Kuna jirani yangu walimpiha nguzo 2 wakati eneo lenyewe ni nguzo moja. Ule mnguzo huu ni mwaka sasa umelala mbele ya nyumba yangu. Mm ndio najikongoja lakini hapo nilipo sihitaji nguzo. Jamaa anatafuta mtu hata wakuuza kuni amuuzie aipasue kuni yaishe.
Hawa jamaa rushwa sana
Unaweza kutumia hata zaidi ya hizo.. kama vifaa vyako vinatumia umeme mwingi sishangai.Ahaaaaa kwa hiyo tarrif 1 ni wenye matumizi makubwa? Maana sisi kwa siku tu tunatumia units 42, so ukipiga kwa mwezi ni units 1260
Guava leo umekuwaje aisee... huo mwandikoKuna nyumba mbafunga meter za matumizi ya biadhara wakati ni umeme hapi ni4 matumiz ya nyumban hakuna hata frame
Leo kama nilivyosema awali umeme umekatika eneo la Mbagala Mgeni Nani toka saa 2 usiku mpaka muda huu hakuna umeme. Nyumba za mtaa wa pili umeme upo!!!Mbagala mnakata sana umeme
Tumepokea ushauri wako mpendwa mteja tunashukuru sanaTanesco anzisheni mfumo ambao unamwezesha Mteja akishanunua umeme uwe unaingia moja kwa moja kwenye meter badala ya kwenda tena kuanza kuingiza tokens kwenye meter (mfanye kama wateja wanavyolipia ving'amuzi). Hii italeta faida nyingi sana kwenu na wateja wenu.
Pia tengenezeni mfumo wa mteja kuangalia salio la umeme wake kwa kutumia simu ya mkononi (kama wafanyavyo wateja wa bank kwa kutumia sim banking)
Kwa ujumla badilisheni mifumo mnatumia mifumo ya kizamani sana ambayo inachosha.
Tumepokea taarifa yako tutaifanyia kazi mpendwa mtejaNimeanza kuwa na mashaka na haya mnayosema ya huduma bora hayapo kivitendo. Mtwara kuna eneo liko km 4 tu kutoka mjini njia ya kuelekea airport linaitwa Mangamba. Nyumba zaidi ya 150 hazina umeme na wameomba kuletewa mradi wa umeme tangu mwaka 2015. Mwaka jana mwezi feb na march Tanesco walijenga line kwa kuweka nguzo na baadhi ya nyaya. Hadi sasa ni mwaka na mwezi hakuna umeme umewashwa kwa madai hakuna transfoma. Wananchi wamefuatilia Tanesco mkoa hadi wamekata tamaa. January mwaka huu wameandika barua kwa mkurugenzi mkuu makao makuu bila kujibiwa lolote. Majibu ya mkoa hadi sasa hawajaletewaTransfoma. Inasikitisha ninaposikia TANESCO wanasema wanatoa huduma bora. Haiingii akilini.
Pole sana ilitokea hitilafu na umeme umerudiAsante kwa kitukatia umeme huku kijichi.
Ila leo mmekata mapema jamani saa moja
Kawaida ni saa mbili......
Kama kawaida
Leo sijui ndio itarudi saa saba au tisa??
Mkuu tariff 4 ndo nini?na inawezekana vipi 9,500 upate units 73,wakati Mimi nanunua wa 20,000 napata units 56.Mimi niko tarrif 4 mwezi uliopita nili nunua umeme wa sh 9,500/- kwa M-pesa nika pata unit 73.6 mwezi huu nimenunua 9,500/-
nimepata 73.90 Units ina maana nitaamishwa kwenda tarrir 4
Mwezi wa 10, 11 na 12 ulinunua wastani wa unit 77 kinyume na agizo la EWURA linalokutaka utumie chini ya unit 75 kwa wastani hivyo kwa kuzidi huko ndiko kumepelekea uwe kundi la matumizi ya wateja wa wa majumbani.Hivyo hautaweza kubadilishiwa baada ya kuvuka kiwango cha chini.Kwanza niwapongeze kwa kujiunga na dunia ya digitali,
Pili nikushauri uongeze idadi ya watu wa kukusaidia kujibu matatizo ya wadau wako, ikiwezekana wawe wa kanda tofauti au mikoa husika pia,
Tatu na kuubwa kabisa ni kuwa mm nilikuwa mteja wa tarrif 4, ila nikawa nanunua umeme wa 10000Tsh, badala ya 9200. Ikawa matumizi yangu yalikuwa chini ya unit 75 lakini ilikuwa nanunua kila mwenzi na mabakia ya umeme wangu yakawa yanaongezeka kulimbikizana.
January niliponunua umeme nikakuta nimehamishiwa tarrif 1 automatic na kuanzia hapo nikazira kununua umeme nikawa natumia mabakia ya umeme wangu mpaka march hii ndo nimenunua tena umeme wa elf 10 nikapata unit 28.
Msaada ninaouhitaji n kurudisha kwenye tarrif 4 ila usumbufu wa kuanza kujaza yale maform ndo unanikwamisha, kama inawezekana ukaangalia details zangu na ukathibitisha hizo na kubadilisha kutokea ofisin kwako itasaidia sana. kuniondolea kero husika
Meter namba yangu ni 43001735406
Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.
Tunawaomba mzingatie yafuatayo ili kurahisisha ufafanuzi na ufumbuzi wa tatizo au taarifa husika;
1.ENEO HUSIKA
(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)
2.NAMBA YA SIMU
(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)
3.KARIBU NA NINI
(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)
4.JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO
(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)
5.MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI
(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)
6.KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME
(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)
7.KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI
(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)
TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.
ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO
Kw mawasiliano Kituo cha Miito ya Simu (+255) 22194400 or (+255) 768 985 100 Mitandao ya kijamii Tanescoyetu (@tanescoyetu) | Twitter Facebook: Tanesco Yetu
HAPA CHINI NI NAMBA ZA SIMU ZA MIKOA
Ofisi ya Mkoa wa Mbeya Simu ya Mkononi (+255) 757 529 380 ya Mezani (+255) 252 504 219
Ofisi ya Mkoa wa Ilala Simu ya Mkononi (+255) 784 768 586 ya Mezani (+255) 222 133 330
Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kusini (Magomeni) Simu ya Mkononi (+255) 715 271 461/ (+255) 784 271 461
Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kaskazini (Mikocheni) Simu ya Mkononi (+255) 784 768 584 / (+255) 716 768 584 ya Mezani (+255) 222 700 367/ (+255) 222 701 602 / (+255) 222 774 098
Ofisi ya Mkoa wa Temeke Simu ya Mkononi (+255) 712 052720 / (+255) 758 880155 / (+255) 732 997361
Ofisi ya Mkoa wa Pwani Simu ya Mkononi (+255) 78 5122020 / (+255) 65 7108782ya Mezani (+255) 23 2 402 386
Ofisi ya Mkoa wa Arusha Simu ya Mkononi (+255) 75 8 174 343 Mezani (+255) 272 506 110
Ofisi ya Mkoa wa Tanga Simu ya Mkononi (+255) 658 122 412/ (+255) 687 677 667 Mezani (+255) 27 2 646 779
Ofisi ya Mkoa wa Kilimanjaro Simu ya Mkononi (+255) 765 397 925/ (+255) 682 771 310 Mezani (+255) 272 755 007/8
Ofisi ya Mkoa wa Manyara Simu ya Mkononi (+255) 689 795 599 / (+255) 75 9 534 130 Mezani (+255) 272 530 590
Ofisi ya Mkoa wa Mwanza Simu ya Mkononi (+255) 759 777 786 / (+255) 687 910 202 Mezani (+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090
Ofisi ya Mkoa wa Geita Simu ya Mkononi (+255) 744 085 696 Mezani (+255) 28 2520330
Ofisi ya Mkoa wa Kagera Simu ya Mkononi (+255) 78 5 787 898 / (+255) 75 3 120 701 Mezani (+255) 282 220 061
Ofisi ya Mkoa wa Mara Simu ya Mkononi (+255) 762 165 087 / (+255) 732 985 672
Ofisi ya Mkoa wa Simiyu Simu ya Mezani (+255) 282 700 180
Ofisi ya Mkoa wa Dodoma Simu ya Mkononi (+255) 782 161 643 Mezani (+255) 262 321 728
Ofisi ya Mkoa wa Morogoro Simu ya Mkononi (+255) 68 4889272 / (+255) 65 4829046 Mezani (+255) 232 613 501/2
Ofisi ya Mkoa wa Singida Simu ya Mkononi (+255) 71 4 477 445 / (+255) 732 960 924 / (+255) 689 373 757 Mezani (+255) 262 502 133
Ofisi ya Mkoa wa Tabora Simu ya Mkononi (+255) 786 558 510 / (+255) 763 162 868
Ofisi ya Mkoa wa Shinyanga Simu ya Mkononi (+255) 754 521 070 Mezani (+255) 28 2762120
Ofisi ya Mkoa wa Kigoma Simu ya Mkononi (+255) 78 3720598 Mezani (+255) 28 2802668
Ofisi ya Mkoa wa Katavi Simu ya Mkononi (+255) 68 8345200
IMETOLEWA NA:- Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makauu.
Mimi niko tarrif 4 mwezi uliopita nili nunua umeme wa sh 9,500/- kwa M-pesa nika pata unit 73.6 mwezi huu nimenunua 9,500/-<br />nimepata 75.90 Units ina maana nitaamishwa kwenda tarrir 4?
Mbona mimi tangu nimeanza kutumia umeme (mita mpya, ina miezi 6/7 sasa hivi) sijawahi kuzidisha units 70 kwa mwezi na bado nalipa 10,000/- napata units 28 tu?Mwezi wa 10, 11 na 12 ulinunua wastani wa unit 77 kinyume na agizo la EWURA linalokutaka utumie chini ya unit 75 kwa wastani hivyo kwa kuzidi huko ndiko kumepelekea uwe kundi la matumizi ya wateja wa wa majumbani.Hivyo hautaweza kubadilishiwa baada ya kuvuka kiwango cha chini.
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app