Link Kafulila: Hii ndio siri ya Singasinga kulindwa ufisadi wa IPTL/ESCROWDaaaah asante sana hawa wanyonyaji......
Magufuli akifanikisha hili nitamuunga mkono kwa Mara ya kwanza......
Sina utani katika vitu ambavyo vilikuwa vinaniuma ni huu mkataba wa kishenzi sana.
Tuungane kupinga hii mikataba ya kulinyonyaji katika taifa letu...
.........
Kampuni ya Uzalishaji na Usambazi wa Umeme nchini (TANESCO) imesitisha malipo ya kila mwezi kwa kampuni ya kufua umeme ya IPTL na zinazofanana na hizo.
Hiyo inafuatia,pamoja na maagizo toka juu, utata unaoigubika mikataba ya makampuni hayo na hasa katika utekelezaji wake. IPTL imekuwa kiini cha migogoro ihusuyo TANESCO kwa miaka kadhaa sasa.
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Kina miraj watalia na mbele ya Magu wataona/pata cha mtema kuni, hana simile na open mafisadi!!!!!!---- waliofaidi kutoka Stanbic.Daaaah asante sana hawa wanyonyaji......
Magufuli akifanikisha hili nitamuunga mkono kwa Mara ya kwanza......
Sina utani katika vitu ambavyo vilikuwa vinaniuma ni huu mkataba wa kishenzi sana.
Tuungane kupinga hii mikataba ya kulinyonyaji katika taifa letu...
Ushauri tushushe pia bei ya umeme....
Ingia kote kabisa wafulumushe mafisadi hii nchi waliigeuza shamba lao pekee.....
Si kweli kuwa iptl ni kiini cha mgogoro, bali ni chuma ulete la ccm.Kampuni ya Uzalishaji na Usambazi wa Umeme nchini (TANESCO) imesitisha malipo ya kila mwezi kwa kampuni ya kufua umeme ya IPTL na zinazofanana na hizo.
Hiyo inafuatia,pamoja na maagizo toka juu, utata unaoigubika mikataba ya makampuni hayo na hasa katika utekelezaji wake. IPTL imekuwa kiini cha migogoro ihusuyo TANESCO kwa miaka kadhaa sasa.
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Putin mbona alipitia upya mikataba yote ya mangumashi iliyoingiwa na watangulizi wake na sasa Urusi inadunda tu! ? Tunaweza bila kuwezeshwa!Mhm maamzi hayo ni magumu lakini hakuna namna ila inabidi kujiridhisha na sheria za mikataba zinasemaje tusije kulipa mara mbili.
wasiwasi wangu.
BAADA YA KUSITISHA HAO JAMAA WASIJE KWENDA MAHAKAMANI NA KUSHINDA KESI KISHA TAIFA LIKAINGIA GHARAMA ZA KULIPISHWA MABILIONI YA SHILINGI. NI HAYO TU
wawe makini ktk jambo hili kama taifa lisiingie hasara mara mbilikwa hiyo unashauri nini??
Link Jinsi Kampuni ya PAP ilivyoichukua IPTL bure na kujichotea Dola za Marekani 128M kutoka BoTKampuni ya Uzalishaji na Usambazi wa Umeme nchini (TANESCO) imesitisha malipo ya kila mwezi kwa kampuni ya kufua umeme ya IPTL na zinazofanana na hizo.
Hiyo inafuatia,pamoja na maagizo toka juu, utata unaoigubika mikataba ya makampuni hayo na hasa katika utekelezaji wake. IPTL imekuwa kiini cha migogoro ihusuyo TANESCO kwa miaka kadhaa sasa.
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
wakiamua kuzima mitambo yao na kukimbilia Mahakama ya kmataifa ya uhusuluhi, si tutawalipa mihela kibao. tutakosa hela ya kununua ndege ingineKampuni ya Uzalishaji na Usambazi wa Umeme nchini (TANESCO) imesitisha malipo ya kila mwezi kwa kampuni ya kufua umeme ya IPTL na zinazofanana na hizo.
Hiyo inafuatia,pamoja na maagizo toka juu, utata unaoigubika mikataba ya makampuni hayo na hasa katika utekelezaji wake. IPTL imekuwa kiini cha migogoro ihusuyo TANESCO kwa miaka kadhaa sasa.
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Nadhani itabidi fedha hizo ziwekwe kwenye ESCROW ACCOUNT
Kampuni ya Uzalishaji na Usambazi wa Umeme nchini (TANESCO) imesitisha malipo ya kila mwezi kwa kampuni ya kufua umeme ya IPTL na zinazofanana na hizo.
Hiyo inafuatia,pamoja na maagizo toka juu, utata unaoigubika mikataba ya makampuni hayo na hasa katika utekelezaji wake. IPTL imekuwa kiini cha migogoro ihusuyo TANESCO kwa miaka kadhaa sasa.
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Isije ikawa ni mihemko ndiyo imewatuma kufanya hivyo. Maana sitegemei kuwa IPTL wanazalisha umeme wa bure. Viwango vya kisheria vinapaswa kuwa vimezingatiwa.!Kampuni ya Uzalishaji na Usambazi wa Umeme nchini (TANESCO) imesitisha malipo ya kila mwezi kwa kampuni ya kufua umeme ya IPTL na zinazofanana na hizo.
Hiyo inafuatia,pamoja na maagizo toka juu, utata unaoigubika mikataba ya makampuni hayo na hasa katika utekelezaji wake. IPTL imekuwa kiini cha migogoro
Kusitisha hakuna maana kama hatutaweza kuvunja hii mikataba kisheria na kisha kuwa huru.Hapo magu atakuwa amecheza kama pele
Baba yako alinikata miguu, baba mdogo wako akaninunulia ya bandia.Usipo Muunga Mkono Rais Magufuli wewe ni Zaidi ya Shetani .
Mungu mpe nguvu zaidi Rais wetu
Kwa Mzee Magu akisema ujue amesema....!!!Ni mapema sana kusema lolote.
Mwenye busara hukaa kimya na kusubiri muda useme.
Si uache tu kunywa, ona unavyoharishia mdomoni.Viroba nijanga kwa sasa
Sasa mnataka utaratibu uliotumika wakati mlipiga kelele mkataba huo usitishwe?Not to play devil's advocate
ila wamesitisha kwa utaratibu upi? hii ya kufuata maagizo tu isije ikawacost huko mbeleni
Link Huu ndio mtandao unaoimiliki Simba Trust!!Akisitisha hayo malipo ajiandae kufukua makaburi yote