Tanga: Ashikiliwa kwa tuhuma za kuua baada ya kumfumania mkewe

Tanga: Ashikiliwa kwa tuhuma za kuua baada ya kumfumania mkewe

Acha aue tu, tunatofautiana hisia huenda wew una moyo tofauti. Made of Iron
Kuua mtu kwa sababu ya mwanamke wako eti amechepuka ni upumbavu wa kiwango cha juu sana.

Lazima tuelewe jambo moja, mwili wa mwanamke ni mali yake binafsi, akiamua kumpa mtu yeyote ni haki yake. Wewe unachopaswa kufanya ni kuachana nae tu.

Sasa unaua mtu unafungwa unaacha wengine wanaendelea kumla bila shida yoyote unakua imefaidika na nini kama sio upumbavu.
 
kuna fala mmoja alitaka kuniingiza mkenge kama hivi akasema mme wake amesafiri nikagoma,

nashangaa asubuhi nakutana na mme wake kibaya zaidi ni mjeda

pumbavu sana mwanamke yule
😄
Mkuu cku hiyo ndio ilikua iwe mara ya kwanza au uliwahi mgegeda kabla?
 
Nilishaapa SITOKUJA KUFANYA HUO UPUMBAVU.
MIMI "KUACHANA TU"
Kuua mtu kwa sababu ya mwanamke wako eti amechepuka ni upumbavu wa kiwango cha juu sana.

Lazima tuelewe jambo moja, mwili wa mwanamke ni mali yake binafsi, akiamua kumpa mtu yeyote ni haki yake. Wewe unachopaswa kufanya ni kuachana nae tu.

Sasa unaua mtu unafungwa unaacha wengine wanaendelea kumla bila shida yoyote unakua imefaidika na nini kama sio upumbavu.
 
Yaani hilo jamaa bwege kweli ndio maana limeuawa, ingekuwa mwenye mke kamtafuta mgoni wake kitaa ningemlaumu ila kamuulia on the spot jamaa aachiwe huru
Atafungwa si chini ya miaka miwili jela baadaye ataachwa kwa sababu ataonekana ameua tokana na hasira ya kumfumania Mkewe.
 
The killer was frustrated by his own inability to sexually satisfying his wife
 
Hapo kapotoshwa na mwanamke!

Kukivuka hicho kihunzi lazima uwe "rijali" wa kichwa na akili hasa.

Nadhani alipumbazwa kwa kuelezwa kirahisi tu kuwa: "huyo mjinga kasafiri hayupo, kwanini tupoteze pesa za gesti, twende tukalale tu nyumbani kwangu mume wangu".

Akitaka kuipinga hiyo hoja anaambiwa: "mimi huyo jamaa namjua hawezi kurudi", "au haunipendi"?

Mwanaume akisikia kauli toka kwa mwanamke: "au haunipendi", huwa ni sawa na kupigwa na kitu kizito, unanyong'onyea na kuishiwa pozi.
Huyo jamaa ni boya mwanaume unaendaje kula mke wa mwenzio nyumbani kwake..kapata stahiki yake
 
Ivi yule mwamba aliyemchoma mkewe na kufikia majibu kule kigamboni kesi yake iliishia wapi
 
KUUA MWANAUME MWENZIO KWA SBB YA FUMANIZI,KUME PITWA NA WAKATI.
PIGA PUMBUH MGONI WAKO.
 
kuna fala mmoja alitaka kuniingiza mkenge kama hivi akasema mme wake amesafiri nikagoma,

nashangaa asubuhi nakutana na mme wake kibaya zaidi ni mjeda

pumbavu sana mwanamke yule
Kwenye haya majanga ya mafumanizi, yapo mengine yana sura za kupangwa kifumanizi.

Yaani, mwanamke unayemtongoza anapanga na mumewe wakukamate wanufaike ama katika mawasiliano yako na huyo mwanamke, bahati mbaya mwanaume kagundua mawasiliano yenu na mkewe na kuweka masharti ya kukuvuta ili mwanamke aokoe ndoa yake.

Pia kuna wanawake walishawachoka waume zao, ukimtongoza anakudanganya kuwa hajaolewa ili akupate bila wewe kujiuliza mara mbili mbili.

Tuseme haya mambo ni magumu sana, maana shetani kapiga kambi kwenye "angle" hiyo habanduki.

Sasa, unapoingia majaribuni kwa kukandamizwa na tamaa zako za ngono ni vema na akili ikatumika ili kuepuka madhara yatokanayo na zoezi hilo.

Mungu atuhutumie.
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga linamshikilia mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Mohamedi Bakari Lukindo, mwenye umri miaka 43 kwa tuhuma za kumuua Athumani Dolly baada ya kumfumania na mke wake nyumbani kwake majira ya saa tisa usiku wa kuamkia leo, nyumbani kwake Mtaa wa Vunja Bei Wilayani Handeni.



Chanzo: Radio One
Polisi hawana akili, sasa jamaa kafanya kosa gani hadi wamshikilie? Waishikilie maiti hiyo ndio yenye kosa
 
Kuua mtu kwa sababu ya mwanamke wako eti amechepuka ni upumbavu wa kiwango cha juu sana.

Lazima tuelewe jambo moja, mwili wa mwanamke ni mali yake binafsi, kama ilivyo kwa sisi wanaume, uume ni mali yetu binafsi ndio maana ukiamua unampa mwanamke yoyote tu. Hivyo mwanamke nae akiamua kumpa mtu kitumbua chake ni haki yake. Wewe unachopaswa kufanya ni kuachana nae tu.

Other things remain constant, Kiuhalisia, hadi mwanamke anachepuka wewe mwanaume wake una matatizo

Sasa unaua mtu unafungwa unaacha wengine wanaendelea kumla bila shida yoyote unakua imefaidika na nini kama sio upumbavu. Mbaya zaidi unaweza kwenda jela ukajikuta wewe pia unaliwa, sasa unakua umesaidia nini?
Mwanamke wako kuzini siyo lazima mume wake uwe na tatizo, wanawake wengine ni hulka.
Mengine yote uliyosema nayaunga mkono.
 
Back
Top Bottom