TANESCO
Official Account
- Jul 12, 2014
- 4,600
- 2,134
- Thread starter
-
- #7,041
Shida ni kuwa wewe badala ya kuchukua maelezo ya watu juu ya walichokutana nacho, UNARUMBANA NAO..!!! Mayoyasema huko maofisi kwenu si ugalisia wa field.... CHUKUA MAONI UKAYAFANYIE KAZI
BY THE WAY..
1. Huwa mnamonita transformer loading..? Maana under voltage ni issue sana maeneo mengi
2. Huwa mnafanya PREVENTIVE MSINTENANCE YA Transformers, nguzo zenu mitaani?? Maana kuna nyingine huwa mpaka vumbi linanasa kwenye transformer kwa oil leakage.... FUSE SASA... MNAWEKA WAYA KABISA AU LINK KWENYE FUSE CARRIER ZENU...
Kifupi, kama kungekuwa na option kama ilivyo kwenye simu za mkononi, yaani mtu mmoja anakuwa na laini zaidi ya moja, au kwenye umeme, nyumbani una MATANESKO MATATU, wallah mngekuwa kama TTCL yenye 1% Market share...
ndugu mteja, ukisoma vizuri post yake aliiuliza swali ndio akamalizia kutupa maelezo, sisi tumjibu kwanza swali lake kuwa hakuna kitu kama hicho maana yake survey ni BUREE!!!, katika kuhusu kuhakikisha tumelipokea kwa hatua zaidi, tukaomba mtu ambae anafanya hivyo kinyume na utaratibu wa shirika