Tangu asubuhi sijauza hata Tsh. 100 aisee

Tangu asubuhi sijauza hata Tsh. 100 aisee

A
Huwa kuna vision kadhaa kwenye biashara

Ya kwanza kuifungua biashara mpya watakuja watu wengi sana hao sio wateja bali ni wachunguzi na sio wateja royal huja kupima na kujaribu tu

Ya pili hawa ndo uwa wale royal baada ya fake ones kuondoka

Ya tatu hizi ni changamoto za mamlaka naza anga kaa kitaalamu utapigwa doro sana
Aiseee
 
Pole umenikumbusha nilipojitosa kuuza ukwaju wa bakhresa 2018 dah kuanzia asubuh mpaka jion nimezunguka kuanzia mnazi mmoja kkoo mpaka ilala boma nikiuza ice cream 12 kati ya 150.

Umenikumbusha nilipofungaua biashara mule buguruni sokoni aka rozana asee usifanye baishara karibu na watu wa Tanga
 
Pole umenikumbusha nilipojitosa kuuza ukwaju wa bakhresa 2018 dah kuanzia asubuh mpaka jion nimezunguka kuanzia mnazi mmoja kkoo mpaka ilala boma nikiuza ice cream 12 kati ya 150.

Umenikumbusha nilipofungaua biashara mule buguruni sokoni aka rozana asee usifanye baishara karibu na watu wa Tanga
Pole mkuu
 
Tumia kinyesi chako cha asbubui paka kwenye mikono na kingine m utie kwenye maji ogea, kingine tia kweny maji mwaga mbele ya duka lako kama unatoa vumbi, kama unaweza kula piga ata tonge moja
 
Sijajua wewe ni dini gani? Ila kuna kitu kinaitwa fungu la kumi.........
Amka asubuhi na mapema omba, kabla haujafungua biashara omba, unqvyofunga biashara omba ukiuza sana mwambie Mungu ahsante, usipouza kabisa mwambie Mungu ahsante then toa fungu la kumi kila mwisho wa mwezi ikiwezekana funga kuiombea biashara yako na cha mwisho kabisa jinenee mazuri kwenye biashara yako na kwa kila jambo lako hakuna kitu kina nguvu kama maneno
Mungu alisema na iwe nuru kukawa na jua maneno maneno jinenee maneno positive ndugu yangu (KILA LAKHERI) 🙏🏽
Umeongea kitu cha msingi sana
Maisha yanajengwa na misingi ya imani tulio wengi hupenda kujikatisha tamaa wenyewe
 
Sijajua wewe ni dini gani? Ila kuna kitu kinaitwa fungu la kumi.........
Amka asubuhi na mapema omba, kabla haujafungua biashara omba, unqvyofunga biashara omba ukiuza sana mwambie Mungu ahsante, usipouza kabisa mwambie Mungu ahsante then toa fungu la kumi kila mwisho wa mwezi ikiwezekana funga kuiombea biashara yako na cha mwisho kabisa jinenee mazuri kwenye biashara yako na kwa kila jambo lako hakuna kitu kina nguvu kama maneno
Mungu alisema na iwe nuru kukawa na jua maneno maneno jinenee maneno positive ndugu yangu (KILA LAKHERI) 🙏🏽
Umeongea kitu cha msingi sana
Maisha yanajengwa na misingi ya imani tulio wengi hupenda kujikatisha tamaa wenyewe
 
Biashara ina miaka 2½ lakini hakuna progess ya maana. Mwanzo nilianza vizuri ila ghafla mambo yaka kata.

Aisee nimerogwa au? nitaendeshaje familia? 😭😭😭

Nifanyeje wakuu, naombeni msiwe na masihara tafadhari, sijawahi fanyia mtu ubaya kwanini huu ugumu wote huu.

Sehemu niliopo imechangamka kibiashara, pia kuna maduka kama langu.

Kweli ukata wa namna hii, mwaka jana mwaka mzima nilipigwa na ukata mbaya nikaambulia madeni

Kinachoniumiza ni kuwa nilianza vizuri sana hadi kuongeza mzigo ghfla wateja wakakata😭😭😭😭😭😭
1. Biashara inahitaji uwe na nguvu kiroho ya nuru au giza
2. Kwenye anguko la biashara haya mambo hutokea ndiyo uleta ukamavu wa akili. Hutakiwi kukataa tamaa
3. Biashara hufanyi wewe tu kuwekeana husuda. Kukufunga wewe ili mtu mwingine auze kwenye biashara hiyo ipo.
4. Kutoka mtaji wa laki-1m kuna anguko. Kutoka 1m-50m tegemea anguko na kutoka 50m-m100. Ukivuka vyote hivyo hakuna atakayekusimamisha.
Nakupa hongera maana umefika hatua ya mafanikio, ukivuka hapo umekula maisha
 
Back
Top Bottom