Tanga: Ashikiliwa kwa tuhuma za kuua baada ya kumfumania mkewe

Tanga: Ashikiliwa kwa tuhuma za kuua baada ya kumfumania mkewe

Hasira hasara

Hapo mmja anaenda kuozea kwenye majengo ya serikali
Mwingine ashapoteza uhai

Ova
 
Pengine hapo kaua kupinga dharau sio kupinga mkewe kuliwa

Unaendaje kumla Mke wa mtu nyumbani kwa 'Mtu'

Ila Mapenzi yalivyo hayana kanuni usishangae jamaa akichomoka Mahakamani akaja kuendelea na huyo Mwanamke kwa kuambiwa tu 'Shetani' alinipitia …akina Will Smith na huku kwetu pia wapo
Kuua mtu kwa sababu ya mwanamke wako eti amechepuka ni upumbavu wa kiwango cha juu sana.

Lazima tuelewe jambo moja, mwili wa mwanamke ni mali yake binafsi, akiamua kumpa mtu yeyote ni haki yake. Wewe unachopaswa kufanya ni kuachana nae tu.

Sasa unaua mtu unafungwa unaacha wengine wanaendelea kumla bila shida yoyote unakua imefaidika na nini kama sio upumbavu.
 
Jamaa ana gaki kabisa ya kumuuwa, hii ilikuwa ni dharau na fedheha, potelea mbali
 
mi nashangaaga sana watu wanawaaminigi wanawake wanaposema mme wangu hana tatizo njoo tu nichakatie nyumbani jamani na kuna mabwege yanaenda
Unaambia hiyo hela ya guest umpe yeye, kuchukua guest nikupoteza mpunga
 
Unaua mtu kisa mwanamke Malaya ,mtu hajabakwa kakubali mwenyewe na hajalazimishwa.Watu wajifunze kwa Mandela aliekua Rais wa south Africa alivogundua mkewe Mama Winnie Mandela anamsaliti alimpa talaka licha ya kuwa na nguvu ya hata kumuua huyo jamaa aliekuwa anamchukilia mke wake,Mwanamke ukishajua anakusaliti mpe talaka ili kiepusha shida,Jamaa atafungwa na mke ataolewa na mwanaume mwingine huu ni zaidi ya ujinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuua mtu kwa sababu ya mwanamke wako eti amechepuka ni upumbavu wa kiwango cha juu sana.

Lazima tuelewe jambo moja, mwili wa mwanamke ni mali yake binafsi, akiamua kumpa mtu yeyote ni haki yake. Wewe unachopaswa kufanya ni kuachana nae tu.

Sasa unaua mtu unafungwa unaacha wengine wanaendelea kumla bila shida yoyote unakua imefaidika na nini kama sio upumbavu.
Umeongea ukweli kabisa .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaua mtu kisa mwanamke Malaya ,mtu hajabakwa kakubali mwenyewe na hajalazimishwa.Watu wajifunze kwa Mandela aliekua Rais wa south Africa alivogundua mkewe Mama Winnie Mandela anamsaliti alimpa talaka licha ya kuwa na nguvu ya hata kumuua huyo jamaa aliekuwa anamchukilia mke wake,Mwanamke ukishajua anakusaliti mpe talaka ili kiepusha shida,Jamaa atafungwa na mke ataolewa na mwanaume mwingine huu ni zaidi ya ujinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi siwezi kuua mwanamme mwezangu just because kaamua kufanya kitu akiwa na akili timamu,Ila kwa alichokifanya huyu mwanamme mwenzetu(mgoni) ni ukiritimba,yaani kuja kufanya uhuni kwenye kitanda cha mwanamme mwenzako huu ni uhuni na upumbavu Wa kiwango Cha Hali ya juu.
 
Kuuwa mtu kisa kachepuka ni upumbavu na ubinafsi wa hali ya juu mwili wake.
 
Katika maisha ya mapenzi inatakiwa uipe akili yako mawazo kama haya Ili ikitokea utaweza balance.
 
Kuua mtu kwa sababu ya mwanamke wako eti amechepuka ni upumbavu wa kiwango cha juu sana.

Lazima tuelewe jambo moja, mwili wa mwanamke ni mali yake binafsi, akiamua kumpa mtu yeyote ni haki yake. Wewe unachopaswa kufanya ni kuachana nae tu.

Sasa unaua mtu unafungwa unaacha wengine wanaendelea kumla bila shida yoyote unakua imefaidika na nini kama sio upumbavu.
We Jamaa tukikaa wote tutaelewana sana! Yaani ndoto zangu zote ziyeyuke kisa nimefuniaaa..
 
yaani unalala kabisa nyumbani kwa mwanaume mwenzio na kugegeda unagegeda, huu nao ni uboya kama uboya mwingine... Jamaa kafa kifala na Jamaa kaua kifala sana...

Jamaa naye kaua anakwenda jela, kamuacha mke uraiani huku mchepuko naye kafa, dah hapo mama anakamata kichwa kingine maisha yanaendelea
 
Hapo kapotoshwa na mwanamke!

Kukivuka hicho kihunzi lazima uwe "rijali" wa kichwa na akili hasa.

Nadhani alipumbazwa kwa kuelezwa kirahisi tu kuwa: "huyo mjinga kasafiri hayupo, kwanini tupoteze pesa za gesti, twende tukalale tu nyumbani kwangu mume wangu".

Akitaka kuipinga hiyo hoja anaambiwa: "mimi huyo jamaa namjua hawezi kurudi", "au haunipendi"?

Mwanaume akisikia kauli toka kwa mwanamke: "au haunipendi", huwa ni sawa na kupigwa na kitu kizito, unanyong'onyea na kuishiwa pozi.
Au hunipendi?-Hii kauli huitaji kichwa kikubwa kifanye maamuzi zaidi ya kichwa cha chini

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom