Ukindika uwe na ushahidi, wacha pumba zako.Kwa kosa hili alilofanya Nyerere, ndiomaana hadi leo Migodi ya Almasi, Dhahabu si mali ya Watanzania, Inaendelea kulipa madeni ya mali zile zilizotaifishwa.
Kama Hamjui basi muelewe.
Dunia ya leo ukivunja mkataba au kudhulumu maliza watu kwa mintarafu ya kisiasa, utaingiza nchi katika kulipa deni hilo hadi ifilisike.
Hivi hatuoni ajabu sisi kuwa tUnachimba Dhahabu lakini umasikini unaendelea kukua?
kulikoni?
Na akataka historia yote ya Tanzania yeye ndiye awe main character wenzake wote akawafunika licha ya mazuri walifanya pamoja.Huyu jama kapokelewa na waislamu wa pwani wakamuamini wakamsaidia kwa harakati zote alivyo pata uraisi akaanza kubaguwa waislamu kisiasa na kielimu, kafiri ni kafiri ata umsaidie je atakuja kukupenda
Huwezi kurekebisha makosa ya Nyerere wakati mifumo mibovu aliyoiasisi bado ipo na inatetewa vikali na wanaonufaika na mifumo hiyo mibovu. Ni hadi Watanzania watakapo pata shuluba ya kutosha na kuamka ndipo marekebisho ya mifumo ya nchi hii inaweza kufanyika. Kwa sasa wewe na wewe tuendelee kunwa bia za ofa na wanzuki.Kama Nyerere alikosea wewe unashindwa nini kurekebisha makosa yake?
Wewe ndie mjinga zaidi ya Nyerere, kwasababu tatizo unaliona, lakini umeamua kuliacha hivyo hivyo huku ukibaki kumlaumu Nyerere.
Wema wa Mwalimu Nyerere ndio unaomsababisha Wapemba/Wazanzibari wenye chuki leo wamtukane.Hallo,
Moja kwa moja kwenye uzi, katika kumzungumzia J.K.Nyerere upande wake wa mazuri ndio unaotukuzwa sana kwa sifa kedekede hali hii imefanya upande wake mbovu kutokuzungumzwa.
Katika makosa makubwa aliyofanya huyu mzee ni kutengeneza taifa la kijinga, sio upande wa Tanganyika wala sio huu muungano uchwara wa kipuuzi aliouasisi mambo kote hovyo hovyo.
Nyerere aligeuza kikundi chake (wanasiasa) Tanganyika na Tanzania kuwa miungu watu, wao ndio sheria, amri na watafasiri haki kwa Watanganyika na Watanzania.
Nyerere alitengeneza Watanganyika kuwa mazezeta yake ya ndio mzee kwa kila uchafu utakaofikiriwa na kiongozi yeyote mwenye mamlaka hapa nchini. Hali hii imepelekea kutumiwa na Marais wote waliomfuata sioni ikikoma mbele bila jitihada stahiki kuchukuliwa.
Leo Tanganyika na Tanzania anaweza akaongoza nchi hata mtoto mdogo wa miaka miwili na hakuna reaction yoyote itafanyika. Hata jiwe linaweza kugeuzwa Rais na hakuna kitu chochote kitatokea nchini.
Mwalimu Nyerere alijenga taifa la kifala sana kuwahi kuliona duniani mpaka sasa kwa umri huu nilio nao.
Next thread nita zungumzia makosa yake katika vyombo vya ulinzi na usalama, vyama vya ushirika, vyama vya siasa.
Wewe ama ni mnufaika wa mfumo uliopo au umeamua kuwa chawa mfumo uliopo bila kujitambua ndo maana unatoa ushuzi wako wa maharage ya mbeya. Mtanzania mwenye akili iliyokaa sawa hawezi kuutetea mfumo wa uendeshaji wa nchi uliopo. Haya yote muasisi wake n Mwalimu.Ukindika uwe na ushahidi, wacha pumba zako.
Wajinga kabisa, mnataka kumsukumia Nyerere lawama kwa sababu ya upuuzi wenu na ulafi, usilete majaribu ya kitoto hapa.
Ndio maana mnawaibia, mnawatapeli wenzenu sana. Kweli Dr Abdu Yahy Mzee ndio wa kupelekwa chuo cha kijeshi Tanganyika? Kama sio njama ya kuwajaza wazanzibar ni nini? Yaani kila idara mmeikamata na sasa hata jeshi?Madudu Matupu ,
Munadanganyika na Ukubwa wa miili yao na uzuri wa suti zao
Watanganyika waliosomeshwa na Nyerere hawajui sheria wala kiengereza
Hapa Zanzibar wizi uliokuwepo hadi wanaume wanaandikiwa kuwa na ujauzito.Wewe ama ni mnufaika wa mfumo uliopo au umeamua kuwa chawa mfumo uliopo bila kujitambua ndo maana unatoa ushuzi wako wa maharage ya mbeya. Mtanzania mwenye akili iliyokaa sawa hawezi kuutetea mfumo wa uendeshaji wa nchi uliopo. Haya yote muasisi wake n Mwalimu.
Hallo,
Moja kwa moja kwenye uzi, katika kumzungumzia J.K.Nyerere upande wake wa mazuri ndio unaotukuzwa sana kwa sifa kedekede hali hii imefanya upande wake mbovu kutokuzungumzwa.
Katika makosa makubwa aliyofanya huyu mzee ni kutengeneza taifa la kijinga, sio upande wa Tanganyika wala sio huu muungano uchwara wa kipuuzi aliouasisi mambo kote hovyo hovyo.
Nyerere aligeuza kikundi chake (wanasiasa) Tanganyika na Tanzania kuwa miungu watu, wao ndio sheria, amri na watafasiri haki kwa Watanganyika na Watanzania.
Nyerere alitengeneza Watanganyika kuwa mazezeta yake ya ndio mzee kwa kila uchafu utakaofikiriwa na kiongozi yeyote mwenye mamlaka hapa nchini. Hali hii imepelekea kutumiwa na Marais wote waliomfuata sioni ikikoma mbele bila jitihada stahiki kuchukuliwa.
Leo Tanganyika na Tanzania anaweza akaongoza nchi hata mtoto mdogo wa miaka miwili na hakuna reaction yoyote itafanyika. Hata jiwe linaweza kugeuzwa Rais na hakuna kitu chochote kitatokea nchini.
Mwalimu Nyerere alijenga taifa la kifala sana kuwahi kuliona duniani mpaka sasa kwa umri huu nilio nao.
Next thread nita zungumzia makosa yake katika vyombo vya ulinzi na usalama, vyama vya ushirika, vyama vya siasa.
CCM mafala wakati nyinyi ACT hizbu chama cha waarabu japo mmekikodi cha Zitto baada ya Lipumba kukutimueni, CCM mafala wakati leo teuzi ni zenu ACT? Mbona sasa nafasi zao mnazichukua? Hujisikii aibu? Hivi wazanzibar wangapi waliokuwa wapinzani huku zenji ila leo bara wamepewa uteuzi? Hao hao kwa maisha yao yote wameitukana na kuihujuma Tanganyika na Nyerere? Au unabisha tulete picha zao?halafu mafala eti anataka kuwa mtakatifu! Stupid katoliki na CCM na wote wanaomshabikia Nyerere kuwa alikuwa mwema! Moja tu mbalo hakulifanya, HAKUIBA MALI YA UMMA NA KUJIPENDELEA KAMA MASHATANI YALIYOMFUATA
Unaandikia mate na wino upo hapahapa JF? Jionee Lissu "alivyomtukana" Nyerere:CCM mafala wakati nyinyi ACT hizbu chama cha waarabu japo mmekikodi cha Zitto baada ya Lipumba kukutimueni, CCM mafala wakati leo teuzi ni zenu ACT? Mbona sasa nafasi zao mnazichukua? Hujisikii aibu? Hivi wazanzibar wangapi waliokuwa wapinzani huku zenji ila leo bara wamepewa uteuzi? Hao hao kwa maisha yao yote wameitukana na kuihujuma Tanganyika na Nyerere? Au unabisha tulete picha zao?
Ni kweli kama binadamu alikuwa na mapungufu yake na alikuwa na mazuri yake !!Hallo,
Moja kwa moja kwenye uzi, katika kumzungumzia J.K.Nyerere upande wake wa mazuri ndio unaotukuzwa sana kwa sifa kedekede hali hii imefanya upande wake mbovu kutokuzungumzwa.
Katika makosa makubwa aliyofanya huyu mzee ni kutengeneza taifa la kijinga, sio upande wa Tanganyika wala sio huu muungano uchwara wa kipuuzi aliouasisi mambo kote hovyo hovyo.
Nyerere aligeuza kikundi chake (wanasiasa) Tanganyika na Tanzania kuwa miungu watu, wao ndio sheria, amri na watafasiri haki kwa Watanganyika na Watanzania.
Nyerere alitengeneza Watanganyika kuwa mazezeta yake ya ndio mzee kwa kila uchafu utakaofikiriwa na kiongozi yeyote mwenye mamlaka hapa nchini. Hali hii imepelekea kutumiwa na Marais wote waliomfuata sioni ikikoma mbele bila jitihada stahiki kuchukuliwa.
Leo Tanganyika na Tanzania anaweza akaongoza nchi hata mtoto mdogo wa miaka miwili na hakuna reaction yoyote itafanyika. Hata jiwe linaweza kugeuzwa Rais na hakuna kitu chochote kitatokea nchini.
Mwalimu Nyerere alijenga taifa la kifala sana kuwahi kuliona duniani mpaka sasa kwa umri huu nilio nao.
Next thread nita zungumzia makosa yake katika vyombo vya ulinzi na usalama, vyama vya ushirika, vyama vya siasa.
Kwani mkubwa nae ni CCM? Namaanisha huyo huyo unaemtetea. Amani Karume mentor wake hataki hata kuisikia CCM.Unaandikia mate na wino upo hapahapa JF? Jionee Lissu "alivyomtukana" Nyerere:
Tundu Lissu: Mwl. Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu
Katika mwendelezo wa kupinga mawazo na mfumo wa utawala wa Mwl. Nyerere. Tundu Lissu amepasua jipu ambalo wengi huwa wanaogopa kulipasua pale aliposema kuwa Mwl. Nyerere alikuwa ni "msanii wa kisiasa" kwa sababu aliyokuwa anayasema siyo yale aliyokuwa anayatenda kuhusiana na suala la Muungano...www.jamiiforums.com
Na huyo nae ni CCM?
Hapo nakuunga mkono Kwa asilimia 100, Mtoto aliyezaliwa wakati Nyerere ametoka kwenye uongozi wengine wanaitwa Babu huku mtu analalamika kwasababu ya Nyerere. hiyo ni akili kweliKama Nyerere alikosea wewe unashindwa nini kurekebisha makosa yake?
Wewe ndie mjinga zaidi ya Nyerere, kwasababu tatizo unaliona, lakini umeamua kuliacha hivyo hivyo huku ukibaki kumlaumu Nyerere.
Aliyesaini mkataba wa kuchimba madini ni nani?Kwa kosa hili alilofanya Nyerere, ndiomaana hadi leo Migodi ya Almasi, Dhahabu si mali ya Watanzania, Inaendelea kulipa madeni ya mali zile zilizotaifishwa.
Kama Hamjui basi muelewe.
Dunia ya leo ukivunja mkataba au kudhulumu maliza watu kwa mintarafu ya kisiasa, utaingiza nchi katika kulipa deni hilo hadi ifilisike.
Hivi hatuoni ajabu sisi kuwa tUnachimba Dhahabu lakini umasikini unaendelea kukua?
kulikoni?
Na huu ndio ukweli mchungu ! Yule Mzee alishaondoka na hatorudi tena !! Ina maana alikwenda akiwa amezifungia Akili zetu kabatini na funguo ameenda nazo ?!!Kama Nyerere alikosea wewe unashindwa nini kurekebisha makosa yake?
Wewe ndie mjinga zaidi ya Nyerere, kwasababu tatizo unaliona, lakini umeamua kuliacha hivyo hivyo huku ukibaki kumlaumu Nyerere.
Ndugu yangu hao Wazanzibari lao moja wote, kumtukana Nyerere tu. Wengi wao hunywa Konyagi hadi huwatokea machoni ili wapate kutukana bila aibu. Nipo nao huku na nawajua vizuri. Hata hao walevi waliopo bara na bado wanamtukana Baba wa Taifa, tunawajua Wazanzibari, ni watumwa wa akili, people without identity.Kumlaumu Nyerere Kwa maisha ya mtanzania ni sawa na kumsingizia Babu mzaa Babu Kwa umaskini ulionao
Hawa kweli wanaweza kuwa na uwezo mdogo wa akili au wanapotosha Kwa makusudi. Usingizie Nyerere Kwa ufisadi unaofanyika sasa? Hii ni akili kweli?Ukindika uwe na ushahidi, wacha pumba zako.
Wajinga kabisa, mnataka kumsukumia Nyerere lawama kwa sababu ya upuuzi wenu na ulafi, usilete majaribu ya kitoto hapa.
Mtu kuwa kilaza/fisadi Kwa sasa Nyerere aliyefariki zaidi miaka 23 iliyopita anahusikaje?Na akataka historia yote ya Tanzania yeye ndiye awe main character wenzake wote akawafunika licha ya mazuri walifanya pamoja.
Akakomalia lugha ya Kiswahili ona sasa wasomi wetu tena Prof wetu anavyoaibika huko kwenye kesi za kimataifa
Inasikitisha sana