TANGAZA UTALII TANZANIA: ATCL na TANAPA wana nini cha kuwapa wanafunzi 10 (bora) waliofanya vizuri Darasa la Saba 2020?

TANGAZA UTALII TANZANIA: ATCL na TANAPA wana nini cha kuwapa wanafunzi 10 (bora) waliofanya vizuri Darasa la Saba 2020?

Hii must inatoka wapi mkuu? Ni sheria ndo inasema hivo?
Nikushauri tu siku nyingine unapotoa wazo usilazimishie liwe kama sheria haya mawazo tu yanaweza kutekelezwa au yasitekelezwe sasa nashangaa unavokomaa hapa kulazimishia vitu ambavyo havipo hata kisheria.
Havipo kisheria but TIME WILL TELL
 
Naona ni ssue ya watoto na wazazi wao, sijajuwa kwanini wizara na atcl wahusike kivile, kufaulu kwao ni faida ya watoto mbeleni na mtaji kwa wazazi.
Wee jamaa unakaa dunia gani? Yaaani kuwa na watoto bright kama hawa Top 10 bado hujaona kama ni faida kwa taifa? Au wewe ni mtani wangu Muhaya
 
More than five primary school in Tanzania walifutiwa matokeo ya STD seven, what the rest?
Kijana wangu amekuwa TO namba mbili PCB2020, hakuna cha maana walichopewa zaidi ya vikombe/ngao na kupiga picha mlimani city na wazee wa baraza.

Hebu nijibu, hao std seven ni 'mashujaa 'wa nini hapo Tanzania?
Kama haujui hawa 10 bora wa darasa la saba ni mashujaa katika nini hapa Tanzania basi wewe sio mzalendo.
 
anza wewe n familia yako yaani wazoeshe watoto wako waone utalii ni sehemu ya maisha yao kila mwisho wa mwaka wapeleke hifadhi moja wapo hii itawajenga hata wakiwa wakubwa mwamko wa kutembelea vivutio vyetu utakua mkubwa.
Mimi na familia yangu kila baada ya miezi 6 ni lazima twende tukatembelee kivutio cha ndani kama sio Bagamoyo basi Tanga au Zanzibar...
 
Upande mwingine ni Tanapa pamoja na Serikali kuboresha miundo mbinu hasa barabara kufika hifadhini na malazi mazuri katika vivutio yaani hata mtu leo akifikiria kwenda Gombe National Park asianze kupata wasiwasi wa kufika na kulala.
Bila shaka wahusika watauona huu ushauri wako mzuri kisha wataufanyia kazi ipasavyo
 
Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu JamiiForums.

Ndugu zangu Watanzania;

Wiki moja baada ya kutangazwa matokeo, shirika la ndege la ATCL pamoja na mamlaka ya hifadhi ya TANAPA ina nini cha kuwapa wanafunzi 10 bora (waliofanya vizuri) katika mitihani ya darasa la saba kwa mwaka huu wa 2020?


Ninajua kuna watu watakuja hapa na kusema ATCL na TANAPA wanasubiria matokea ya kidato cha nne ili itoea zawadi kwa wanafunzi wote kwa pamoja. Mimi nitakataa kwa maana mbona wanafunzi 10 bora katika matokeo ya kidato cha sita mwaka huu 2020 hawajawapa motisha yoyote?

Mbona mimi ninaona kama hii ni fursa ya kutoa hamasa kwa wanafunzi wengine waliopo darasa la sita, kidacho cha tatu pamoja na cha tano? Vile vile pamoja na kutangaza/kuhamasisha vema utalii wa ndani?

Baraza la Mitihani la Taifa nchini Tanzania (Necta), limemtaja mwanafunzi aliyehitimu shule ya msingi Graiyaki iliyopo mkoani Mara, Herrieth Japhet Josephat kuwa ndiye aliyeibuka kinara katika matokeo ya mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi (Psle).


Herrieth anakuwa msichana pekee kati ya watahiniwa 10 bora kitaifa, waliotajwa na baraza leo Jumamosi, Novemba 21, 2020 wakati Katibu Mtendaji wa Necta, Dk Charles Msonde akitoa taarifa ya matokeo hayo.

Alimtaja aliyeshika nafasi ya pili kuwa ni Huma Masala Huma kutoka shule ya msingi Kwema Morden ya Shinyanga na nafasi ya tatu ikienda kwa Gregory Mtete Alphonce kutoka Twibhoki shule ya msingi iliyopo mkoani Mara.

Aliyeshika nafasi ya nne ni Nyambina Musa Nyambina kutoka shule ya msingi Graiyaki iliyopo Mara pia.

Andrew Elias Mabula kutoka shule ya msingi Kwema Morden ya Shinganya, ameshika nafasi ya tano, Jonas Nyamataga Ayubu (Little Flower) Mara, Emmanuel Kashinje Paul (Kwema Morden) Shinyanga, Emmanuel Peter Marwa (Kwema Morden) Shinyanga, Prosper Aspenas Tumbo (God’s Bridge) Mbeya na nafasi ya 10 ilikwenda kwa Yesaya Mnkondo Bendera kutoka shule ya msingi God’s Bridge ya jijini Mbeya.

ATCL na TANAPA wana motisha gani ya kuwapa mashujaa hawa 10 wa taifa?


USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Good idea
 
Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu JamiiForums.

Ndugu zangu Watanzania;

Wiki moja baada ya kutangazwa matokeo, shirika la ndege la ATCL pamoja na mamlaka ya hifadhi ya TANAPA ina nini cha kuwapa wanafunzi 10 bora (waliofanya vizuri) katika mitihani ya darasa la saba kwa mwaka huu wa 2020?


Ninajua kuna watu watakuja hapa na kusema ATCL na TANAPA wanasubiria matokea ya kidato cha nne ili itoea zawadi kwa wanafunzi wote kwa pamoja. Mimi nitakataa kwa maana mbona wanafunzi 10 bora katika matokeo ya kidato cha sita mwaka huu 2020 hawajawapa motisha yoyote?

Mbona mimi ninaona kama hii ni fursa ya kutoa hamasa kwa wanafunzi wengine waliopo darasa la sita, kidacho cha tatu pamoja na cha tano? Vile vile pamoja na kutangaza/kuhamasisha vema utalii wa ndani?

Baraza la Mitihani la Taifa nchini Tanzania (Necta), limemtaja mwanafunzi aliyehitimu shule ya msingi Graiyaki iliyopo mkoani Mara, Herrieth Japhet Josephat kuwa ndiye aliyeibuka kinara katika matokeo ya mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi (Psle).


Herrieth anakuwa msichana pekee kati ya watahiniwa 10 bora kitaifa, waliotajwa na baraza leo Jumamosi, Novemba 21, 2020 wakati Katibu Mtendaji wa Necta, Dk Charles Msonde akitoa taarifa ya matokeo hayo.

Alimtaja aliyeshika nafasi ya pili kuwa ni Huma Masala Huma kutoka shule ya msingi Kwema Morden ya Shinyanga na nafasi ya tatu ikienda kwa Gregory Mtete Alphonce kutoka Twibhoki shule ya msingi iliyopo mkoani Mara.

Aliyeshika nafasi ya nne ni Nyambina Musa Nyambina kutoka shule ya msingi Graiyaki iliyopo Mara pia.

Andrew Elias Mabula kutoka shule ya msingi Kwema Morden ya Shinganya, ameshika nafasi ya tano, Jonas Nyamataga Ayubu (Little Flower) Mara, Emmanuel Kashinje Paul (Kwema Morden) Shinyanga, Emmanuel Peter Marwa (Kwema Morden) Shinyanga, Prosper Aspenas Tumbo (God’s Bridge) Mbeya na nafasi ya 10 ilikwenda kwa Yesaya Mnkondo Bendera kutoka shule ya msingi God’s Bridge ya jijini Mbeya.

ATCL na TANAPA wana motisha gani ya kuwapa mashujaa hawa 10 wa taifa?


USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Wazo poa. Ngoja waje
 
Unaelewa maana ya kutangaza utalii, au ndiyo yale ya yule waziri wa zamani kupiga misele na madem na wahuni wanaojiita selebrite kutumbua mabilioni eti anatangaza utalii !!

Marketing... unakuwa unauza product flan, ukiwa na specific target audience, using specific strategies, ukitarajia au project returns flan.

Sasa jaza hapo mwenyewe...



Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu JamiiForums.

Ndugu zangu Watanzania;

Wiki moja baada ya kutangazwa matokeo, shirika la ndege la ATCL pamoja na mamlaka ya hifadhi ya TANAPA ina nini cha kuwapa wanafunzi 10 bora (waliofanya vizuri) katika mitihani ya darasa la saba kwa mwaka huu wa 2020?


Ninajua kuna watu watakuja hapa na kusema ATCL na TANAPA wanasubiria matokea ya kidato cha nne ili itoea zawadi kwa wanafunzi wote kwa pamoja. Mimi nitakataa kwa maana mbona wanafunzi 10 bora katika matokeo ya kidato cha sita mwaka huu 2020 hawajawapa motisha yoyote?

Mbona mimi ninaona kama hii ni fursa ya kutoa hamasa kwa wanafunzi wengine waliopo darasa la sita, kidacho cha tatu pamoja na cha tano? Vile vile pamoja na kutangaza/kuhamasisha vema utalii wa ndani?

Baraza la Mitihani la Taifa nchini Tanzania (Necta), limemtaja mwanafunzi aliyehitimu shule ya msingi Graiyaki iliyopo mkoani Mara, Herrieth Japhet Josephat kuwa ndiye aliyeibuka kinara katika matokeo ya mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi (Psle).


Herrieth anakuwa msichana pekee kati ya watahiniwa 10 bora kitaifa, waliotajwa na baraza leo Jumamosi, Novemba 21, 2020 wakati Katibu Mtendaji wa Necta, Dk Charles Msonde akitoa taarifa ya matokeo hayo.

Alimtaja aliyeshika nafasi ya pili kuwa ni Huma Masala Huma kutoka shule ya msingi Kwema Morden ya Shinyanga na nafasi ya tatu ikienda kwa Gregory Mtete Alphonce kutoka Twibhoki shule ya msingi iliyopo mkoani Mara.

Aliyeshika nafasi ya nne ni Nyambina Musa Nyambina kutoka shule ya msingi Graiyaki iliyopo Mara pia.

Andrew Elias Mabula kutoka shule ya msingi Kwema Morden ya Shinganya, ameshika nafasi ya tano, Jonas Nyamataga Ayubu (Little Flower) Mara, Emmanuel Kashinje Paul (Kwema Morden) Shinyanga, Emmanuel Peter Marwa (Kwema Morden) Shinyanga, Prosper Aspenas Tumbo (God’s Bridge) Mbeya na nafasi ya 10 ilikwenda kwa Yesaya Mnkondo Bendera kutoka shule ya msingi God’s Bridge ya jijini Mbeya.

ATCL na TANAPA wana motisha gani ya kuwapa mashujaa hawa 10 wa taifa?


USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
 
Unaelewa maana ya kutangaza utalii, au ndiyo yale ya yule waziri wa zamani kupiga misele na madem na wahuni wanaojiita selebrite
Kwa hiyo unawaita celebrities wa Tanzania wahuni? Wangekuwa wa Marekani ungewaita super stars? Unahitaji ukombozi wa fikra
 
Marketing... unakuwa unauza product flan, ukiwa na specific target audience, using specific strategies, ukitarajia au project returns flan.

Sasa jaza hapo mwenyewe...
Ninaona umeamua kushusha notsi ulizokaririshwa na mwalimu wako darasani. Hongera sana
 
Back
Top Bottom