TANESCO: Tuna upungufu, siyo mgao wa umeme. Wananchi endeleeni kuvumilia

Kwani we hukusikia ripoti ya uchunguzi iliyotolewa juzi?

TANESCO wamegundua maeneo ya buza buza kushuka chini huko hakunaga matumizi ya msingi ya umeme

Zaidi ya kuchajia simu afu zikijaa muanze kusumbua mitandaoni na habari za Yanga.
Duh! sio haki kabisa.
 
Ninawasiwasi huu mgao mkali wa umeme ni michezo ya kufungulia maji ya enzi za kikwete, huu mwaka una maji mengi sana ukilinganisha na mwaka 2017 kulikuwa na ukame hadi wanyama pori na wakufugwa walikosa maji na malisho wakafa, lakini hakukuwa na mgao wa umeme. Bwawa la mwl Nyerere limejaa maji kabla ya muda uliopangwa, hadi mda huu mito mingi Bado inatiririsha maji yenye ujazo unaoridhisha.Sababu waliyotoa ya kupungua kina cha maji, mimi binafsi naona sijashawishika.
 
Wana boost biashara ya solar power na magenerator....[emoji2960]
 
This is a Stupid statement
 
Tanesco imesema Hapatakuwepo tena na Mgao wa Umeme bali patakuwa na Ratiba ya Upatikanaji Umeme

Kwahiyo Umeme utakuwa wa Ratiba

Taarifa ipo kwenye ukurasa Wao wa X
 
Tanesco imesema Hapatakuwepo tena na Mgao wa Umeme bali patakuwa na Ratiba ya Upatikanaji Umeme

Kwahiyo Umeme utakuwa wa Ratiba

Taarifa ipo kwenye ukurasa Wao wa X

Try kupaka kinyesi rangi nyeupe ili kiwe keki. Pathetic
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…