Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
habari ndugu mteja,Njooni muhamishe hizi nguzo zipo barabaraniView attachment 1277319
mkuu, una uhakika? kutoa fungu la kumi kanisani haimaanishi huna madeni mtaani kaka!!*Zamani Shirika letu la Umeme Tanzania (TANESCO) lilikuwa linajiendesha Kihasara,
Sasahivi, TANESCO inajiendesha kwa Faida Maradufu na Wanatoa Gawio kwa Serikali Kuu kupitia Hazina.
Uko sahihi MkuuNguzo bure wapi wakati bado Tanesco wanawauzia hizo nguzo wananchi??????? Matamko ya viongozi na watendaji wa Tanesco ni vitu viwili tofauti.
Kwani mkuu hiyo zamani ilikuwa chadema ndiyo inaongoza?, Ni CCM haohaoHili la umeme tu ndo namuunga mkono,mengine hakuna kitu
Hili la umeme tu ndo namuunga mkono,mengine hakuna kitu
Hizi nguzo zipo mkoa wa Dar es salaaam wilaya ya Ubungo kata ya Goba Mtaa wa Muungano/Marobo Kisiwani,hii ni barabara inakarabatiwa pamoja na kuwekwa daraja(Biluku Road and Bridge),huku tunahudumiwa na Tanesco Tegeta Kibaoni,na mkandarasi yupo katika za mwisho za mradi kwa hyo hizi nguzo kachimba mitaro kaziacha katikati,namba yangu ni 0756666890/0719180972habari ndugu mteja,
tunaomba kujua hio nguzo; eneo, wilaya, mkoa na namba yako ya simu
Tunashukuru kwa taarifa tunaifanyia kaziHizi nguzo zipo mkoa wa Dar es salaaam wilaya ya Ubungo kata ya Goba Mtaa wa Muungano/Marobo Kisiwani,hii ni barabara inakarabatiwa pamoja na kuwekwa daraja(Biluku Road and Bridge),huku tunahudumiwa na Tanesco Tegeta Kibaoni,na mkandarasi yupo katika za mwisho za mradi kwa hyo hizi nguzo kachimba mitaro kaziacha katikati,namba yangu ni 0756666890/0719180972