Tunashukuru sana mpendqa mteja,endelea kufurahia huduma zetu
Jana (10 June, 2019) tulinunua umeme wa luku (mita namba 43002630549) na kupewa units 16-kwa TZS 5900-badala ya 48 units za mwanzo kwa kuwa umepita mwezi na siku kadhaaa tangu tununue wa hapo awali. Sijajua tatizo ni nini?
Lakini pia, kila tukijaribu kuingiza token za unit 16 tulizopewa kwenye mita hiyo, inagoma kujibu na badala yake inaendelea kuandika unit 0.0
Je, sababu ni nini?
 
Umeme bado tatizo kwa nchi tunamwomba raisi na wazili wa nishati atusaidie kwa hi
 
Tunaomba kuona hizo token za unit 16 tafadhali
 
5397 8789 8197 1556 4421
 
5397 8789 8197 1556 4421
Yap! token ndiyo hizo, ila tuliwasiliana kwa kutumia namba yenu ya huduma kwa mteja na walirekebisha activation number ya mita ambayo ilionekana imekosewa. Tumefanikiwa kuingiza token hizo na mita sasa inasoma 16.6 units.
Sasa swali linabaki kwa nini tumepewa units 16.6 badala ya 48 kwa TZS 5900 kama ambazo tulikuwa tukipewa? Na tangu tununuwe umeme kabla ya Jana, umepita mwezi na siku kadhaa.
 
Mtakuwa mmeshanunua zaidi ya unit 75 kwa mwezi
 
Umeme hapa moshi unakatika katika sana
 
Hakuna gharama yeyeote mpendwa mteja wetu
Nakumbuka nilijaza fomu ya kupatiwa huduma ya umeme mwezi wa pili wilaya ya bagamoyo nikaambiwa atakuja surveyor mpaka leo hajaja na namba yangu ya simu niliiacha kwenye fomu.
 
Nakumbuka nilijaza fomu ya kupatiwa huduma ya umeme mwezi wa pili wilaya ya bagamoyo nikaambiwa atakuja surveyor mpaka leo hajaja na namba yangu ya simu niliiacha kwenye fomu.
Jina lako na namba yako ya simu tafadhali
 
nimerudisha form ya kuunganishiwa umeme tarehe ya survey nimepangiwa tarehe 4 october 2019 je hii ni sawa??
 
aisee waheshimiwa hapa tegeta mivumoni kuna matatizo gani???? umeme siku ya tano leo ukikatika asubuhi ni hadi saa 12, SASA HAPA NAFANYAJE KAZI NA COMPUTER IMEISHA CHARGE??? YAANI MNANIKOSESHA HELA NYIE JAMAA MUNGU ANAWAONA NYIE.....
 
Kuna utaratibu gani wa kufuata pindi remote mita(kifaakinachotumika kuingizia token) inapokuwa imehaeibika?
 
Tanesco jana tumenunua umeme wa elfu tano bahati mbaya ile karatasi ya tokeni imepotea stend ya ubungo tulivoenda kumpokea mgeni, sijui mtatusaidieje? Namba ya meter 37210012797 jina Williamu Ole Mungaya.
 
TANESCO jana tumenunua umeme wa sh 5,000 kwa wakala, bahati mbaya ile karatasi ya Token imepotea tulivokua stend kumpokea mgeni, tunaomba msaada wenu, namba ya mita 37210012797 jina Williamu Ole Mungaya.
 
Tanesco jana Jumanne tarehe 11 mwezi wa sita mwaka 2019 tulinunua umeme wa sh 5,000, nadhani utakua wa sh 4,900 maana hua wanakata sh 100, lakini kwa bahati mbaya ile karatasi tuliipoteza stend wakati wa kumpokea mgeni, tunaomba msaada wenu, namba ya mita 37210012797 jina Williamu Ole Mungaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…