YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,155
- 36,337
Kuruka kutoka ghorofa ya pili sidhani kama unaweza kufa maana nilishawai kuruka.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuruka kutoka ghorofa ya pili sidhani kama unaweza kufa maana nilishawai kuruka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa waandishi wetu ni majanga, wanajuaje kama amejirusha na hajasukumuzwa na mtu?Mfanyakazi wa Mamlaka ya Mapato (TRA) Mkoa wa Arusha, Richard Walalaze (35) amekutwa amefariki baada ya kujirusha kutoka ghorofani jijini Tanga.
Akithibitisha tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Henry Mwaibambe amesema kuwa mfanyakazi huyo amejirusha kutoka ghorofa ya pili ya Hoteli ya Ocean Breez jijini Tanga alikokuwa amepanga chumba tangu Julai 16 mwaka huu.
Mwananchi imefahamishwa kuwa Richard alikuwa miongoni mwa watumishi wa TRA waliokuwa jijini Tanga kwa kazi maalumu ya kuandaa taarifa ya Mamlaka hiyo ya mwaka.
Chanzo: Mwananchi
Nani kamuona akijirusha na sio kurushwa?Mfanyakazi wa Mamlaka ya Mapato (TRA) Mkoa wa Arusha, Richard Walalaze (35) amekutwa amefariki baada ya kujirusha kutoka ghorofani jijini Tanga.
Akithibitisha tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Henry Mwaibambe amesema kuwa mfanyakazi huyo amejirusha kutoka ghorofa ya pili ya Hoteli ya Ocean Breez jijini Tanga alikokuwa amepanga chumba tangu Julai 16 mwaka huu.
Mwananchi imefahamishwa kuwa Richard alikuwa miongoni mwa watumishi wa TRA waliokuwa jijini Tanga kwa kazi maalumu ya kuandaa taarifa ya Mamlaka hiyo ya mwaka.
Chanzo: Mwananchi
Stress problem is real, na kwa sisi Wababa hali ni mbaya zaidi
Ndiyo maana huwa naprefer kutenga muda wa kuburudika.
Vinginevyo wengi tunaweza kuwa wahanga wa hayo matukio ya kujiua.
Apumzike kwa Amani Afisa.
Stress za Kucheleweshewa Pension Mjukuu 🤪Babu una stress gani tena!!
Wanadamu achan nao nduguuu... washamchukua kaka wa watuu mashetanii hawaaAnawezaje kujirusha nadhani hii ya kujirusha inapoteza ushahidi haraka sana....pana vitu vinakataa baadhi ya majibu rahisi kwenye matukio tata...
mwenyewe 😆[emoji23][emoji23][emoji23] Mwehu wewe
Hell Yeah 😍Kufa kufaana sio😂😂😂
kabisa kabisa, kufa kufaanaSaiv tukiona mtu amekufa na mfanyakazi tunaenda kwenye taasisi husika kuomba kazi
hii itakuwa ya chapKila siku mbona wanatangaza
Stress za Kucheleweshewa Pension Mjukuu [emoji2957]
mwenyewe [emoji38]
Huwezi jua mkuu,labda kuna jambo kubwa lipo nyuma ya pazia ambalo sisi hatulijui.Jamaa yupo kwenye ajira nono ....afu anajiua ,[emoji23][emoji23][emoji23]
Kweliii upele humuota asiyena kucha
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Alafu ni Kweli sometimes unaweza kukuta ameuwawa ndani alafu ndiyo akatupwa ili ionekanike amejirushaHakuwa makini. Ghoropha ya pili ni karibu sana,unaweza usife na huwezi kunyanyuka kwenda kuruka tena ili ujimalizie(kama alipanga kujiua mwenyewe)
Hiyo pia inaweza ni sababu.Hii habari ina ukakasi sana, ukute karushwa na watu ambao aidha walimuwinda kwasababu ya masuala ya kodi au kuna watu wamepiga hela nyingi kwa jina lake wakaamua kumu- eliminate
aah we, ntakufanya Richie WalalazeMxiewwwww!!! Nitakupasua [emoji23][emoji23][emoji23]