Tanga Wilaya nyingi na Wabunge wengi lakini Watu wake Maskini tofauti na kwetu Iringa

Nimeshangaa Muheza Nyumba za udongo kibao

Hivi hamuwezi kuchoma tofari
 
Hahaaa Tanga wilaya gani yenye ukame ,eti kiwanda ni Tanga cement tu ,kilimanjaro cement,huaxin cement,chokaa liemba,kiwanda cha chuma,kiwanda cha vocha na smart card ,anjari soda ,mogas oil ,Tanga fresh ,eti bandari ndogo bandari ya Tanga sasaìvi ndio bandà ya pili kwa ukubwa malawi ,zambia,Drc na Burundi wanaitumia sana kuimport mafuta na magari na Rwanda wanaimport clinker wè unaiongelea Tanga ipi
 
Akina Mwamposa, WRM, Mwingira, Gamanywa na Mitume wengine walifunguka Huduma za Kanisa πŸ˜ƒ
....uko na "obsessions and compulsivitities " na imani yako ya kidini kwa dhihaka ambayo wengine tuko "partial" kisomi kwa kuheshimu wengine ila dhihaka tunaziweza sana tu ha ha ha ha
Hakukuwa na sababu ya kuingiza Udini katika mambo yetu mtambuka ya kijamii.....

Kada uwe na kiasi.....
 
Sio swala la uongo au kupambana ni mambo ya facts tuu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡Mikoa 10 ya Tanzania ambayo Wakazi wake wana Maendeleo na Kipato kikubwaView attachment 3248264
Hizo ni geresha hazina uhalisia ,mngekuwa na utapiamlo plus kujiuza mpaka mnapata ukwimi.

Hamkai kwenu ni wakimbizi nyie ,vijitu vifupi kama nyoka aina ya kifutu ,sura hazina nuru kazi kuvaa mitumba ...Usitufananisha na wagonjwa wa kuharisha na Ukimwi.

Kaangalie Documentary ya makete ya ukwimi ,na mbeya kwenu kweny kuharisha watu wachafu
 
Tanga Haina Ukubwa wowote Kwa eneo zaidi ya upendeleo wa kichawa.

Huo Mkoa Halmashauri nyingi kupita Mkoa wowote hapa Tanzania lakini umezidiwa watu na Ukubwa na kina Geita,Tabora, Morogoro,Dodoma nk ila umemegwa megwa Vihamlashauei uchwara Kwa sababu za uchawa tuu kama hivyo Vimji vya manamba wa mkonge πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kwa hiyo uchawa wako ndio una uhalisia ila takwimu za NBS Hazina uhalisia?

Aisee Mpaka wanja hauna ubongo πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Unaelewa maana ya bwaga moyo?

Mstaafu aliogopa kujenga Nyumba ya maana pale kutokana na Giza

Sidhani hata kama unapajua Bagamoyo πŸΌπŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…