Ni wapi huko lilikoleta taharuki?
 
Watu hawaelewi kitu
Maiti wanaofanywa mazoezi ya vitendo mahospitalini waweza kuwa waliokotwa Bolivia au Venezuela huko hawawezi kuwa watanzania sababu waweza Julikana na ndugu na jamaa. Au wengine kabla kufa huacha wosia kuwa akifa hataki kuzikwa mwili wake utumike kwenye course za udaktari kama Cadava

Madaktari wanaosoma wakimalliza mazoezi yao hutakiwa wazikwe kwa heshima zote hawafukiwi kama takataka na wengi wa madaktari walioutumia huo mwili kwa mazoezi hulia sana siku ya mazishi yake
Wanalia sababu ndiye aliyefanikisha wao kujua vizuri mwili wa binadamu na kila wakati wanamtumia sasa kuzika huwa huzuni kubwa mno kwa wasomea udaktari sababu huyo kadava kisheria hufikia muda lazima azikiwe kwa heshima
 
ā€œTunatengeneza TAHARUKI isiyo na mashiko.....

Kila hospitali inakuwa na MAITI zisizotambulika....

Hospitali zetu hizi ziko chini ya HALMASHAURI....

Si kila mgonjwa aliyelazwa hospitali huwa ANAJULIKANA.....ā€œ

Unatumia nguvu sana juu ya hii hoja
 
Akili kubwa UMEONGEA....

Shukran mkuu wangu [emoji7]

Ubarikiwe sana ,amen [emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hata yule aliyekuwa Boss wa Wizara ya Fedha Bw. Leopold Lwajabe aliyetekwa Dsm na baadaye tulitangaziwa na Jeshi la Polisi kwamba maiti yake 'iliokotwa msituni' huko huko Mkuranga. Suala hili linahitaji mjadala wa kina na utafiti wa kina kabisa.
Tena alikutwa amevalishwa jezi ya Chelsea huku amening'inia mtini.



Coach Slamah Hamad
 
haya yte anayeharibikiwa ni Samia! Yataandikwa kwenye historia ya utawala wake kuwa wakuliwa na quite a large number of unaccouted deaths katika utawala wake ambao walisadikiwa kuuawa na polisi na TISS iliyokuwa chini yake directly.
Hakika
 
Hata yule aliyekuwa Boss wa Wizara ya Fedha Bw. Leopold Lwajabe aliyetekwa Dsm na baadaye tulitangaziwa na Jeshi la Polisi kwamba maiti yake 'iliokotwa msituni' huko huko Mkuranga. Suala hili linahitaji mjadala wa kina na utafiti wa kina kabisa.
Home boy huyo siku ya mazishi kule karagwe nana take akilia sana akisema chonka magufuli katerwe ne enkuba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…