Tanga: Afisa wa TRA ajirusha ghorofani na kufariki

Hawa waandishi wetu ni majanga, wanajuaje kama amejirusha na hajasukumuzwa na mtu?
 
Nani kamuona akijirusha na sio kurushwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…