kerubi afunikaye
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 1,183
- 1,060
Ina maana nyie linapotokea katizo/kukatika kwa umeme kwa muda mrefu na mtu ametaja eneo ni Kimara Bucha/Baruti mnakuwa hamna taarifa za katizo hilo.....yaani system zenu za emergency zikoje....maana hata muda huu pia mmekata tena toka mida ya saa sita mapaka sasa saa nane hamajarudisha umeme na mnaona poa tu....wala taarifa ya kukatia hamjatoa maana kwa huku Kimara Bucha/Baruti ndo imekuwa michezo yenu mnakata na kurudisha pale mnapo jisikia.Tafadhali onyesha
Jina
Eneo
Wilaya
Simu
Tatizo
Toka lini
Kwa hatua zaidi
Yaani mkuu kweli kabisa nami niko Kimara na hakuna umeme muda mrefu kweli.....alafu majamaa yamekaaa tu kimya bila kutoa taarifa yoyote....wabaguzi kweli,mbona mitaa ya upanga na oysterbay wakitaka kukata umeme huwa wanawapa taarifa.TANESCO Kimara mmeanza tena tabia yenu mbaya ya maudhi ya kukatakata umeme ovyo.Nnavyoandika Ijumaa hii now saa tano asubuhi Kimara mwisho hakuna umeme line yote.Juzi pia mlikata mida ya mchana mpaka jioni.Shughuli zetu zinasimama,mnatutia hasara sana.
Mimi nadhani imefika mahali wakazi wa Kimara tutumie njia nyingine ili hawa jamaa watupe huduma endelevu kama kwingineko.Yaani mkuu kweli kabisa nami niko Kimara na hakuna umeme muda mrefu kweli.....alafu majamaa yamekaaa tu kimya bila kutoa taarifa yoyote....wabaguzi kweli,mbona mitaa ya upanga na oysterbay wakitaka kukata umeme huwa wanawapa taarifa.
Acheni kutuchulia poa wakazi wa Kimara kwa kutukatia umeme hovyohovyo.
Umenena vyema kabisa mkuu...Tanesco wanakera sana hasa kwa sisi wakazi wa Kimara.Hawana ubunifu na ufanisi katika utendaji wao kwa upande wa Kimara....tuko karne ya 21 lakini wao wanafanya kazi kama tuko karne ya 18.Mimi nadhani imefika mahali wakazi wa Kimara tutumie njia nyingine ili hawa jamaa watupe huduma endelevu kama kwingineko.
Kimara ina historia mbovu sana ya huduma ya umeme na sijui ni kwanini.Miaka ya nyuma tulisumbuliwa na tatizo la low voltage,tukapiga makelele sana hadi likatatuliwa baada ya miaka mingi sana.sasa tuna hili la kukatiwa umeme hovyo hovyo bila hata sababu.
Kwanini hamuwezi kutuliza mambo bila kupelekeshwa?Mpaka tuandikane humu?Dunia ya sasa kwenye metropolitan places kama Dar mtu akikukatia umeme anakuua kiuchumi.ila TANESCO mna mtazamo wa maisha ule wa miaka 50 iliyopita,even before you existed.ajabu!
Tafadhali onyeshaUmenena vyema kabisa mkuu...Tanesco wanakera sana hasa kwa sisi wakazi wa Kimara.Hawana ubunifu na ufanisi katika utendaji wao kwa upande wa Kimara....tuko karne ya 21 lakini wao wanafanya kazi kama tuko karne ya 18.
Nyie mnataka jina langu la nini wakati nimeshawatajia eneo na muda wa katizo na katizo bado mpaka sasa.Na mwenzagu wa Kimara pia amekiri kuwa umeme hakuna.Jina na number yangu ya simu ndo vitarudisha umeme au.....hebu acheni kufanya watu wajinga....ina maana hamna taarifa kuwa Kimara hakuna umeme au na baada ya kupewa taarifa mmefanya nini?.Tafadhali onyesha
Jina
Eneo
Wilaya
Simu
Tatizo
Toka lini
Kwa hatua zaidi
Tafadhali onyeshaTANESCO naomba muelewe kitu hiki,kumkatia mtu umeme hata kwa dk 20 tu kwenye dunia ya sasa na majiji kama haya ya Dar ni kuhujumu uchumi wa watu mmoja mmoja na uchumi wa nchi kwa ujumla.
Ifike mahali na nyinyi muone umuhimu wa kutokatia watu umeme hata kwa dk moja.Times have changed.Watu tumeamua kujikita katika shughuli halali za kujenga uchumi wa nchi,tumejiajiri,tunalipa kodi,hatuibi wala kufisadi mtu,kwa jasho jingi mkono unaenda kinywani,but you guys frustrate us.Mnaudhi sana,honestly let me tell you this.
Kama hii line ya Kimara mwisho,wewe TANESCO sema mwenyewe tangu lini tunakimbizana humu na kila baada yamda mfupi tunarudia topic ile ile upya?!uliniahidi almost 5 months ago kuwa mnaboresha huko ili tupate huduma bora,kiko wapi?
Wewe tuliza umeme wangu nnaoulipia kodi niupate,hutoniona nikikusumbua humu.
Eneo ni Kimara Mwisho,ni eneo kubwa naamini haina haja ya kuandika sana,ukitaja Kimara mwisho basi mkazi yeyote wa Dar anapajua.ni Kimara yote haina umeme as we write here na tatizo hili la kukatika umeme ni sugu,kuna mda linatulia hata wiki mbili,then linarudi na kusumbua tena,na inaonekana huwa unatusaidia sana wewe maana tusipokuandikia tukakaa kimya huwa hali inazidi kuwa mbaya.Mientaendelea kukuandikia wewe hadi hukuground hali inabadilike na nakuahidi ikitokea nimekaa miezi miwili umeme haujakatika ntakuja kukuandikia pia huku na kuipongeza TANESCO kimara, i promise you that.Tafadhali onyesha
Jina
Eneo
Wilaya
Simu
Tatizo
Toka lini
Kwa hatua zaidi
Tumepokea taarifa mkuuEneo ni Kimara Mwisho,ni eneo kubwa naamini haina haja ya kuandika sana,ukitaja Kimara mwisho basi mkazi yeyote wa Dar anapajua.ni Kimara yote haina umeme as we write here na tatizo hili la kukatika umeme ni sugu,kuna mda linatulia hata wiki mbili,then linarudi na kusumbua tena,na inaonekana huwa unatusaidia sana wewe maana tusipokuandikia tukakaa kimya huwa hali inazidi kuwa mbaya.Mientaendelea kukuandikia wewe hadi hukuground hali inabadilike na nakuahidi ikitokea nimekaa miezi miwili umeme haujakatika ntakuja kukuandikia pia huku na kuipongeza TANESCO kimara, i promise you that.
Nikitummia unit 20 kila mwez nitakuwa kundi la watumiaji wa tariff ipiasante tumelipokea na tutalifanyia kazi
Mmmh