Unasema ngoja nipige kamoko nisepe unanogewa au unachukuliwa na usingizi.Kupenda mteremko guest hakuziona
mi nashangaaga sana watu wanawaaminigi wanawake wanaposema mme wangu hana tatizo njoo tu nichakatie nyumbani jamani na kuna mabwege yanaendaTanga wanaita Soni- Mombo (kupenda mserereko)Jamaa mshenzi sana hapo ukute kala msosi kwanza bure, kajifutia taulo la jamaa, na pia kala mashine bure, kalala kwenye kitanda cha jamaa na kaambiwa kojolea nje nisipate mimba kachafua shuka za watu, hapo unaponaje kwa mfano.
Yaani hilo jamaa bwege kweli ndio maana limeuawa, ingekuwa mwenye mke kamtafuta mgoni wake kitaa ningemlaumu ila kamuulia on the spot jamaa aachiwe hurumi nashangaaga sana watu wanawaaminigi wanawake wanaposema mme wangu hana tatizo njoo tu nichakatie nyumbani jamani na kuna mabwege yanaenda
NakaziaKuloweka Noma Sana Jamani
dumb ways to dieUwanja wa nyumbani kabisa...
Wata mrogaAkipata wakili mzuri mahakamani anachomoka, labda sasa huko uraiani ndugu wa marehemu wa'take revenge..
Hapo kapotoshwa na mwanamke!Kupenda mteremko guest hakuziona
Duh.... akufwe na yeyeJeshi la Polisi Mkoa wa Tanga linamshikilia mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Mohamedi Bakari Lukindo, mwenye umri miaka 43 kwa tuhuma za kumuua Athumani Dolly baada ya kumfumania na mke wake nyumbani kwake majira ya saa tisa usiku wa kuamkia leo, nyumbani kwake Mtaa wa Vunja Bei Wilayani Handeni.
Chanzo: Radio One