Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Ni shirika la hovyo sana halafu kuna watu kutwa kucha kusema tupo uchumi wa kati na kusema hii ni nchi ya viwanda.
Inasikisha sana kuona TANESCO wanaendesha shirika kama ghetto!
Inasikisha sana kuona TANESCO wanaendesha shirika kama ghetto!