TANESCO watoa ufafanuzi kuhusu Bwawa la kufua umeme la Mwl. Nyerere kuwa na nyufa

Sasa hapo ndiyo wametoa majibu ya kutokea kwa nyufa? Stupid engineers!
 
Mbona hawajajibu hoja ya bwawa kuwa na nyufa?
 
Yule sijui anaitwa Lukasi nani nani ambaye huwa anaandika waraka mrefuuu wakumsifia mama mkwe wa Mchengerwa na mwishoni anaweka namba yuko wapi?
 
Hao wapiga porojo wa Makamba walipaswa wamfuate huko alikopelekwa hata kama ni wahandisi.

Hivyo vifaa vilivyosimikwa kubaini weakness vinaitwaje?

Kama kuna nyufa na vinasoma hakuna shida basi vyenyewe pia vibovu.
 
Jibuni swali letu sisi tunauliza nyufa nyie mnajibu vifaa vya vilivyosimikwa ndani ya bwawa. Haya achaneni na mavifaa yenu turudi kwenye nyufa nasema nyufa za bwawa alaaah.
Hao ndio ccm bhana wana majibu yote, si umeona hata ya yule kilaza wa HABARI
 
Hao ndio ccm bhana wana majibu yote, si umeona hata ya yule kilaza wa HABARI
Hakuna lisilo na mwanzo likakosa mwisho,kulikuwa na Zanupf,Kanu, na wengine wengi leo wako wapi. Waache wajazane watoto wao, wake zao, wakwe zao, wadogo zao lakini ipo siku. Majibu ya hovyo hovyo kwenye maswali magumu yatatamalaki.
 
Kwa nilivyo muelewa ni kwamba nyufa zipo ila hazina madhara na kuna vifaa wamefunga ili kuhakikisha madhara hakuna!

Shida kukiri kuna nyufa ndio shughuli.
 
Nadhani wananchi wanahoji kuhusu nyufa zilizokwisha jitokeza tayari hili ndio walipaswa Tanesco walijibu
Niliwaza sana baada ya Dam za Libya kupasuka nikajisemea tu baada ya kuona comments za watu wakifurahia maafa ya Morocco na Libya

Kama kuna nyufa bora wasitishe kama kupunguza maji sawa kuliko kusubiri vijiji visombwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…