza ni takriban wiki tatu zimepita nhakuna cha simu wala nn...
 
Nilikua napenda kuuliza je kunasababu nyingine ambazo inaweza kusababisha vile vimita vidogo vya kuwekea umeme kuandika 'ERROR-77' baada tu ya kuingiza token na kubonyeza enter, tofauti na ya umeme kukatika? Kama zipo ningependa nijuzwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
*JINSI YA KUONDOA ERROR 77 KWENYE MITA ZINAZOANZA NA NAMBA 2421...*

*ERROR 77*

Hii ni error ambayo inapatikana kwenye mita tengano maarufu kama mita za rimoti au CIU ambazo zinafungwa juu ya nguzo na zinaanza na namba ya mita 2421.....

*NINI KINASABABISHA ERROR 77*

*Error 77* inamaanisha kuwa mita yako ya kwenye nguzo na rimoti yako hazina mawasiliano hivyo umeme hauwezi kuingia. Mara nyingi inatokea unapotaka kuweka umeme baada ya kuisha unit.

*JINSI YA KUTATUA ENDAPO ITATOKEA*

Unatakiwa kuhakikisha kuwa umeme kwenye mtaa wako upo na kama nyumba yako haina umeme yaani unit zimeisha weka betri zenye nguvu kwenye rimoti yako na kisha fata taratibu zifuatazo

1. Zima switch zote za nyumba yako, *hakikisha zote zimezimwa*


2. Washa switch moja tu ya ukutani na chomeka hiyo rimoti kisha bonyeza zero(0) ikifuatiwa na mita namba yako alafu tena zero(0) ikifuatiwa na mita namba yako kisha bonyeza ok au enter..

*Mfano mita namba yako ni 241234567 Utafanya ifuatavyo *024212345670241234567ENTER*

3. Baada ya kubonyeza ok itaakuandikia *GOOD* apo sasa weka umeme wako kama kawaida na utapata umeme.

*ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA ZA TANESCO*

*RUKSA KUSHARE NA NDUGU JAMAA NA MARAFIKI*

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jina

Namba ya simu

Eneo lako tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jina

Namba ya simu

Eneo lako tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
JIUNGE NA GROUP LA TANESCO HUDUMA KIGOMA ILI KUPATA TAARIFA, ELIMU NA HUDUMA KWA WATEJA KUPITIA WHATSAPP, GONGA LINK HAPO CHINI KUINGIA

*HII NI KWA AJILI YA WAKAZI WA KIGOMA MJINI PEKEE*

TANESCO HUDUMA KIGOMA

*MPATIE JIRANI YAKO PIA KUONYESHA UPENDO*



Endelea kufatilia page yetu ili nafasi yako ikifika na wewe ujiunge tunatoahuduma kwa WhatsApp nchi nzima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi toka nimeripoti kuhusu Swala la Nguzo mbovu toka 02/11/2018 kwa TB 0172 MBEZI KIMARA...Walifika nakuona tatizo na hadi Leo hakuna chochote kilichofanyika..Ninyi kweli mnajua mnachokifanya au ndiyo hadi zianguke.. Napatikana Mbezi 0713455895

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…