Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #21
Kwani taarifa niliyoileta hapa ina ugumu upi wa kuielewa? Kwani taarifa hiyo imeandikwa na mimi au mimi nimefanya kazi ya kuleta kama ilivyo? Ndio maana huwa nakuambia kuwa wewe akili yako ni ndogo sana yenye uwezo mdogo sana wa kupambanua mambo makubwa. Ndio maana huwa nasema mada zangu uwe unawaachia wenye upeo na akili timamu wajadili na kutoa mawazo yao.Huyu Mwashambwa, ni wazi, kwa kipimo chochote kile, ni low IQ yakeķ, lakini anataka kuficha mapungufu yake kwa kuwaambia watu wengine eti hawana akili!! Sijui alidanganywa na nani kuwa akiwaambia watu wengine hawana akili, basi nao watakuwa hawana akili kama yeye!!
Kipimo kikubwa cha haraka cha kumjua mtu mwenye akili ndogo ni kukubali kuwa chawa. Hakuna mtu mwenye akili nzuri kabisa ambaye anaweza kukubali kuwa chawa. Ukiona tu mtu ni chawa, tambua huyo mtu akili ni low IQ.