GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
- Thread starter
-
- #61
Wazanzibar washalalmika sana kuwa Watanganyika wanawazibia vingi!Tanganyika hatuna la kupoteza muungano ukivunjika ila Zanzibar watapoteza bajeti, nafasi tele za uteuzi, biashara, ajira nyingi, na mali nyingi ikiwemo ardhi wanazomiliki huku bara.
Ni kinyume na hayo. Zanzibar wamekuwa kupe mkubwa kwenye mgongo wa Tanganyika. Mwisho wa ukupe huo ufike sasa.Wazanzibar washalalmika sana kuwa Watanganyika wanawazibia vingi!
1. Nafasi za ubalozi
2. Uhuru wa kukopa
3. Haki ya kujiunga katika taasisi na jumuia za kimataifa kama OIC
Kwa kiasi kikubwa, Zanzibar inaiona Tanganyika kama kikwazo kikubwa sana kwa ustawi wake.
Lakini ujue wanaoulinda Muungano kwa nguvu ni Watanganyika walio kwenye nafasi za uongozi.Ni kinyume na hayo. Zanzibar wamekuwa kupe mkubwa kwenye mgongo wa Tanganyika. Mwisho wa ukupe huo ufike sasa.
si alikuwa wa uganda huyo kweli.Sijui! Nini kilimpata Okello baada ya Mapinduzi?
Inavyosemekana! Na ana mchango mkubwa katika kile kilichopewa jina la mapinduzi Tukufu.si alikuwa wa uganda huyo kweli.
Yawezekana hata hapo ulipo upo bara muungano ndio dili kubwa kwa wanzanzibari chungeni usivunjike.Lakini ujue wanaoulinda Muungano kwa nguvu ni Watanganyika walio kwenye nafasi za uongozi.
Mimi sipo "bara", nipo Tanganyika.Yawezekana hata hapo ulipo upo bara muungano ndio dili kubwa kwa wanzanzibari chungeni usivunjike.
Maamuzi afanye nani?NA HILO NENDENI MKALITAZAMEEEE..... 😄😄😄😄
Mkuu wa majeshi. 😎Maamuzi afanye nani?
Lakini pamoja na yote hayo, hawatuthamini kabisa. Wanatuona mabwege mtozeni tu. Hawataki kabisa nasaba na sisi. Angalau kwa maswahiba wao wa pwani.Tanganyika hatuna la kupoteza muungano ukivunjika ila Zanzibar watapoteza bajeti, nafasi tele za uteuzi, biashara, ajira nyingi, na mali nyingi ikiwemo ardhi wanazomiliki huku bara.
Honestly speaking, tuache unafiki na ubabaifu. Huo muungano hauna kero yoyote; bali ni MBOVU, period. Zaidi ya kujadiliana (to negotiate) kuwa na serikali moja tu, mengine yote ni UBATILI mtupu.Kwahiyo waingereza waliogopa kupigwa na Nyerere wakageuza meli?
Vyovyote ilivyo, suala la kuongelea kuvunja muungano si busara especially baada ya miaka 60 toka tuungane. Busara ni kujadili kero zilizopo kwa haki na kuzitatua kwa haki kila upande ukawa umeridhika.
Wenye akili ndogo tu ndo watang'ang'ania kuvunja muungano kwa hapa tulipofika.
Pesa ya kulipa hamnaBili ya umeme watalipa CCM kwani huku Zanzibar hakuna umeme wa dezo tunalipa mara tatu ya mnavyolipa nyinyi huko bara
Si mnakuja kutuibia kwa kutumia majeshi yenu?Pesa ya kulipa hamna
Kwamba kuunganisha nchi na nyerere kubakia kuwa Rais ndo kulizui manowari za uingereza kuivamia Zanzibar?Sii kweli!, baada ya yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Manowari za Uingereza zilitia nanga Mombasa tayari kuivamia Zanzibar, kuikomboa. Karume akaja kwa Nyerere kuomba ulinzi, ndipo, Nyerere akamshauri Karume tuungane kuwa nchi moja, Karume akajibu hata leo, wewe Rais mimi Makamo.
Sii kweli, huo ni uongo wa wapinga Mapinduzi Matukufu, ukweli ni huu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari
Sii kweli
Sii kweli
Sii kweli, Zanzibar ilikuwa sehemu ya Tanganyika kabla haijamegeka!. Hivyo ni sehemu yetu kihalali kabisa!.
Sii kweli
ni kweli ila mengine ni ya kweli, mengine ni ya uongo!
Si kweli
Na kama ni uongo?.
Uungwana ni vitendo ni kweli kuna ndivyo sivyo
Naunga mkono hoja na hata mimi hili nilishauri Wanzanzibar amueni moja, ama acheni kelele za muungano!, ama pigeni Kura ya Maoni, muamue moja
Hapa tuko pamoja.
P
Wakianza kuudai bara wanaenda kuwakamata wahusikaKuwapa uhuru wao!?? Ambaye hana uhuru si huwa anaudai au kuupigania? Waliwahi kuudai?
Zanzibar wakiambiwa wajitegemee, hata mwaka hauiishi, wataanza kutaka mwungano uvunjike. Lakini kwa sasa, wakati huu wanaoutunzwa na bara, hawawezi kuthubutu kutaka mwungano uvunjike.
Hahahahajaj inashangaza kweli, hawasemi ila ukweli ni kwamba mwingereza alikua stand by kusaidia iwapo zanzibar wangekataa au marafiki wangesaidia kukataa muunganoKwamba kuunganisha nchi na nyerere kubakia kuwa Rais ndo kulizui manowari za uingereza kuivamia Zanzibar?
Zanzibar ilikuwa Hadi na Sarafu yakeHahahahajaj inashangaza kweli, hawasemi ila ukweli ni kwamba mwingereza alikua stand by kusaidia iwapo zanzibar wangekataa au marafiki wangesaidia kukataa muungano
Hivi ni ajali raia wa nchi jirani kuongoza nchi ya Tanganyika badala ya kubaki kiti cha umakamu madhali znz wana serikali kamili isiohusu nchi ya Tanganyika?Tulichofundishwa shuleni kuhusu Muungano, ni tofauti na ninayoyasikia Sasa!
Inasemekana, Muungano wa Tanganyika na Zanzibar haikuwa takwa la wananchi, bali la Karume na Nyerere, lakini zaidi, Nyerere.
Inasemekana, hata yale yanayoitwa Mapinduzi Tukufu ya Zanzibar, yalikuwa ni mauaji katili, na yaliratibiwa na kusaidiwa, kwa sehemu kubwa, na Tanganyika. Hata silaha zilizotumika kwenye mapinduzi zilitoka Tanganyika.
Inasemekana, mapinduzi hayakulenga kumwondoa Mwarabu, bali Serikali halali kwa lengo la kukiweka madarakani Chama kilichokuwa kikiungwa mkono na Tanganyika.
Inasemekana, tokea mfumo wa Vyama vingi uanze, chama kinachoungwa mkono na Tanganyika kimekuwa kikishinda uchaguzi bila ridhaa ya wapiga kura. Kwamba kishinde kisishinde, lazima kiingie madarakani, maadam tu kinaungwa mkono na Tanganyika.
Inasemekana, hata huu Muungano uliopo kwa sasa si Muungano bali ni Ukoloni. Kwamba Tanganyika inaitawala nchi nyingine kimabavu.
Inawezekana, kama Zanzibar ingekuwa na uwezo, ingeshajitoa kwenye Muungano. Kuenedelea kwake kuwepo kwenye Muungano ni kwa sababu tu inalazimishwa na Tanganyika.
Yameshasemwa mengi na kuandikwa mengi.
Uungwana ni vitendo. Ikiwa hayo yote yanayosemwa ni kweli, basi Zanzibar wana haki ya kuulakamikia Muungano.
Kama ni kweli, nini kifanyike?
Mosi, Tanganyika iiombe radhi Zanzibar kwa yote inayoamini imeitendea Zanzibar ndivyo isivyo, na kwa yale ambayo Zanzibar inailalamikia.
Pili, kura ya maoni iitishwe kwa wananchi wa nchi ya Tanganyika na Zanzibar kuamua juu ya mustakabali wa Muungano.
Tatu, maamuzi ya wananchi yaheshimiwe.