Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeeHuwa kuna vision kadhaa kwenye biashara
Ya kwanza kuifungua biashara mpya watakuja watu wengi sana hao sio wateja bali ni wachunguzi na sio wateja royal huja kupima na kujaribu tu
Ya pili hawa ndo uwa wale royal baada ya fake ones kuondoka
Ya tatu hizi ni changamoto za mamlaka naza anga kaa kitaalamu utapigwa doro sana
Nisaidie wa kwako mkuuTafuta juju man akuague
Wangu keshakufaNisaidie wa kwako mkuu
🫨Wangu keshakufa
Pole mkuuPole umenikumbusha nilipojitosa kuuza ukwaju wa bakhresa 2018 dah kuanzia asubuh mpaka jion nimezunguka kuanzia mnazi mmoja kkoo mpaka ilala boma nikiuza ice cream 12 kati ya 150.
Umenikumbusha nilipofungaua biashara mule buguruni sokoni aka rozana asee usifanye baishara karibu na watu wa Tanga
Ukiangalia comments za wengi humu, ndo hawa uliowataja ..#KUNA WATU HUMU MUDA HUU WAPO NDANI KITANDANI WAMETULIA TU WANASUBIRI UGALI WA BURE__HAWAWEZI KUKUELEWA MKUU
Umeongea kitu cha msingi sanaSijajua wewe ni dini gani? Ila kuna kitu kinaitwa fungu la kumi.........
Amka asubuhi na mapema omba, kabla haujafungua biashara omba, unqvyofunga biashara omba ukiuza sana mwambie Mungu ahsante, usipouza kabisa mwambie Mungu ahsante then toa fungu la kumi kila mwisho wa mwezi ikiwezekana funga kuiombea biashara yako na cha mwisho kabisa jinenee mazuri kwenye biashara yako na kwa kila jambo lako hakuna kitu kina nguvu kama maneno
Mungu alisema na iwe nuru kukawa na jua maneno maneno jinenee maneno positive ndugu yangu (KILA LAKHERI) 🙏🏽
Umeongea kitu cha msingi sanaSijajua wewe ni dini gani? Ila kuna kitu kinaitwa fungu la kumi.........
Amka asubuhi na mapema omba, kabla haujafungua biashara omba, unqvyofunga biashara omba ukiuza sana mwambie Mungu ahsante, usipouza kabisa mwambie Mungu ahsante then toa fungu la kumi kila mwisho wa mwezi ikiwezekana funga kuiombea biashara yako na cha mwisho kabisa jinenee mazuri kwenye biashara yako na kwa kila jambo lako hakuna kitu kina nguvu kama maneno
Mungu alisema na iwe nuru kukawa na jua maneno maneno jinenee maneno positive ndugu yangu (KILA LAKHERI) 🙏🏽
Unaenda kupigwa sasa umeanza mapepe ya kusaka waganga?? matapeli haoNisaidie wa kwako mkuu
Ana shida gan tenah mkuu
Sio kweli acha uongo mzee#hahahaha waganga watanga jau sana kaka_huko utaambiwa njoo namkeo mfanye dawa kwapamoja
Pole sana mkuuUPDATE:
HADI SASA KAPA
Eeh baba ,eeeh baba kwa nini kikombe hiki kizito, mbona nakutumainia??
,😭😭😭😭😭😭😭😭
1. Biashara inahitaji uwe na nguvu kiroho ya nuru au gizaBiashara ina miaka 2½ lakini hakuna progess ya maana. Mwanzo nilianza vizuri ila ghafla mambo yaka kata.
Aisee nimerogwa au? nitaendeshaje familia? 😭😭😭
Nifanyeje wakuu, naombeni msiwe na masihara tafadhari, sijawahi fanyia mtu ubaya kwanini huu ugumu wote huu.
Sehemu niliopo imechangamka kibiashara, pia kuna maduka kama langu.
Kweli ukata wa namna hii, mwaka jana mwaka mzima nilipigwa na ukata mbaya nikaambulia madeni
Kinachoniumiza ni kuwa nilianza vizuri sana hadi kuongeza mzigo ghfla wateja wakakata😭😭😭😭😭😭
Nyinyi ndo wabaya wenyeweTumia kinyesi chako cha asbubui paka kwenye mikono na kingine m utie kwenye maji ogea, kingine tia kweny maji mwaga mbele ya duka lako kama unatoa vumbi, kama unaweza kula piga ata tonge moja
Utajiri bila ya nguvu za giza inawezekana. Kuwa makini ndugu utajikuta umeingia kwenye mambo magumu ambayo yatakupotezea familia na ndugu na kukurudisha nyuma 100%.Kwa mganga mkuu??