chapachapa
Member
- Jan 14, 2013
- 93
- 21
Kwa siku tano mfululizo maeneo haya umeme ifikapo jioni unakatwana bila taarifa kwa sisi wateja labda Kama tangazo Hilo sijalisikia.
Maeneo ya ubungo Mandela Rd kuanzia external, maziwa, hadi darajani unaotazamana na rivaside.
Pamoja na kuwa jirani kabisa na mitambo ya umeme ya ubungo tunakutana na adha hii.
Leo tarehe 26/02/2021 umeme haukarudi mpaka saa 5 za usiku niandikapo taarifa hii na hatujui utarudi saa ngapi.
Tunaomba tutangaziwe kama ni mgao au uzembe au hitilafu.
Maeneo ya ubungo Mandela Rd kuanzia external, maziwa, hadi darajani unaotazamana na rivaside.
Pamoja na kuwa jirani kabisa na mitambo ya umeme ya ubungo tunakutana na adha hii.
Leo tarehe 26/02/2021 umeme haukarudi mpaka saa 5 za usiku niandikapo taarifa hii na hatujui utarudi saa ngapi.
Tunaomba tutangaziwe kama ni mgao au uzembe au hitilafu.