Wewe ndie mjinga zaidi ulie soma msitali 1 kisha ukatoa hukumu utadhani ulikuwepo[emoji14][emoji14]Baadhi ya waumini wa hizi dini hasa hii ya Kiislamu ni wajinga wenye misimamo iliyopitiliza ona sasa ujinga unavyokugharimu kisa kufunga Ramadan je ndivyo dini zinavyoelekeza?.
Shutuma na tuhuma hutangulia kabla ya uchunguzzi. Umejifunzia wapi mambo ya uchunguzi yanayokataza kumtuhumu mtu kwa sababu uchunguzi haujakamilika?Unashutumu vipi aliyakuwa uchunguzi aujambaini?
Tatizo la baadhi ya wakiristo wakiona kichwa cha habari kinahusu uisilamu bila kusoma mpaka mwisho wanalipuka kama mwamposa,haya sasa huo ndio chuki yao ilivio polisi bado wanafanya uchunguzi kubaini sababu ya kifo huku waabudu yesu wanatoa hukumu ujinga ni kipaji chaokwa hiyo Watu wakiuawana kwa wivu wa Mapenzi lawama zinaenda kwa alieanzisha mapenzi?
watu wakiuawana wakigombea mpaka wa shamba lawama zinaenda kwa alieanzisha mipaka kwny mashamba?
Ushaambiwa alimshinikiza aliefunga ampe maji? umefahamu alimshinikiza kwa namna gani?
Hujui kuwa binadamu wana reaction tofauti inapokuja suala la kushinikizwa bila kujali anashinikizwa kwny nini?
kwa hiyo binti akishinikizwa kuolewa hadi ukatokea ugomvi wakauawana lawama anabeba alieanzisha utaratibu wa kuoana?
Watu wakiuawana kwny uchaguzi basi tunalaani waanzilishi wa uchaguzi?
Kwani chanzo cha kifo hicho nini?Hivi vinavyoitwa vitabu vya dini na mafundisho yake yanahitaji review ya hali ya juu.
The cult of death at its bestDini ya amani imestrike tena
Hapo hamna uchochezi ni Taarifa Ambayo hata Jf wenyewe wamechapisha TwitterHu uzi umeanzishwa na kuchochea kwa lengo la kudhalilisha dini fulani hamna ukweli wowote, na mods wa humu, dini fulani ikidhalilishwa wanaka kimya ila ukigusa upande mgine uzi unafutwa haraka, hata kama lengo sio kudhihaki hiyo imani, tujitahidi kutokuwa na upande hi stori ya kuomba maji imetungwa, kwanza anamuomba maji kama nani wakati ni majirani hajui maji ya lipo mpaka amuombe mwanaume mwenzie?
Allah is happyTatizo la baadhi ya wakiristo wakiona kichwa cha habari kinahusu uisilamu bila kusoma mpaka mwisho wanalipuka kama mwamposa,haya sasa huo ndio chuki yao ilivio polisi bado wanafanya uchunguzi kubaini sababu ya kifo huku waabudu yesu wanatoa hukumu ujinga ni kipaji chao
MzeeHu uzi umeanzishwa na kuchochea kwa lengo la kudhalilisha dini fulani hamna ukweli wowote, na mods wa humu, dini fulani ikidhalilishwa wanaka kimya ila ukigusa upande mgine uzi unafutwa haraka, hata kama lengo sio kudhihaki hiyo imani, tujitahidi kutokuwa na upande hi stori ya kuomba maji imetungwa, kwanza anamuomba maji kama nani wakati ni majirani hajui maji ya lipo mpaka amuombe mwanaume mwenzie?
Hapa dini inaangiaje?umesoma taarifa ya polisi mpaka mwisho au umesoma msitali 1 tu ukalipuka na kuanza kushutumu dini?Namaanisha Dini inawapumbaza wanadamu na inawawekea mipaka ya kutumia Common sense.
Mtume mtume mtume agrrrrr yule alikuwa anapakaga wanja na hina?Hana msimamo wowote, Mtume anasema mtu anapofunga kisha akaudhiwa, jibu ni moja tu "Mimi nimefunga", hizo hasira hadi za kufata kisu kazitoa wapi?
Kasome talifa ya polisi mpaka mwisho kisha utoe hukumu weweChanzo ni dini hapo maana huyo jamaa aliefunga ameona anaharibiwa swaumu yake kwa kuombwa maji ya kunywa!
Ikabidi amchome kisu
Hapa dini inaingiaje?umesoma ripoti ya kamanda mpaka mwisho au umesoma kamditali 1 tu kisha chuki yako ya Udini ikapanda ukaanza kushutumu!!![emoji2957]Mwezi mtukufu halafu unauwa?
Hiyo dini kwani hakuna mtu mwenye akili timamu akawafundisha namna ya kutenda mambo kwa usahihi?
Unaambiwa hao mabikra 72 hawana marinda.Hapo na yeye angejiua moja kwa moja peponi na mabikra 72 anapata
Hacha uvivu kasome ripoti ya polisi mpaka mwisho kisha utoe shutumaLabda ndivyo alivyofundishwa?
Mkuu dhambi ya kitimoto kwao ni kula HADHARANIMuislamu yupo tayari kupata dhambi ya kuua lkn sio dhambi ya kula kitimoto
Tatizo lako umesoma msitari 1 tu kisha ukatoa hukumu ludia kusoma tarifa ya polisi mpaka mwisho elimu gani unayo iongelea wewe wewe ndie mwenye elimu unae shutumu bila kujua chanzo!!Lakini pia upo umuhimu wa viongozi wa dini kutoa elimu kila siku za ibada kuhusu umuhimu wa kuvumiliana hasa waumini wanapokuwa kwenye amri muhimu kama hizi za kufunga.
Sitegemei kusikia mtu anasema yupo ktk amri fulani ya imani yake kwa ajili ya kujipatanisha na Mungu wake halafu wakati huo huo amuuwe mtu kwa sababu yoyote ile.watu hawapewi elimu tatizo.
Na kama alikuwa mgonjwa hawezi hata kuyafuata hayo maji, inakuwa aje?Huu ndio ukweli,kama anaishi nyumba hiyo hiyo,angekwenda kuchukuwa maji mwenyewe,akanywa bila kuomba kwa mtu mwingine.
Kwanza katika uislamu,mgonjwa hafungi.
ha ha ha ha sawa mkuuHujambo dogo.?
Hili halionekani!Bwan hassan alikuwa katika swaum , ugomvi wowote haukutakiwa kuwa kipaumbelle kwenye mwezi huu wa haki.