Kuua mtu kwa sababu ya mwanamke wako eti amechepuka ni upumbavu wa kiwango cha juu sana.
Lazima tuelewe jambo moja, mwili wa mwanamke ni mali yake binafsi, akiamua kumpa mtu yeyote ni haki yake. Wewe unachopaswa kufanya ni kuachana nae tu.
Sasa unaua mtu unafungwa unaacha wengine wanaendelea kumla bila shida yoyote unakua imefaidika na nini kama sio upumbavu.
😄kuna fala mmoja alitaka kuniingiza mkenge kama hivi akasema mme wake amesafiri nikagoma,
nashangaa asubuhi nakutana na mme wake kibaya zaidi ni mjeda
pumbavu sana mwanamke yule
Kuua mtu kwa sababu ya mwanamke wako eti amechepuka ni upumbavu wa kiwango cha juu sana.
Lazima tuelewe jambo moja, mwili wa mwanamke ni mali yake binafsi, akiamua kumpa mtu yeyote ni haki yake. Wewe unachopaswa kufanya ni kuachana nae tu.
Sasa unaua mtu unafungwa unaacha wengine wanaendelea kumla bila shida yoyote unakua imefaidika na nini kama sio upumbavu.
Atafungwa si chini ya miaka miwili jela baadaye ataachwa kwa sababu ataonekana ameua tokana na hasira ya kumfumania Mkewe.Yaani hilo jamaa bwege kweli ndio maana limeuawa, ingekuwa mwenye mke kamtafuta mgoni wake kitaa ningemlaumu ila kamuulia on the spot jamaa aachiwe huru
Huyo jamaa ni boya mwanaume unaendaje kula mke wa mwenzio nyumbani kwake..kapata stahiki yakeHapo kapotoshwa na mwanamke!
Kukivuka hicho kihunzi lazima uwe "rijali" wa kichwa na akili hasa.
Nadhani alipumbazwa kwa kuelezwa kirahisi tu kuwa: "huyo mjinga kasafiri hayupo, kwanini tupoteze pesa za gesti, twende tukalale tu nyumbani kwangu mume wangu".
Akitaka kuipinga hiyo hoja anaambiwa: "mimi huyo jamaa namjua hawezi kurudi", "au haunipendi"?
Mwanaume akisikia kauli toka kwa mwanamke: "au haunipendi", huwa ni sawa na kupigwa na kitu kizito, unanyong'onyea na kuishiwa pozi.
[emoji23] sanaWanaume hii inawaumizaga
mara ya kwanza[emoji1]
Mkuu cku hiyo ndio ilikua iwe mara ya kwanza au uliwahi mgegeda kabla?
Kwenye haya majanga ya mafumanizi, yapo mengine yana sura za kupangwa kifumanizi.kuna fala mmoja alitaka kuniingiza mkenge kama hivi akasema mme wake amesafiri nikagoma,
nashangaa asubuhi nakutana na mme wake kibaya zaidi ni mjeda
pumbavu sana mwanamke yule
Hata ukimpiga pumbu akienda polisi unachezea kifungo cha maishaKUUA MWANAUME MWENZIO KWA SBB YA FUMANIZI,KUME PITWA NA WAKATI.
PIGA PUMBUH MGONI WAKO.
MGONI WANGU YUKO NYUMBANI KWANGU! NAMCHAPA NAO KISHA NAMUOGESHA. KUPOTEZA USHAHIDI 😂Hata ukimpiga pumbu akienda polisi unachezea kifungo cha maisha
Basi alitaka kukuchomesha maksudimara ya kwanza
DahBasi alitaka kukuchomesha maksudi
Kivipi coz kauwaAkipata wakili mzuri mahakamani anachomoka, labda sasa huko uraiani ndugu wa marehemu wa'take revenge..
Handeni nako kwa ushirikiana wakimkosa hapo ndio basi tena.
Polisi hawana akili, sasa jamaa kafanya kosa gani hadi wamshikilie? Waishikilie maiti hiyo ndio yenye kosaJeshi la Polisi Mkoa wa Tanga linamshikilia mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Mohamedi Bakari Lukindo, mwenye umri miaka 43 kwa tuhuma za kumuua Athumani Dolly baada ya kumfumania na mke wake nyumbani kwake majira ya saa tisa usiku wa kuamkia leo, nyumbani kwake Mtaa wa Vunja Bei Wilayani Handeni.
Chanzo: Radio One
Mwanamke wako kuzini siyo lazima mume wake uwe na tatizo, wanawake wengine ni hulka.Kuua mtu kwa sababu ya mwanamke wako eti amechepuka ni upumbavu wa kiwango cha juu sana.
Lazima tuelewe jambo moja, mwili wa mwanamke ni mali yake binafsi, kama ilivyo kwa sisi wanaume, uume ni mali yetu binafsi ndio maana ukiamua unampa mwanamke yoyote tu. Hivyo mwanamke nae akiamua kumpa mtu kitumbua chake ni haki yake. Wewe unachopaswa kufanya ni kuachana nae tu.
Other things remain constant, Kiuhalisia, hadi mwanamke anachepuka wewe mwanaume wake una matatizo
Sasa unaua mtu unafungwa unaacha wengine wanaendelea kumla bila shida yoyote unakua imefaidika na nini kama sio upumbavu. Mbaya zaidi unaweza kwenda jela ukajikuta wewe pia unaliwa, sasa unakua umesaidia nini?