Tafuta Hela
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 1,546
- 2,983
Pigana na pesa Hawa viumbe waache tu Kama walivyo yani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakai zaidi ya 7Yaani hilo jamaa bwege kweli ndio maana limeuawa, ingekuwa mwenye mke kamtafuta mgoni wake kitaa ningemlaumu ila kamuulia on the spot jamaa aachiwe huru
kuna fala mmoja alitaka kuniingiza mkenge kama hivi akasema mme wake amesafiri nikagoma,mi nashangaaga sana watu wanawaaminigi wanawake wanaposema mme wangu hana tatizo njoo tu nichakatie nyumbani jamani na kuna mabwege yanaenda
Mzinifu mbobeziTanga wanaita Soni- Mombo (kupenda mserereko)Jamaa mshenzi sana hapo ukute kala msosi kwanza bure, kajifutia taulo la jamaa, na pia kala mashine bure, kalala kwenye kitanda cha jamaa na kaambiwa kojolea nje nisipate mimba kachafua shuka za watu, hapo unaponaje kwa mfano.
Kesi ipo, ila defense ya 'provocation' pia ipo but with strict principles.Hamna kesi hapo anaachiwa hata bila wakili
aisee wewe jamaa una moyo wa chuma. Ulikunywa nini ukajiamini ? Au ulipata kitu cha Arusha?Haya mambo.....nilienda kupiga mke wa police kwake yan cku hiyo ckulala kila saa nashutuka yan ukisikia honi njee..unatoka kwenda chungulia zen ule mkanda na sare zake pale nyuma ya mlango n hatar sana.
Subiri siku ukiolewa.Kuua mtu kwa sababu ya mwanamke wako eti amechepuka ni upumbavu wa kiwango cha juu sana.
Lazima tuelewe jambo moja, mwili wa mwanamke ni mali yake binafsi, akiamua kumpa mtu yeyote ni haki yake. Wewe unachopaswa kufanya ni kuachana nae tu.
Sasa unaua mtu unafungwa unaacha wengine wanaendelea kumla bila shida yoyote unakua imefaidika na nini kama sio upumbavu.
Hatari sana hii....Kuna raia wamejitoa ufahamu.mi nashangaaga sana watu wanawaaminigi wanawake wanaposema mme wangu hana tatizo njoo tu nichakatie nyumbani jamani na kuna mabwege yanaenda
Kumtongoza mke wa mtu inahitaji ujasiri. Wewe unalala ndani kwa mtu kwenye kitanda chake? Hizo nyege gani, hata Kama ndio hiyo pombe, pombe gani inakutoa ufahamu Hadi unahatarisha usalama wa ttigo yako?Haya mambo.....nilienda kupiga mke wa police kwake yan cku hiyo ckulala kila saa nashutuka yan ukisikia honi njee..unatoka kwenda chungulia zen ule mkanda na sare zake pale nyuma ya mlango n hatar sana.
Hana kesi sana atakaa rumande miezi sita ataschiwa huruKuua mtu kwa sababu ya mwanamke wako eti amechepuka ni upumbavu wa kiwango cha juu sana.
Lazima tuelewe jambo moja, mwili wa mwanamke ni mali yake binafsi, akiamua kumpa mtu yeyote ni haki yake. Wewe unachopaswa kufanya ni kuachana nae tu.
Sasa unaua mtu unafungwa unaacha wengine wanaendelea kumla bila shida yoyote unakua imefaidika na nini kama sio upumbavu.
Dah noma sana,Tanga wanaita Soni- Mombo (kupenda mserereko)Jamaa mshenzi sana hapo ukute kala msosi kwanza bure, kajifutia taulo la jamaa, na pia kala mashine bure, kalala kwenye kitanda cha jamaa na kaambiwa kojolea nje nisipate mimba kachafua shuka za watu, hapo unaponaje kwa mfano.
Niko namtafuna mama yako hapa binti.Subiri siku ukiolewa.
Yaani watake kurevenge Kwa huyo mpuuzi
Handeni be unapaskia au? Hao wanaroga😀😀Yaani watake kurevenge Kwa huyo