Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kufa kufaana atiHaya maisha bana
Kuna rafiki alifariki Ile tumetoka kuzika kwao Moshi kesho yake mapema naona nafasi yake ishatangazwa kwa gazeti.
Yeah hamna namnakufa kufaana ati
SIku hizi mbona huji na mastori yako yaleee 😄 nimeyamiss unajuaYeah,ila ndo ivo
Kwanini ulirukaKuruka kutoka ghorofa ya pili sidhani kama unaweza kufa maana nilishawai kuruka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa msiba ni wa nyie ndugu na marafiki au hata wateja na wategemea huduma za marehemu ?Haya maisha bana
Kuna rafiki alifariki Ile tumetoka kuzika kwao Moshi kesho yake mapema naona nafasi yake ishatangazwa kwa gazeti.
Sasa unadhani inakuaje 😁 kazi ziendelee ofisi nayo isije kufaHaya maisha bana
Kuna rafiki alifariki Ile tumetoka kuzika kwao Moshi kesho yake mapema naona nafasi yake ishatangazwa kwa gazeti.
Ya kichawi au?Kwenye hizi kazi za TRA, Immigration & TPA kujiua ni jambo dogo tu. Huko kunakuwaga na mambo mengi sana.
Hahaa kweli lakiniSasa unadhani inakuaje 😁 kazi ziendelee ofisi nayo isije kufa
wejamaa unaakili sanaUkute amerushwa baada ya kugoma kupika data
Utu hawana wakati wameshiriki kwenye msiba mpaka maziko 😁Hahaa kweli lakini
Sema me iliniuma 😄 nikaona hawana utu but walifanya sahihi maisha lazima yaendelee
Daah😄Utu hawana wakati wameshiriki kwenye msiba mpaka maziko 😁
Mwananchi imefahamishwa kuwa Richard alikuwa miongoni mwa watumishi wa TRA waliokuwa jijini Tanga kwa kazi maalumu ya kuandaa taarifa ya Mamlaka hiyo ya mwaka.Jamaa yupo kwenye ajira nono ....afu anajiua ,[emoji23][emoji23][emoji23]
Kweliii upele humuota asiyena kucha
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ndio dunia ya kibepari hioDaah😄