Tanesco Mbeya Kuna shida gani mbona umeme unakatika hovyo? Hii wiki ya pili sasa
 
Kwa nini kila siku huku chamazi umeme unakatika saa 2 au 3 usiku na kurudi saa 8 au 9 usiku kama kuna mgao mbona hamtangazi tujue
 
Kwa nini kila siku huku chamazi umeme unakatika saa 2 au 3 usiku na kurudi saa 8 au 9 usiku kama kuna mgao mbona hamtangazi tujue
Tumepokea taarifa kwa hatua zaidi
 
SASA TANESCO MMEANZA KUFANYA KAZI VIZURI.

MMEKUWA WABUNIFU ,HII NIMEIPENDA

HONGERENI SANA
 
Helo TANESCO,
Niko Arusha nina changamoto ya kuharibikiwa na king'amuzi cha kuingizia token. Kilipiga shock kwahiyo kuingiza token napata tabu sana. Natumia betri kwa shida sana kwani hata mfuniko wa betri nao umeharibika. Nataka nijue utaratibu wa kupata kipya.
 
Reactions: ABJ
Tafadhali fika nacho ofisini
 
Ninachoona kama majibu ya Tannesco ni - toa jina, eneo, namba ya simu etc etc. Mbona kama porojo zile zile. Bottom line umeme unakatika katika sehemu nyingi za nchi na tahadhari haitolewi kwa muda muafaka au sababu. Pili, kisingizio cha nguzo kukosekana kuunganishia wateja wapya ni kila kona ya nchi. Wakati wa porojo uishe kazi ifanyike ili uchumi wa nchi upate kuimarika
 
Huduma bora inaanza na utoaji wa taarifa kamili hapa au inbox kwani ni wajibu wetu sisi kupokea taarifa kamili kuzifatilia nchi nzima na kuhakikisha mteja wetu amepata huduma stahiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba msaada.nipo mwanza sehem inaitwa mkolani ,tanesco na kwangu ni kama mita 500 ,na nimelipia umeme 320000 toka 28/09/2020 ila mpaka sasa hawajaja kunifungia mita na kila nkienda wananiambia wana imejensi zaidi ya mwezi ilo ndio jibu,sasa nimechoka nataka niende uongozi wa juu,naomba msaada.je nianzie wapi nlipga makao makuu huduma kwa wateja wakasema na staili kua niwe nshafungiwa wakasema watashuhulikia sasa zaidi ya wiki,je niingie ofis gani kwasasa ili nipate msaada.manake mita wanasema zipo ila shida kila siku wana imejensi zaidi ya mwezi sasa
 
Tafadhali onyesha namba ya simu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TANESCO Dodoma Ambapo ni Makao makuu, mnatuua na njaa,
toka jana mmekata umeme hapa maeneo ya uhindini hatujafanya kazi siku nzima nimelala njaa jana na leo pia hakuna umeme kwanini msituonee huruma lakini
 
TANESCO Dodoma Ambapo ni Makao makuu, mnatuua na njaa,
toka jana mmekata umeme hapa maeneo ya uhindini hatujafanya kazi siku nzima nimelala njaa jana na leo pia hakuna umeme kwanini msituonee huruma lakini
Eneo gani haswa na namba yako ya simu tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TANESCO hebu tueleze wakazi wa Kimara ni lini tutapumzika na hii adha ya kukatikakatika umeme huku Kimara mwisho dawasco,matangini,kanisa katoliki,tra,sokoni,mavurunza.Hatupumziki siku Moja ya pili umeme hakuna..nini shida?wewe mwenyewe ni shahidi nadhani na ID yangu umeikariri,Tuna mwaka mzima tunajibizana humu na mnaahidi tatizo litaisha ila hadi sasa nipo hapa naendelea kulalamika?kuna shida gani umeme Kimara mwisho umekuwa kama almasi hivi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…