Tanga: Miili ya watu yaokotwa ikiwa kwenye Viroba

Uongoz Kaz sana,pole mama Samia.Saivi hata mtu akinyonga habari itaandikwa na Watu watasema uongoz wa Samia mbaya
 
labda mzimu wa Magu ndiyo unafanya matukio hayo tunaomba uchunguzi wa kina ufanyike
 
Duh! Hapa tutaambiwa ni wahamiaji haramu kutoka Ethiopia au ni matokeo ya uchaguzi huko Kenya ila sidhani kama watakuja na ushahidi wowote.
Kwani wakimbizi Ndiyo wanaruhusiwa kuuwawa? Amri ya MUNGU iasema usiue
 
Hakuna watu wanaopotea siku hizi ktk nchi hii tulivu
 
Unaongelea Magufuli yupi? Huyu huyu aliyekuwa anatukana hadharani? Huyu huyu aliyempoteza Ben Sa8?
Huyu huyu aliyempiga risasi Lisu na kuzuia asichangiwe damu, akazuia wanaccm wasiende kumuona Nairobi, akamvua ubunge na kumnyima stahhiki zake?

Magufuli alikuwa shetani na nusu.
 
WANAHARAKATI UCHWARA MKO WAPI. OOH NIMESAHAU KUMBE WAKO BIZE WANALAMBA ASALI
 
Hao ni majambazi, kwani lini majambazi waliacha kuua watu?
 
Uongoz Kaz sana,pole mama Samia.Saivi hata mtu akinyonga habari itaandikwa na Watu watasema uongoz wa Samia mbaya
Watu wanatumia haya matukio kisiasa, hata wakati wa Magufuli watu wanauana kwa visasi vyao vya kwenye biashara wanatupana kwenye viroba Ila mzigo anaangushiwa raisi.
 
Watu wanatumia haya matukio kisiasa, hata wakati wa Magufuli watu wanauana kwa visasi vyao vya kwenye biashara wanatupana kwenye viroba Ila mzigo anaangushiwa raisi.
So sad 😔
 
Kipindi kile alipewa lawama Jiwe Sasa hayupo hakika tutamfaham mchawi halisi alikuwa ni nani ni suala la muda tu.
 
Ben hakupotezwa na Dkt Magufuli na wala Lisu hakupigwa risasi na yeye bali ni wazandiki walifanya vile kwa ajili ya kumharibia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…