TANGAZA UTALII TANZANIA: ATCL na TANAPA wana nini cha kuwapa wanafunzi 10 (bora) waliofanya vizuri Darasa la Saba 2020?

TANGAZA UTALII TANZANIA: ATCL na TANAPA wana nini cha kuwapa wanafunzi 10 (bora) waliofanya vizuri Darasa la Saba 2020?

Kutangaza utalii na vivutio vyetu kunaanza na wewe . mfano kwenye magroup ya shule na vyuo ulivosoma washawishi washikija mwisho wa mwaka huu mkatembelee hata Mikumi na wao watawaambia ndugu na jamaa na hapo sasa mtaongeza pato la taifa pamoja na kueneza hamasa na nakuhakikishia mkifanya hivo hamtaacha yani kila mwaka mtaenda.
Boss wa ATCL/TANAPA, tangaza Utalii kwa kuwapa wanafunzi bora motisha acha kufanya siasa za kitoto mkuu kwa maana hazina faida kwa Tanzania yetu...
 
Kwa hiyo wewe katika huo umri uliofikia bado tu haujui wanafunzi 10 bora katika ufaulu ngazi ya taifa ni mashujaa wa nini?

More than five primary school in Tanzania walifutiwa matokeo ya STD seven, what the rest?
Kijana wangu amekuwa TO namba mbili PCB2020, hakuna cha maana walichopewa zaidi ya vikombe/ngao na kupiga picha mlimani city na wazee wa baraza.

Hebu nijibu, hao std seven ni 'mashujaa 'wa nini hapo Tanzania?
 
More than five primary school in Tanzania walifutiwa matokeo ya STD seven, what the rest?
Kijana wangu amekuwa TO namba mbili PCB2020, hakuna cha maana walichopewa zaidi ya vikombe/ngao na kupiga picha mlimani city na wazee wa baraza.
mhhh...
 
Boss wa ATCL/TANAPA, tangaza Utalii kwa kuwapa wanafunzi bora motisha acha kufanya siasa za kitoto mkuu kwa maana hazina faida kwa Tanzania yetu...
Hakuna siasa hapa.
Hebu toka hata hapo nje kwako tafuta mwanafunzi alomaliza la saba uliza alokua wa kwanza kitaifa anaitwa nani uone kama hata anajua!!

Narudia tena kutangaza hifadhi na vivutio vyetu kunaanza na wewe labda nikuulize ushawahi tembelea hata hifadhi moja tu? Ushawahi washawishi hata rafiki na jamaa mkatembelea vivutio vyovyote ?
 
Naona ni ssue ya watoto na wazazi wao, sijajuwa kwanini wizara na atcl wahusike kivile, kufaulu kwao ni faida ya watoto mbeleni na mtaji kwa wazazi.
 
Hakuna siasa hapa.
Hebu toka hata hapo nje kwako tafuta mwanafunzi alomaliza la saba uliza alokua wa kwanza kitaifa anaitwa nani uone kama hata anajua!!

Narudia tena kutangaza hifadhi na vivutio vyetu kunaanza na wewe labda nikuulize ushawahi tembelea hata hifadhi moja tu? Ushawahi washawishi hata rafiki na jamaa mkatembelea vivutio vyovyote ?
Mzee baba umepigwa swali huku
Infantry Soldier

Ova
 
Hakuna siasa hapa.
Hebu toka hata hapo nje kwako tafuta mwanafunzi alomaliza la saba uliza alokua wa kwanza kitaifa anaitwa nani uone kama hata anajua!!
Nimemuuliza mtoto wa jirani yangu anamjua TO wa mwaka huu...
 
Narudia tena kutangaza hifadhi na vivutio vyetu kunaanza na wewe
Ninajua fika unaanza na mimi ndio maana nimewaambia nyie ATCL/TANAPA wapeni hao vijana motisha kwa kuwa mashujaa wa taifa...
 
labda nikuulize ushawahi tembelea hata hifadhi moja tu? Ushawahi washawishi hata rafiki na jamaa mkatembelea vivutio vyovyote ?
Nimetembelea hifadhi nne mpaka sasa mkuu na nimeshawishi ndugu na rafiki wengi sana kama ambacho hawa top 10 wa darasa la saba watakavyoshawishi wa kwao
 
Haina wanafunzi wana nini special cha kuisaidia nchi?
Katika vitu ambavyo napinga ni huu ujinga wa ku-kupromote ku-mention na kusifia washindi wa mitihani . Hili linafanya wanafunzi wengi na shule kukimbilia kuwakaririsha wanafunzi wao maswali na majibu badala ya kuwafundisha waelewe. Na zaidi inafanya shule, wazazi na wanafunzi wafanye kila namna ili kuvujisha mitihani kimagendo.
 
Katika vitu ambavyo napinga ni huu ujinga wa ku-kupromote ku-mention na kusifia washindi wa mitihani . Hili linafanya wanafunzi wengi na shule kukimbilia kuwakaririsha wanafunzi wao maswali na majibu badala ya kuwafundisha waelewe.
Kukariri ndio mfumo wa elimu karibia nchi zote za Afrika...
 
Katika vitu ambavyo napinga ni huu ujinga wa ku-kupromote ku-mention na kusifia washindi wa mitihani . Hili linafanya wanafunzi wengi na shule kukimbilia kuwakaririsha wanafunzi wao maswali na majibu badala ya kuwafundisha waelewe. Na zaidi inafanya shule, wazazi na wanafunzi wafanye kila namna ili kuvujisha mitihani kimagendo.
Kuvusha mitihani kimagendo huo ni uhalifu tu kama uhalifu mwingine na sio tabia ya kila mzazi au mmiliki wa shule.
 
ATCL na TANAPA must do something to these kids
Hii must inatoka wapi mkuu? Ni sheria ndo inasema hivo?
Nikushauri tu siku nyingine unapotoa wazo usilazimishie liwe kama sheria haya mawazo tu yanaweza kutekelezwa au yasitekelezwe sasa nashangaa unavokomaa hapa kulazimishia vitu ambavyo havipo hata kisheria.
 
Hii must inatoka wapi mkuu? Ni sheria ndo inasema hivo?
Nikushauri tu siku nyingine unapotoa wazo usilazimishie liwe kama sheria haya mawazo tu yanaweza kutekelezwa au yasitekelezwe
Kwani kuna mangapi wana JF wengi humu wanawashauri na hamtekelezi? Kwa hiyo hata msipotekeleza hili mimi sitawashangaa kwa maana ndio kawaida yenu mkuu...
 
Back
Top Bottom