Wewe ni daktari mpumbavu sana....unajua BT ngapi zinafanyika nchi nzima kila siku?...lini umesikia scenario kama hii imetokea?...Always unaambiwa kuwa na very close observation ya mgonjwa anayeongezewa damu hasa mwanzo damu inapoanza. All in all tukubali kuwa tumempoteza Mama kwa uzembe wa watumishi wenzetu kufanya kazi kwa mazowea
Hata kiswahili tu kinakusumbua...